tag:blogger.com,1999:blog-15467620663716882412024-03-23T17:16:49.303+03:00Wanamuziki TanzaniaWANAMUZIKI WA TANZANIA IS A TANZANIA MUSIC BLOGUnknownnoreply@blogger.comBlogger208125tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-28649336141735547942023-03-09T11:50:00.000+03:002023-03-09T11:50:14.341+03:00SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.<p> </p><p class="MsoNormal"><table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><tbody><tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh77yjCeSvmryuyWhtlRT2hMnwmEDHAi396DctxNH10bJk7hunTMvoZvDh5d5oXxhrKcwNq-sWTwXBScoINoQLdLx_6xJU2sUXF8X4N31Db3HWE1kKJ8Xz5P0iqUwvRo-2E2R2wSQ3lMLoqmE6XQahJYtKSW4ZLXIrMplVVUmlZbrTFlMSJOBXmWw4QrQ/s957/tank3.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="715" data-original-width="957" height="299" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh77yjCeSvmryuyWhtlRT2hMnwmEDHAi396DctxNH10bJk7hunTMvoZvDh5d5oXxhrKcwNq-sWTwXBScoINoQLdLx_6xJU2sUXF8X4N31Db3HWE1kKJ8Xz5P0iqUwvRo-2E2R2wSQ3lMLoqmE6XQahJYtKSW4ZLXIrMplVVUmlZbrTFlMSJOBXmWw4QrQ/w400-h299/tank3.jpg" title="TANCUT ALMASI WAKIWA JAMHURI STADIUM DODOMA" width="400" /></a></td></tr><tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><i>TANCUT ALMASI ORCHESTRA wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma</i></td></tr></tbody></table><br /><span style="font-family: arial;"><br /></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: arial;"><span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki
nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika maisha yangu ya muziki, <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>hakukuwa na wilaya hata moja, kati ya
wilaya<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>zilizokuweko Tanzania Bara kati
ya mwaka 1982 na 1992 ambayo sikufika na kufanya onyesho la muziki. <br />
Leo nimekumbuka safari ya kuzunguka Kanda ya Ziwa<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>nikiwa mmoja wa wanamuziki wa Tancut Almasi
Orchestra iliyokuwa na masikani yake Iringa, ikimilikiwa na wafanyakazi wa
kampuni ya Tanzania Diamond Cutting Company (kiwanda cha kuchonga almasi).<br />
<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Wakala wa mfanya biashara maarufu wa Mwanza
alikuja Iringa kufanya mpango ili bendi ikafanye ziara Kanda ya Ziwa. Bendi
ilikuwa tayari kwa ziara hiyo lakini ilikuwa na mkataba wa kwenda kufanya
onyesho moja kwenye mahafali ya Chuo cha IDM Morogoro, baada ya hapo bendi ingeweza
kuelekea Mwanza kuanza ziara ya Kanda ya Ziwa.<span style="mso-spacerun: yes;">
</span><br />
Baada ya onyesho la IDM, usiku uleule tulienda kituo cha treni Morogoro kujaribu
kupata nafasi katika treni iliyokuwa iktoka Dar es Salaam na kuelekea Mwanza,
bahati mbaya tulichelewa treni. Wakala akisaidiana na viongozi wa bendi
waliweza kutafuta ‘Fuso’ usiku uleule, wanamuziki na vyombo tukajazana kwenye
‘Fuso’. Nia ilikuwa tusafiri usiku ule mpaka Dodoma na kuiwahi treni
iliyotupita Morogoro. Hilo lilishindikana kwani uzito wa vyombo na watu
ulisababisha ‘Fuso’ yetu ipate pancha mara nne, hivyo badala ya kuingia Dodoma
alfajiri, tuliingia Dodoma saa nane mchana. Mara baada ya kufika Dodoma, wanamuziki
walitafutiwa sehemu ya kula na kulala kwa siku hiyo na pia <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>kutafutiwa tiketi za kwenda Mwanza na treni
kesho yake. Mimi na Katibu Msaidizi wa bendi tukapewa jukumu la kuhakikisha
kuwa tunafanya mipango ya kusafirisha vyombo vya muziki. Tulienda kituo cha
treni na kuweza kukamilisha taratibu zote za kusafirisha vyombo kutumia
mabehewa ya mizigo, vyombo viliingizwa katika behewa moja tayari kwa safari.
Uongozi wa Shirika la reli ukatuhakikishia kuwa vyombo vitasafirishwa na treni
ya mizigo siku ileile.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Kwa vile treni za
mizigo hazikuwa na ratiba maalumu tulilazimika kuweko palepale ili tuhakikishe
vyombo vyetu kweli vimeanza safari. Treni za mizigo<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>kadhaa zilifika na kuondoka na mabehewa
kadhaa ya mizigo yaliyokuwepo pale yaliunganishwa na kuondoka, lakini behewa
letu likawa haliunganishwi, tulipouliza sababu tukaambiwa kuwa kulikuwa na
tatizo la mipira ya breki. Tulishinda pale mchana ule na usiku ukaingia tukiwa
pale pale na tukakesha pale tukiumwa na mbu na kuteswa na baridi kali. Kesho
yake wanamuziki wenzetu walipata nafasi katika treni la abiria na kuanza safari
ya kuelekea Mwanza, sisi wawili na behewa letu la vyombo tukaingia siku ya pili
pale kituoni. Hatimae mtu mmoja akatushtua kuwa tusipoangalia tutafikisha hata
wiki moja pale, tumtafute muhusika na kumpa fedha kidogo mipira breki
itapatikana, tukafanya hivyo na mipira kweli ikapatikana kimiujiza. Behewa letu
liliunganishwa kwenye treni ya mizigo na safari ikaanza. Kwa vile ilikuwa ni
treni ya mizigo, mimi na mwenzangu tukaingia kwenye kichwa cha treni, nauli
tukamlipa dreva wa treni, kwa mara ya kwanza nikaweza kuona jinsi dreva wa
treni anavyoendesha treni. Safari ilikuwa nzuri, ila kila tulipokaribia katika
kituo, tulilazimika kuingia sehemu ya injini kujificha, kwani dreva hakuwa
anaruhusiwa kubeba abiria. Kwa kweli kule ndani kwenye sehemu ya injini kunatisha
mno. Tuliingia Mwanza kama saa tano mchana na siku hiyo ilikuwa siku ya sikukuu
ya Iddi.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Bendi ilikuwa imeshatangaza
kuwa ingefanya onyesho la mchana katika Uwanja wa Kirumba na usiku bendi
ingepiga ukumbi wa Shinyanga Hotel. Onyesho la Kirumba lilifanyika vizuri
likaisha saa 12 jioni, vyombo vikahamishwa na kupelekwa<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>kwenye ukumbi wa Shinyanga Hotel ambako
onyesho jingine lilianza saa tatu usiku mpaka usiku wa manane. Tulipoanza tu onyesho,
akaonekana mtu mmoja anapiga picha za video, onyesho likasimama na kukaweko
ugomvi mkubwa kumzuia mpiga video kwani alikuwa hajatuomba ruksa, <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>hatimae aliruhusiwa kutupiga video baada ya
kutulipa shilingi alfu kumi na tatu. Wanamuziki tukagawana shilingi mia tano
kila mmoja na .<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: arial;">Baada ya kufanya
maonyesho kadhaa<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>katika kumbi tofauti
pale Mwanza ukiwemo ukumbi wa Polisi na ukumbi maarufu<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>wa Pamba House, bendi ikaendea kufanya
onyesho Tarime. Bendi ilisafirishwa na basi la tajiri aliyekodi bendi. Onyesho
la Tarime halikuwa na mafanikio sana,<span style="mso-spacerun: yes;">
</span>mara baada ya kumaliza onyesho Tarime ilianza safari ya kurudi Mwanza.
