Je unajua kuwa ile ule wimbo maarufu unaoimbwa kila wakati wa birthday unalindwa na hakimiliki? Wimbo huu ni mali ya America Online ambao hupata kiasi cha dola milioni 2 kila mwaka kutokana na mirabaha ya matumizi ya wimbo huu. Na wimbo utakuwa mali yao hadi mwaka 2030
YOUTUBE PLAYLIST
Tuesday, February 2, 2010
Ujaji wa vinanda aina ya synthesizer ulitoa hukumu ya kifo kwa taaluma ya vyombo vya upulizaji katika bendi nyingi Tanzania. Msondo ngoma wamebakia na msimamo ambao umeweka Bendi hiyo katika ngazi ya pekee kutokana na kubakia na wapulizaji ambao ni wazuri sana, pichani, Mnyupe na Romario katika onyesho moja mjini Tanga
Monday, February 1, 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)
SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.
TANCUT ALMASI ORCHESTRA wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...
-
Hawa ndio The Jets (1972), ambao baadae walikuja kuwa STC Jazz, ambayo ndio chanzo cha Biashara Jazz. Waliopo hapa wa kwanza Belino, Raphael...
-
Mara baada ya kutoa ule wimbo maarufu wa Kisambaa Shakaza, Eddy Sheggy mwenyewe na Wasambaa wengine wakaanza kuitwa Shakaza. Eddy Sheggy ali...
-
Suleiman Mbwembwe, aliyekuwa anajulikana pia kwa jina la Electronic Voice, alikuwa mwimbaji na mtunzi aliyeng'ara katika enzi zake. Aki...