Baadhi ya wanamuziki walikuwa wamejenga urafiki na wasaidizi wa tajiri
aliyekodi bendi, wasaidizi hao wakawaeleza rafiki zao kuwa mpango umesukwa <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>wa kuitelekeza bendi stendi kuu ya Mwanza,
mara baada ya kufika Mwanza wakala angetangaza kuwa basi linaenda ‘service’
hivyo watu na mizigo yote ishushwe. Baada ya hapo basi lingeondoka na
lisingerudi tena. Baada ya taarifa hii kufahamika, uongozi wa bendi ukapanga
mkakati, kwanza<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>wanamuziki wangegoma
kushuka kwenye basi, na kwa kuwa mkataba ulimtaka wakala kuirudisha bendi Iringa
baada ya ziara, bendi ilikuwa tayari kuachana na mkataba kama<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>wanamuziki wangepelekwa kwenye mgodi wa almasi
wa Mwadui. Mgodi wa Mwadui ulikuwa chini ya shirika la STAMICO kama ilivyokuwa
kampuni ya Diamond Cutting Company, tulijua kuwa kama tungefika kule ingekuwa
kama kufika nyumbani. <o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: arial;">Mimi
nikaambiwa nishuke pale Mwanza kutafuta mfadhili ambaye angeweza kutukopesha
shilingi alfu arobaini, fedha hizi ingekuwa ni mtaji tosha wa bendi kuweza
kurudi Iringa kama mambo yasingefana Mwadui. Kweli tulipofika stendi Mwanza,<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>wakala akatangaza kuwa watu wote na vifaa
vyote vishushwe ili basi liende service tayari kwa safari ya kurudi Iringa.
Akajibiwa kuwa hakuna haja ya kushusha vyombo kwani havitaingilia service,
ugomvi mkubwa ukazuka, hatimae ndipo wakala akaambiwa akitaka aachane nasi basi
basi lituache Mwadui, alikubali na basi likaelekea Mwadui……</span><i style="mso-bidi-font-style: normal;">Itaendelea,</i></span></p>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-37568509355819888022023-01-13T18:41:00.002+03:002023-01-13T18:41:25.706+03:00MAMBO MOTOOO...MAQUIS ORIGINAL WARUDI JUKWAANI<div style="color: #006600; font-style: italic; font-weight: bold; text-align: justify;"><blockquote><span style="font-size: 100%;"><table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><tbody><tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEizlHRguox1yoGiQ0l9oSeStYCTC2JRVWPfCqpySdi2Z5Bdrn6o4rmNDx6oXh2Tg1gw7P42H9lUNuC1OApN5zfbgwMMpIuAUlb2hrTa641S2CD4Fn3e9lXZegUSSKD7AzevD8vOJxdQ8lulo6-MBh6SCAdz_-3cRjvce-0giwzezrwefrKciTC7yfeo/s1080/IMG-20221228-WA0014.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="875" height="400" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEizlHRguox1yoGiQ0l9oSeStYCTC2JRVWPfCqpySdi2Z5Bdrn6o4rmNDx6oXh2Tg1gw7P42H9lUNuC1OApN5zfbgwMMpIuAUlb2hrTa641S2CD4Fn3e9lXZegUSSKD7AzevD8vOJxdQ8lulo6-MBh6SCAdz_-3cRjvce-0giwzezrwefrKciTC7yfeo/w324-h400/IMG-20221228-WA0014.jpg" width="324" /></a></td></tr><tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">MAMBO MATAMU YAJA</td></tr></tbody></table>BENDI kongwe iliyokuwa maarufu sana, Maquis Original itauanza mwaka huu kwa kufanya maonyesho mawili makubwa ya kumbukizi ya enzi zake. Maquis Original awali ilikuwa ikiitwa Maquis du Zaire wakati ikiingia nchini Tanzania kwa mara ya kwanza, ilikuwa ikitokea mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wakati huo nchi hiyo ikiitwa Zaire.</span> <span style="font-size: 100%;">Baada ya kuwasili Tanzania, haikupita muda mrefu bendi ikawa moja ya bendi tishio nchini. Nyimbo za bendi hii hata zile ilizo rekodi mwanzoni baada ya kuingia nchini bado ni nyimbo pendwa kwa waliokuweko enzi hizo na hata ambao wamezaliwa miaka mingi baada ya bendi kuwa imepotea katika ulimwengu wa muziki. Uamuzi wa wanamuziki wa bendi hii kujikusanya na kufanya maonyesho yao hakika ni faraja kubwa kwa wapenzi wa bendi hii. Bendi itafanya maonyesho mawili. Onyesho la kwanza litakuwa tarehe 21 Januari 2023 katika ukumbi wa Break Point Makumbusho na tarehe 27 January katika ukumbi wa Royal Village Dodoma</span></blockquote><p>Hebu tukumbuke enzi hizo kwa kuangalia t<span style="font-size: 100%;">angazo la dansi la Orchestra Maquis miaka hiyo ambalo nina uhakika litaleta kumbukumbu kwa wapenzi wa Maquis wa enzi hizo za Mtindo wa Telemka Chekecha Scania LBT III, wakati huo gari za Scania ndizo zilikuwa maarufu nchini na Scania LBT III ilikuwa gari yenye saiz kubwa kuliko zote, na ndio yenye kusifika zaidi. Maquis walikuwa na ufadhili wa kampuni hiyo ya magari, ukumbi wa nyumbani wa bendi hii wakati huo ulikuwa ukumbi wa White House uliokuwa Ubungo. Karibuni tena wapenzi wa White House mchangie, mambo yalikuwa mazito chini ya uongozi wa Chinyama Chiyaza ambae alikuwa mpiga Saxophone katika bendi. Wakati huu Maquis ilikuwa na maendeleo makubwa sana ya kuwa na mashamba, magari, matrekta na hata kuwa na Kota zake pale Sinza Palestina. Hebu angalia majina ya wanamuziki waliokuwa kwenye bendi hiyo, wote walikuwa miamba ya muziki.</span></p><blockquote><span style="font-size: 100%;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWAnQgzvojIwS7jUcw4U1EBh8ddRG94HvPTSaNUBOSYmLDhYzy0k64JgUUqG0Zig89XvLMuW_fw_uQ_keO0BzxFehbpxgPWVNhrb4pRgr2bYWK0OaZ3srptYGGTuounkUrvPwKyRbnTik/s1600-h/maquis+poster.jpg" onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}"><img border="0" height="400" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5443923461012509234" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWAnQgzvojIwS7jUcw4U1EBh8ddRG94HvPTSaNUBOSYmLDhYzy0k64JgUUqG0Zig89XvLMuW_fw_uQ_keO0BzxFehbpxgPWVNhrb4pRgr2bYWK0OaZ3srptYGGTuounkUrvPwKyRbnTik/w308-h400/maquis+poster.jpg" style="cursor: pointer; float: left; height: 320px; margin: 0pt 10px 10px 0pt; text-align: center; width: 246px;" width="308" /></a></span></blockquote></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-1564505178871608932022-11-05T12:57:00.000+03:002022-11-05T12:57:02.919+03:00HISTORIA FUPI YA TAARAB YA TANGA<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><tbody><tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiyBiCeDdfGLdK6keyNMMA6Nwi-QNfb1yGykVn428e-l2CAll0II5A6EVxgsx1iUXBD1C2zdDgUWmDkydq5UF20u9Ibyvo-uVS1uXT3usvgxfbvK0ImiAMIlzlmXnF9le-PGxeoA48yKtQ/s1600/DSC09061.JPG" onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="320" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5472644478470595746" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiyBiCeDdfGLdK6keyNMMA6Nwi-QNfb1yGykVn428e-l2CAll0II5A6EVxgsx1iUXBD1C2zdDgUWmDkydq5UF20u9Ibyvo-uVS1uXT3usvgxfbvK0ImiAMIlzlmXnF9le-PGxeoA48yKtQ/w240-h320/DSC09061.JPG" style="cursor: pointer; display: block; height: 320px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 240px;" title="Marehemu Waziri Ally akiwa mdogo akiwa anapiga kinanda katika bendi ya Lucky star" width="240" /></a></td></tr><tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Marehemu Waziri Ally akiwa mdogo akiwa anapiga kinanda katika bendi ya Lucky star</td></tr></tbody></table>
<meta content="" name="Title"></meta> <meta content="" name="Keywords"></meta> <meta content="text/html; charset=utf-8" equiv="Content-Type"></meta> <meta content="Word.Document" name="ProgId"></meta> <meta content="Microsoft Word 2008" name="Generator"></meta> <meta content="Microsoft Word 2008" name="Originator"></meta> <link href="file://localhost/Users/johnfkitime/Library/Caches/TemporaryItems/msoclip/0clip_filelist.xml" rel="File-List"></link> <!--[if gte mso 9]><xml> <o:documentproperties> <o:template>Normal.dotm</o:Template> <o:revision>0</o:Revision> <o:totaltime>0</o:TotalTime> <o:pages>1</o:Pages> <o:words>291</o:Words> <o:characters>1661</o:Characters> <o:company>Personal</o:Company> <o:lines>13</o:Lines> <o:paragraphs>3</o:Paragraphs> <o:characterswithspaces>2039</o:CharactersWithSpaces> <o:version>12.0</o:Version> </o:DocumentProperties> <o:officedocumentsettings> <o:allowpng/> </o:OfficeDocumentSettings> </xml><![endif]--><!--[if gte mso 9]><xml> <w:worddocument> <w:zoom>0</w:Zoom> <w:trackmoves>false</w:TrackMoves> <w:trackformatting/> <w:punctuationkerning/> <w:drawinggridhorizontalspacing>18 pt</w:DrawingGridHorizontalSpacing> <w:drawinggridverticalspacing>18 pt</w:DrawingGridVerticalSpacing> <w:displayhorizontaldrawinggridevery>0</w:DisplayHorizontalDrawingGridEvery> <w:displayverticaldrawinggridevery>0</w:DisplayVerticalDrawingGridEvery> <w:validateagainstschemas/> <w:saveifxmlinvalid>false</w:SaveIfXMLInvalid> <w:ignoremixedcontent>false</w:IgnoreMixedContent> <w:alwaysshowplaceholdertext>false</w:AlwaysShowPlaceholderText> <w:compatibility> <w:breakwrappedtables/> <w:dontgrowautofit/> <w:dontautofitconstrainedtables/> <w:dontvertalignintxbx/> </w:Compatibility> </w:WordDocument> </xml><![endif]--><!--[if gte mso 9]><xml> <w:latentstyles deflockedstate="false" latentstylecount="276"> </w:LatentStyles> </xml><![endif]--> <style> <!-- /* Font Definitions */ @font-face {font-family:Arial; panose-1:2 11 6 4 2 2 2 2 2 4; mso-font-charset:0; mso-generic-font-family:auto; mso-font-pitch:variable; mso-font-signature:3 0 0 0 1 0;} @font-face {font-family:Cambria; panose-1:2 4 5 3 5 4 6 3 2 4; mso-font-charset:0; mso-generic-font-family:auto; mso-font-pitch:variable; mso-font-signature:3 0 0 0 1 0;} /* Style Definitions */ p.MsoNormal, li.MsoNormal, div.MsoNormal {mso-style-parent:""; margin:0in; margin-bottom:.0001pt; mso-pagination:widow-orphan; font-size:12.0pt; font-family:"Times New Roman"; mso-ascii-font-family:Cambria; mso-ascii-theme-font:minor-latin; mso-fareast-font-family:Cambria; mso-fareast-theme-font:minor-latin; mso-hansi-font-family:Cambria; mso-hansi-theme-font:minor-latin; mso-bidi-font-family:"Times New Roman"; mso-bidi-theme-font:minor-bidi;} @page Section1 {size:8.5in 11.0in; margin:1.0in 1.25in 1.0in 1.25in; mso-header-margin:.5in; mso-footer-margin:.5in; mso-paper-source:0;} div.Section1 {page:Section1;} --> </style> <!--[if gte mso 10]> <style> /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; mso-style-noshow:yes; mso-style-parent:""; mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt; mso-para-margin:0in; mso-para-margin-bottom:.0001pt; mso-pagination:widow-orphan; font-size:12.0pt; font-family:"Times New Roman"; mso-ascii-font-family:Cambria; mso-ascii-theme-font:minor-latin; mso-fareast-font-family:"Times New Roman"; mso-fareast-theme-font:minor-fareast; mso-hansi-font-family:Cambria; mso-hansi-theme-font:minor-latin;} </style> <![endif]--> <!--StartFragment--> <p class="MsoNormal"><span style="font-family: Arial;"><span style="font-size: large;"><span><span>Katika miaka ya 50 wanawake tisa wa Tanga walijikusanya na kuanzisha</span></span><span> </span><span><span> kikundi cha kuimba walichokiita Raha til Fuad maana yake Raha ya Moyo. Akina mama hawa chini ya</span></span><span> </span><span><span>bibie aliyeitwa Mama Akida au aka Mama Lodi, waliendesha kikundi chao wakiwa wanaimba nyimbo za Siti Binti Sadi na tungo zao ambazo waliimba katika melody ya nyimbo za kihindi zilizotamba wakati huo. Kundi hili liliendelea na kuanza kuruhusu wanaume kujiunga hasa wakiwa wapiga vyombo. Hata mtoto wa Mama Akida, Akida Jumbe hatimaye alijiunga na kundi hili kama mpiga accordion kwenye mwaka 1962. Kundi hili ambalo baadae lilikuja kuitwa Young Noverty, liliendelea mpaka kukaweko na mgawanyiko uliozaa kundi la Shaabab Al Waatan ambalo lilitawaliwa zaidi na wanaume.<br /> Hapo ndipo kukaanza mtindo wa kuweko kundi pinzani katika muziki wa taarab wa Tanga. Jambo ambalo kwa njia ya ajabu sana kwa kipindi kirefu likawa linadumu kiasi cha miaka kumi kumi. Miaka ya 60, Young Noverty na Shabaab al Waatan, Miaka ya 70 Lucky Star Musical Club na Black Star Musical Club, miaka ya 80 Golden Star Taarab na White Star Taarab, miaka ya 90, Babloom Modern Taarab na Freedom Modern Taarab. Taarab ya Tanga kwa kweli ndio haswa inastahili kuitwa Modern Taarab, kwani wao hawakufuata Taarab ile iliyoletwa Zanzibar enzi ya Sultan Seyyid Barghash. <br />Taarab ya Tanga ilikuwa ni ya makundi yenye wanamuziki wachache kuliko makundi ya Taarab ile ya Zanzibar. <br />Vyombo vya vikundi vya Taarab ya Tanga </span></span><span><span>vilikuwa ni </span></span><span></span><span><span>pamoja na Gitaa la besi, gitaa la solo, drums bongos ,akodion au kinanda. Nyimbo zao zilikuwa fupi na si ndefu kama zaTaarab ya Zanzibar au ambayo huitwa Taarab asili. Nyimbo za Taarab ya Tanga zilitegemea mipigo ya ngoma za asili za kumbwaya na chakacha na hata baadaye mitindo kama rumba,bossa nova. Na Taarab ya Tanga ndio iliyoanzisha moto wa vikundi vya taarab Tanzania Bara. Moshi kulikuwa na New Alwatan, AzimioTaarab, na Blue Star Taarab , Arusha kulikuweko na Blue Star Taarab, Dodoma ilikuwepo Dodoma Stars, Kondoa kulikuwa na Blue Stars, Mbeya kulikuweko na Magereza Kiwira, Mwanza kulikuwa na Ujamaa Taarab, Bukoba walikuwa na Bukoba Stars, na muendelezo huu uliingia mpaka Burundi kutokana na mwana muziki mmoja alie julikana kama Athmani Mkongo, alitoka Burundi na bendi yake kufika Tanga akahama kutoka muziki wa dansi na kuwa mwanamuziki mahiri wa Taarab na baadae kuipeleka kwao Burundi kukazaliwa kundi maarufu la Jasmine Taarab.</span></span></span><o:p style="font-size: 14pt;"></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-family: Arial;"><span style="font-size: large;"><span><span><br /></span></span></span></span></p> <!--EndFragment--> Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-46851194767353101612022-11-03T09:52:00.000+03:002022-11-03T09:52:06.020+03:00MKOANI PIA KUNA WANAMUZIKI WAKALI, KWANINI WANATENGWA?<p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></p><p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Kila jamii
ina muziki, kuna aina mbalimbali za muziki na zenye matumizi mbalimbali, kadri
ya utamaduni wa jamii husika. <br />
Katika zama hizi hasa mijini, muziki huonekana hasa kazi yake ni kwa kuleta
burudani. Lakini kwa asili katika jamii zetu mbalimbali muziki ulikuwa na
matumizi ya aina nyingi na hata kupewa majina kutokana na shughuli husika.<br />
Kati ya shughuli ambazo muziki ulitumika na sehemu<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>nyingine bado unatumika ni kwenye <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>matambiko, tiba, <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>misiba, sherehe mbalimbali kama mavuno, harusi
na kadhalika. <br />
Leo niongelee muziki na siasa za nchi yetu.<br />
Kabla ya Uhuru, katika maeneo mbalimbali nchini, wanamuziki kama marehemu Mzee
Moses Nnauye walianzisha vikundi vya muziki kuhamasisha kudai Uhuru, vikundi
vya kwaya, ngoma za asili, na muziki wa taarab na muziki wa dansi, vilitunga
nyimbo zenye ujumbe<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>ambao uliwafikia
vizuri wananchi wengi na hivyo <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>kuwahamasisha kuwa wana haki ya kujitawala na
kuanza kudai Uhuru. <br />
Mara baada ya kupata Uhuru,Disemba 9 1961, vikundi vya muziki <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>vilitunga nyimbo zilizoongelea furaha ya
kupata Uhuru na pia kuanza kuelezea ndoto za<span style="mso-spacerun: yes;">
</span>wananchi baada ya uhuru. Mahusiano ya muziki na siasa yaliongezeka sana,
na baada ya Tanzania kuamua kuwa nchi ya Kijamaa, serikali iliwekeza sana
katika sanaa, kwani ilitambua kuwa hiyo ilikuwa njia muhimu ya kufikisha
taarifa ya malengo ya serikali. Pamoja na kuweko majengo yalikuwa maalumu kwa
ajili ya maonyesho ya muziki, pia yalihamasishwa mashindano, matamasha na
maonyesho ya aina mbalimbali ya muziki kila kona ya nchi.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Watu
waliokuwa vijana na watoto katika miaka ya 60, 70, na 80 wanaweza kukueleza
hadithi ndefu jinsi walivyokuwa wakishiriki kwa namna moja au nyingine katika
nyimbo mbalimbali zilizohusu mambo ya nchi yao. Kulikuwa na shughuli za muziki
kuanzia ngazi ya vijiji, mada mbalimbali zilitungiwa muziki kwa kutumia muziki
wa asili, kwaya na muziki wa kisasa. Kwa njia hiyo taarifa za mambo mbalimbali
zilieneka kila kona ya nchi japokuwa mawasiliano ya umma <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>yalikuwa hafifu mno kulinganisha na zama hizi.
<br />
<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Kulikuweko na Maafisa Utamaduni wa Wilaya
na Mkoa nchi nzima, na maafisa hawa wakahamasisha kuanzishwa vikundi vya muziki
wa aina mbalimbali kwenye sehemu za kazi, shuleni, vijijini na kadhalika. <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Taasisi za serikali na mashirika ya umma vilihamasishwa
kuanzisha vikundi vya sanaa, na ndipo kukawepo kundi la sanaa la Taifa, vikundi
vya sanaa majeshini ambapo huko pia kukawa na vikundi vya taarab na dansi,
mashirika kama Bima, DDC, URAFIKI, TANCUT na mengine mengi yakawa na vikundi
vya sanaa vizuri sana, Kurugenzi za mikoa Dodoma na Arusha nazo zikaanzisha
vikundi, Umoja wa Vijana wa TANU nao ukawa na vikundi ikiwemo bendi yake
maarufu Vijana Jazz band. Vikundi vyote hivyo vilishiriki sana katika kuimba
nyimbo mbalimbali za maisha katika jamii na pia siasa, na maendeleo na nchi. Katika
mfumo huo walikuja kupatikana akina Mzee makongoro , Mzee Mwinamila, John Komba
na kadhalika. <span style="mso-spacerun: yes;"> </span><br />
Viongozi wa ngazi mbalimbali walivitembelea vikundi vilivyo chini ya himaya yao
kuvikagua navyo viljitayarisha kuonyesha umahiri wao, hivyo nchi nzima
ilichangamka kwa ubunifu katika muziki wake. <o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Katika ziara
ambazo zilichukuliwa kwa uzito mkubwa na <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>vikundi vyote, zilikuwa ziara za viongozi
wakuu wa<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>nchi. Mazoezi yalikuwa makubwa,
kwaya zilitunga nyimbo mpya, ngoma zilitunga nyimbo mpya, bendi na vikundi vya
taarab vilitunga nyimbo mpya, kila moja ilijitahidi kwa umahiri ili tu kupata
nafasi kuonyesha kazi mbele ya umma na viongozi hao wakuu. Na hakika kabla ya
kiongozi kuanza shughuli au<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>hotuba,
wanamuziki waliburudisha umma kwa kazi zao. Ni katika mfumo huo ambapo wanamuziki
kama Bi Shakila walipogunduliwa. Ilikuwa ni siku Mwalimu Nyerere alipotembelea
Pangani na Shakila akawa mmoja wa wanamuziki wa pale Pangani walioweza
kutumbuiza mbele ya Mwalimu Nyerere, na umahiri wake kugunduliwa. Na hali
kadhalika wasanii wengi waliokuja kuwa maarufu walionekana kwanza katika
maonyesho mbele ya viongozi wakuu.<br />
Machifu wengi wa zamani walitumia wasanii kupata taarifa za hali ya utawala
wao. Wasanii wachekeshaji na wanamuziki waliweza kutunga vichekesho au nyimbo
zilizokuwa zikielezea ukweli wa jinsi wananchi walivyokuwa wakijihisi wakiwa chini
ya Chifu wao, nae alichukua ujumbe huo uliokuwa ukionekana kama utani au wimbo
mzuri na kuufanyia kazi.<br />
Zama hizi za dot com mambo ni tofauti sana, ni jambo la kawaida kabisa viongozi
wa juu wakiwa katika ziara zao nchini,<span style="mso-spacerun: yes;">
</span>kusindikizana na wanamuziki ‘maarufu’ Kitaifa.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Hali hii ya kuletewa msanii ‘maarufu’
kutumbuiza ‘nyumbani kwao’<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>na kuwadharau
wasanii wenyeji ina waacha wasanii wenyeji wakijiuliza maswali kuhusu thamani
yao mbele ya kiongozi huyo mkuu. Taratibu hii mpya pia inamyima kiongozi mkuu
fursa ya kuona sura nyingine ya sanaa za wananchi anaowaongoza,<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>na muhimu zaidi anakosa kusikia ujumbe mpya
kutoka kwa wananchi wa sehemu anayozuru.<br />
Nina imani kabisa kabisa kuwa wasanii wote wana haki sawa mbele ya viongozi
wakuu, hivyo si haki kudharauliwa kwa kipimo cha umaarufu wa kibiashara.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-90084366241057645982022-10-03T13:12:00.001+03:002022-10-03T13:12:19.789+03:00USHIRIKINA KATIKA MUZIKI HISTORIA NI NDEFUUUU<p><span style="font-size: 20pt;"></span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKUzOmWWhdjLNwakUX_H8LUIosIF8FeCUjTNnoh8StuIiJw782-60gw_Yj0-u8Q0FmiENKoq13DWDsJZT3CMH4BQdySPCIWWmGaiVWd2g6qltkASFJF8ZpVcEyqam79Y7-fb1vIOdgtuvQV_0iCamgq2XHmfYa9rYqCdF97jH6REb2pBx16w8IPtvswQ/s259/hirizi.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="194" data-original-width="259" height="194" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKUzOmWWhdjLNwakUX_H8LUIosIF8FeCUjTNnoh8StuIiJw782-60gw_Yj0-u8Q0FmiENKoq13DWDsJZT3CMH4BQdySPCIWWmGaiVWd2g6qltkASFJF8ZpVcEyqam79Y7-fb1vIOdgtuvQV_0iCamgq2XHmfYa9rYqCdF97jH6REb2pBx16w8IPtvswQ/s1600/hirizi.jpg" width="259" /></a></div><br />Imani ya
uchawi ni utamaduni ambao umekuweko katika<span style="font-size: 20pt;"> historia ya </span><span style="font-size: 20pt;">jamii zote za binadamu. Maandiko ya dini
mbalimbali yanatuhakikishia kuwa jambo hilo lipo na hulilaani. Mara nyingi
hudhaniwa kuwa kadri maendeleo na elimu yanavyoongezeka ndio imani ya
ushirikina inavyopungua na kupotea, lakini ni wazi dhana hiyo si ya kweli,
safari ya kuachana na uchawi bado ni ndefu sana, kwani ukipita katika mitaa
mingi utaona vibao vikiashiria waganga wanaoweza kutibu matatizo</span><span style="font-size: 20pt;"> </span><span style="font-size: 20pt;">mbalimbali kama ‘kusafisha nyota’, ‘kuondoa
majini’, ‘kurudisha mpenzi aliyekimbia’ na kadhalika, wasomi wenye milolongo ya shahada na stashahada si ajabu kabisa nao kuwakuta kwenye vibanda vya waganga wakitafuta kusaidiwa kwenye mambo ambayo mtu mwingine ungetegemea yanawezekana kwa juhudi tu za kibinadamu.</span><p></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;">
Muziki haujakwepa kuguswa na dhana ya ushirikina. Muziki unatumika unatumika
katika kufanikisha dhana ya uchawi na wanamuziki wengi wanaamini na kushiriki
katika shughuli mbalimbali za uchawi.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;">Tuanze na dhana ya muziki iliyopewa jina la Kiingereza ‘ healing music’. Duniani kote waganga na wachawi hutumia muziki wa aina
yake kupandisha mashetani au kuita mizimu na kadhalika, muziki huu ndio huitwa healing music, huku kwetu mara nyingine huitwa muziki wa kupandisha mashetani. <o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;">Katika
maisha yangu ya muziki niliona na kusikia vituko vingi vilivyohusishwa na
imani ya uchawi. Mara ya kwanza kuanza kuona vitimbi hivi ‘live’ ni
nilipojiunga bado mdogo na kuwa mwanamuziki katika bendi yetu ndogo huko
Iringa. Tualianza kupiga muziki wenyewe wachache bila kuwa na wazo lolote la
kuhusisha muziki wetu na imani yoyote ya kishirikina. Siku moja akaja mzee
mmoja akatukaribisha kufanya mazoezi kwenye sehemu yake ya biashara, na kwa
vile tulikuwa hatuna sehemu maalumu tuliona huu ni ufadhili mkubwa.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Tulihamishia vyombo vyetu vichache kwake, na
haikuchukua muda mrefu tukagundua kuwa biashara yake ni uganga wa
kienyeji.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span><br />
Siku moja akatueleza kuwa hatutaweza weza kuwa bendui kubwa bila ‘kusafishwa
nyota’. Tulipewa dawa za kuoga na tukaendelea na mazoezi makali tukijua muda
wetu wa kuwa bendi kubwa umewadia. Tulikubaliana kuwa tungepunguza deni la kazi
yake ya kutusafisha nyota kwa kumlipa kidogo kidogo kila tulipofanya onyesho, kweli tukaanza kumlipa kila tulipopiga.
Sikumbuki ni muda gani tuliendelea kumlipa yule mganga, japo kuwa hakuna
chochote kilichobadilika katika hadhi ya bendi yetu. <br />Siku moja mganga yule
alienda disco na akamtishia msichana mmoja kwa nyoka aliyekuwa nae mfukoni,
hapo ndipo alipokamatwa na polisi na hatukumuona tena deni likayeyuka.<br /> Miaka mingi baadae
nilikuja kujiunga na bendi moja kubwa jijini Dar es Salaam, hapo ndipo
nilipoona tena shughuli za ushirikina. Ilikuwa ni siku chache baada ya kurekodi
nyimbo mpya za bendi yetu katika studio za Radio Tanzania. Kulikuwa na kipindi
kilichoitwa Misakato , kipindi ambacho kilitambulisha nyimbo mpya
zilizorekodiwa na studio za redio hiyo, tulikuwa tumekubaliana kuwa wanamuziki
wote tukusanyike nyumbani kwa kiongozi wetu ili wote tuzisikilize nyimbo zetu
zikirushwa kwa mara ya kwanza hewani.<span style="mso-spacerun: yes;">
</span>Zilipoanza kupigwa nyimbo zetu nikashuhudia mmoja wa viongozi wetu akiwa
anaifukiza redio kwa moshi kutoka dawa zilizokuwa zimechomwa kwenye kifuu cha nazi,<span style="mso-spacerun: yes;"> hii ilikuwa </span>kwa imani kuwa kwa kufanya hivyo, vibaovyetu vipya vikisikika vitatikisa roho za wasikilizaji wake. Katika kundi hili vituko vingi
viliendelea hatimae tulizoea kuwa uongozi wa bendi yetu unaamini sana uchawi.
Kuna wakati aliletwa mganga ambaye alidaiwa aliwahi kuifanya timu moja maarufu
ya soka, ishinde kombe<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>na kuwa bingwa wa
Taifa, hata jina lake aliitwa Bingwa, kutokana na sifa hizo bendi ilimchukua
kwa mkataba na kazi yake ikawa ni kukaa mlangoni akijifanya ni muuza machungwa,
hapo alitakiwa afanye vimbwanga vyake ili wateja wengi waingie kwenye muziki.
Yeye alidai kila anapomenya chungwa kwa kuunganisha maganda kama mkanda, basi
na wateja nao wataingia katika ukumbi kwa kuunganika kwa foleni ndefu, huyu alikaa nasi kiasi
cha kuweza kuwa<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>katika misafara
mbalimbali ya bendi tulipoenda ziara za mikoani. Harakati za bendi kutafuta
umaarufu kwa uchawi ilifikia mpaka bendi ikasafiri hadi kwenda Mpanda, ambako
viongozi wa bendi walikwenda kwa mganga na kufanya mambo yao ambayo yalihusisha
na hata kumchinja mbuzi. Baadae walirudi na nyama ya mbuzi huyu mpaka
tulipokuwa tumefikia, nadhani masharti yalikuwa ni sisi wanamuziki wote tule
kipande cha mbuzi yule wa kafala. Sijajua mpaka leo viongozi walifanya nini na
nyama ya mbuzi yule maana wanamuziki walifanya mgomo wa kumla yule mbuzi.<br />
<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Ushirikina una matatizo ya kufanya watu
wasiaminiane hata kwenye bendi yenyewe, haikuchukua muda mrefu bendi ilipoanza
kupoteza umaarufu, Kiongozi wa bendi akaaitisha mkutano na kutuambia kuwa
kuanguka kwa bendi kunatokana na mmoja wetu kuiloga bendi, hapo ikatolewa
tishio kuwa mtuhumiwa asipojitaja mwenyewe na kuomba msamaha mganga aliyeagua
hilo aliahidi atamfanya awe kichaa. Jambo ambalo liliungwa mkono na wote kuwa
kama ni kweli kuna mtu namna hiyo basi apate uchizi. Hakuna aliyekumbwa na
tatizo hilo mpaka leo.<br />
Miezi michache baadae, wanamuziki wawili walioamua kuacha bendi walirudisha sare
za bendi kama ilivyokuwa kawaida zama zile. Shati zilikuwa zimechanywa kwenye
kwapa na suruali kuchanywa kwenye maungio ya miguu kwa imani kuwa hizo ndizo
sehemu zenye jasho kwa hiyo kama wangerudisha sare zao bila kuondoa sehemu hizo
wangeweza kurogwa kirahisi na kuharibiwa maisha.</span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;">Mpiga tumba mmoja tuliyekuwa nae bendi moja alinichekesha aliponihadithia kuwa kiongozi wa bendi yao moja aliyopitia, aliwahi kuwapeleka kwa mganga aliyewataka waende na vyombo vyao vya muziki. Kisha akawa ana chanja chombo na kukipaka dawa,na baada ya hapo kumchanja mwenye chombo matakoni na kumpaka dawa!!!!<br />
Katika mizunguko kwenye bendi mbalimbali, siku moja bendi yetu ilikuwa na mpambano
wa kupiga bendi zaidi ya moja katika ukumbi mmoja. Hili lilichukuliwa kuwa ni
jambo kubwa na la hatari linalohitaji matayarisho, <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>mganga maalumu lazima atafutwe ili kuilinda
bendi isimalizwe na wapinzani. Ilikuwa inaaminika kuwa katika mpambano wa
bendi, uchawi hutumika kuimaliza bendi ambayo itakuwa haina kinga, siku moja
kabla ya pambano, maboksi ya spika yalifunguliwa na ndani yake <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>kuliwekwa tunguli na hirizi mbalimbali tayari
kwa mpambano. Nakumbuka siku hiyo bendi pinzani nayo iligoma kupanga vyombo kwenye jukwaa
kuu kwa madai kuwa kuna mbuzi alifukiwa katika jukwaa lile.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;">Kwa ukweli
kabisa hata wanamuziki kutembeleana mara nyingine ilikuwa ni vigumu, kwani
ukionekana mwanamuziki wa bendi nyingine katika ukumbi, basi bendi iliyo
jukwaani haina raha, anaweza hata akatumwa mtu kufuatilia kila utakachofanya.
Na ilikuwa vigumu kuruhusiwa kugusa vyombo vya bendi nyingine kwa wasiwasi wa
kuwa unaweza ukaloga kile chombo. Niliwahi kuona bendi ikisimamisha muziki
katikati ya onyesho na kudai shabiki mmoja wa bendi pinzani, tena alikuwa mwanamke,
atolewe ukumbini kwani alikuwa ametumwa kufanya ushirikina, na hakika alitolewa nje.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;">Kulikuwa na
hadithi nyingi zilizoonyesha ni kiasi gani cha ushirikina bendi ziliweza kufanya ili
kupata wateja. Kuna bendi ambayo ilisifika kuwa kila wakimaliza kupiga muziki walipita
katika kumbi mzima <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>na kuokota vizibo vya
chupa za bia na soda, mifupa na mabaki ya nyama zilizotupwa na wateja, na hata
kupata maji toka vyoo vya ukumbi na kwenda kuloga ili wale walioingia wasiingie
bendi nyingine yoyote kasoro yao. Bendi nyingine zilidaiwa kuwa ziliweka mkataba ambapo
zililazimika kutoa kafala ya mtu mmoja kila mwaka, hivyo viongozi wa bendi
kufiwa na watoto, ndugu na hata wanamuziki wageni waliojiunga katika bendi hizo kukutwa na mauti
ambayo habari za chini chini zilidai ni katika kutoa kafala.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><o:p> </o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;">Bendi mbili
ambazo zilikuwa na upinzani mkubwa katika jiji la Dar es Salaam zilidaiwa hata
kutaka kuweka uchawi katika chanzo cha maji Dar es Salaam , na kujikuta
wakitaka kuumbuana hadharani kuhusu hilo. <br />Kuna wanamuziki wapiga magitaa wa
zamani waliowahi kupatwa na matatizo ya akili na wazee wengi mpaka leo hudai
matatizo yao yalitokana na ushindani wa uchawi katika bendi zao. Kama
nilivyosema imani ya uchawi huleta kutokuaminiana na hata madhara makubwa ya
kutuhumiana mambo ambayo mara nyingi hayana ukweli wowote. Kuna mwanamuziki
niliyejaribu kumshawishi aingie katika bendi niliyokuwa nikipigia , alikataa
katakata kwa kuwa alidai mmoja wa wanamuziki katika bendi hiyo ni mchawi.
<br />Mwanamuziki mmoja mpiga gitaa mahiri aliwahi kunihadithia jinsi alivyopita uchochoro wa nyumba ya
mwanamuziki mwenzake akashangaa kusikia jina lake likitajwa na mwenzie
aliyekuwa chumbani kwake na kusema,’ Nyota ya …….(jina la mwanamuziki huyo) izimike kama kaa hili’, akadai
alichungulia katika ufa na akakuta mwenzie anatumbukiza kaa la moto kwenye
maji.<br />
Ugonjwa wa ukimwi ulipoanza kuuwa wanamuziki kwa mara ya kwanza mara nyingi
ulihusishwa na uchawi. Rafiki yangu mmoja nilipomtembelea wakati akiwa hoi
kitandani akanambia,’Nikupe siri? Mi ntakufa lakini nauawa na wanamuziki
wenzangu kwenye bendi. Nimepata mganga kanitajia na majina kabisa’. Miezi
michache baadae mwanamuziki huyu kabla hajafariki alinambia,’Mjomba sijalogwa
wala nini, udude huu, unaniua udude’. Alifariki siku chache baada ya kunambia
haya.<br />
Kama nilivyosema awali, elimu na teknolojia hazijaondoa kabisa dhana ya uchawi.
Siku moja nilimsikia producer maarufu akiwakanya wasanii wa muziki wa
Bongofleva wanaoingia studioni mwake, wasifanye mambo ya ushirikina kwenye
studio yake. <o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;">Na siku
chache baada ya hapo tena mwanamuziki mwingine wa muziki huo kawataja ambao
aliwaita wabaya wake wanaomloga.!!!!!!! Nikaona loh kumbe shughuli bado
inaendelea, wanamuziki hawa wenye umri mdogo tayari wamekwisha jenga imani ya
kulogana katika enzi hizi za dijitali, safari bado ndefu sana, USHIRIKAINA BADO
UKO HAI KATIKA SANAA YA MUZIKI<o:p></o:p></span></p>Unknownnoreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-17138121679883108412022-09-12T20:26:00.000+03:002022-09-12T20:26:37.613+03:00MITINDO ILITAMBULISHA BENDI NA MUZIKI WAKE<p> </p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjW760sBhlRPH_S-Bnsr3OIGfaKGjJRz0Op6frT2BqGkzRQqb6VBQYJdsxu8H6X34q5PTlNo4UwBXLr4sjb2okmH_qfjpCLRE1FllnbZcRTCd7y9GqJj93kMDnOBqqIq6xfnVqFbNzSAvHg5qqTvxaqvcJCknWUN3rt5-xvns7Zg3lyZYS-LR05cF3jKg/s3648/2013-03-02%2000.43.55.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2736" data-original-width="3648" height="300" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjW760sBhlRPH_S-Bnsr3OIGfaKGjJRz0Op6frT2BqGkzRQqb6VBQYJdsxu8H6X34q5PTlNo4UwBXLr4sjb2okmH_qfjpCLRE1FllnbZcRTCd7y9GqJj93kMDnOBqqIq6xfnVqFbNzSAvHg5qqTvxaqvcJCknWUN3rt5-xvns7Zg3lyZYS-LR05cF3jKg/w400-h300/2013-03-02%2000.43.55.jpg" width="400" /></a></div><br /><p></p><p class="MsoNormal"><br /></p>
<p class="MsoNormal"><span style="color: black; line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Katika
miaka ya karibuni, utamaduni wa kila bendi kuwa na mtindo wake umefifia sana.
Lakini ulikuwa utamaduni uliokuwa maarufu sana kuanzia miaka ya sitini. Kila
bendi ilipoanza, ilijinasibu kwa kuja na mtindo wake, ingekuwa siku hizi
ingetambulika kama kuji ‘brand’. <br />
Ni vigumu kutaja mitindo yote iliyowahi kugunduliwa kwani kuna mingi ambayo
haikuwahi kupata nafasi kutambuliwa katika vyombo vya utangazaji au
kuwekwa katika kumbukumbu za aina
yoyote. Majina ya mitindo mingine ilikuwa na sababu au historia na maana
maalumu, lakini majina mengine yalikuwa ya kutunga tu na kwa kweli hata
waliokuwa waliokuwa wakiyatumia hawakuwa na maelezo ya maana ya maneno hayo.
Nakumbuka nikiwa bado mwanamuziki mdogo huko Iringa tulikuwa na bendi ambayo
mtindo wake ulikuwa ni Chikwala chikwala, namkumbuka aliyetunga jina hili,
alikuwa mpiga gitaa la rhythm ambaye pia alikuwa fundi saa. Hata yeye hakuwa na
maelezo ya maana kuhusu jina lile, ila kwa wakati ule, ilikuwa ni staili kwa
majina ya mitindo ya bendi kuwa na jina
linalojirudia rudia, hii ilitokana na bendi kadhaa Kongo kuwa na majina
yaliyojirudia rudia mfano Orchestra Lipua Lipua, Orchestra Bella Bella na
Orchestra Shama Shama. <br />
Baadhi ya majina ya mitindo ya bendi yalikuwa Mundo, Saboso, Msondo, Sokomoko, Dondola, Toyota, Kiweke,
Segere matata, Super mnyanyuo, Vangavanga, Libeneke, Chakachua, Sululu,
Ambianse, Takatuka, Afrosa na majina mengineyo mengi. Bendi nyingi zilibuni
hata aina ya uchezaji wa mitindo yao, na uchezaji mwingine ulibuniwa hata na
wapenzi wa bendi hizi. Kila bendi ilikuwa ikijitahidi kuwa tofauti na bendi
nyingine. Kwa mfano katika mji wa Tanga ulikuwa na bendi kubwa mbili, Jamhuri
Jazz Band na Atomic Jazz Band, kuna wakati bendi ya Jamhuri ilikuwa na mtindo
wa Toyota, na baadae Dondola, wakati Atomic walikuwa na mtindo wa Kiweke, muziki
wao ulikuwa tofauti, hivyo Jamhuri ikawa na wapenzi wake na Atomic ikawa na
wapenzi wake, na mpaka leo, wazee waliokuwa wapenzi wa bendi hizi mbili hubaki
kusifia ubora wa bendi zao, wazee wa Jamhuri husifu mtindo wa upigaji wa gitaa
la rythm la Harrison Siwale(Satchmo), huku wapenzi wa Atomic watakwambia hakuna
kama Kiweke, kwani upigaji wa gitaa la solo wa John Kijiko, au bass la Mwanyiro
haukuwa na mpinzani. Kule Morogoro kulikuwa na Morogoro Jazz Band na Cuban
Marimba, bendi hizi zilikuwa na mitindo mbalimbali kwa nyakati mbalimbali, na
wapenzi wao walikuwa tayari kutetea ubora wa mitindo ya bendi zao. Cuban
Marimba wakisifia mtindo wa Ambianse, Morogoro wakisifia Likembe, au sululu. Na
hakika kulikuwa na tofauti kubwa ya mitindo hii miwili japo ilipigwa na bendi
zilizotoka mji mmoja.<br />
Nimeanza kwanza kwa kutaja bendi zilizokuwa katika mji mmoja, tena huko mikoani
ambako kwanza miji ilikuwa bado na watu wachache kulinganisha na sasa,
wanamuziki walikuwa wanajuana na kuishi jirani, hali hiyo ndio iliyokuwa
Tabora, ambako pamoja na Tabora Jazz, kulikuweko na Nyanyembe Jazz, Kiko Kids,
lakini muziki wa kila bendi ulikuwa tofauti na mwingine. Dar es salaam kulikuwa
na bendi nyingi na hivyo mitindo mingi, na pia kulikuwa na bendi za watu wa
mataifa kutoka nje ya Tanzania. Kulikuwa na bendi za Magoa, kulikuwa na bendi
za Wakongo, nao pia wakawa na mitindo yao. Hakuna aliyeweza kuchanganya mtindo wa Ogelea
piga mbizi ya Maquis na mtindo wa
Chunusi wa Orchestra Safari Sound, hata
pale ambapo wanamuziki wa kutoka bendi moja walipohamia bendi pinzani kila
bendi ilibaki na staili yake na kuilinda kwa kuongeza ubora kila mara. Hivyo
haikuwezekana ukasema Sikinde na Msondo
zilipiga muziki uliofanana au mitindo ya Sokomoko na Afrosa ilikuwa na ukaribu.
Kikubwa ninachotaka kueleza ni kuwa bendi kuwa na mtindo ilikuwa si jina tu
bali kulikuweko na kazi ilifanyika ili kupata, kulinda na kuendeleza mtindo
ambao bendi iliamua kuwa nao. Nakumbuka wakati wa mazoezi enzi hizo unaweza
ukatunga wimbo ukianza kuimba wenzio watakwambia mbona unafanana na bendi
fulani na hapo utakarabatiwa mpaka uwe katika mtindo wa bendi husika.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="color: black; line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Wiki
chache zilizopita nilipata bahati ya kuhudhuria onyesho moja la bendi iliyoko
Mbeya, baridi ndio ilinilazimisha kukumbuka kuwa niko Mbeya, upigaji, uchezaji,
uimbaji wa bendi hii ulikuwa kama bendi nyingi zilizopo Dar es Salaam. Bendi
zimekuwa kama vile zimepewa amri kuwa lazima zipige muziki unaofanana. Toka umeingia
mtindo wa ‘sebene’ mwanzoni mwaka 2000, basi ni kama kila ubunifu
umesimamishwa. Hata zile bendi ambazo hupiga nyimbo za bendi ya zamani,
hulazimisha kuingiza sebene, kwenye nyimbo hizo. Juzijuzi kwenye onyesho moja
kubwa la muziki, bendi moja ilikuwa ikipiga wimbo wa Super Volcano unaoitwa
Shida, ghafla ukabadilika kwa kuongezewa sebene. Kipindi aina ya muziki wa sebene ulipokuwa
ukiingia nchini, kulikuwa na aina ya muziki wa hapa nyumbani uliokuwa unaitwa
Mchiriku. Sasa toka wakati huo,Mchiriku umeweza kujiongeza na kubadilika mpaka
sasa unaitwa singeli, tena hata hiyo singeli imeanza kuota matawi, lakini wanamuziki
wa dansi wamekwama palepale kwenye sebene. Hili linanikumbusha enzi za
teknolojia ya santuri, santuri zilikuwa zinaweza kupata mchubuko na hivyo
sindano ikakwama sehemu moja, ikawa inarudia kupiga muziki sehemu ileile
haiendi mbele wala hairudi nyuma mpaka betri itakapoisha. </span></span><span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><o:p></o:p></span></p>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-54546565820810083052022-08-31T20:56:00.002+03:002022-08-31T20:56:37.784+03:00USUPA STAA NI DHANA YA ZAMANI INAYOBORESHWA NA TEKNOLOJIA<p><span style="font-family: verdana; font-size: large;"> </span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgW4WTiGt58Uw00UYbc4I-vtCMDcbrvuKyOcvnGaWPWDyo6utqUlPLuPqaDnHz-ht2pIEpKCIMMiFfB75GnDJZCxaqQN6wrrbgyM37nqVI0ITlCdZD7R9mitAJJa8MB13zdAG_wt0iOLhhGArqNlVl31KaL2EvXJtuQa7R1W5sf98eDLt-PpSNZfzBmqA/s295/images.png" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><img border="0" data-original-height="171" data-original-width="295" height="371" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgW4WTiGt58Uw00UYbc4I-vtCMDcbrvuKyOcvnGaWPWDyo6utqUlPLuPqaDnHz-ht2pIEpKCIMMiFfB75GnDJZCxaqQN6wrrbgyM37nqVI0ITlCdZD7R9mitAJJa8MB13zdAG_wt0iOLhhGArqNlVl31KaL2EvXJtuQa7R1W5sf98eDLt-PpSNZfzBmqA/w640-h371/images.png" width="640" /></span></a></div><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><br /></span><p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><br /></span></div><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><br /></span><p></p><p class="MsoNormal"><span face=""Verdana","sans-serif"" style="font-family: verdana; font-size: large; line-height: 115%;">Ma ‘superstar’ ni watu ambao wametokea kujizolea
umaarufu mkubwa katika jamii. Superstar anaweza kuwa ametokea katika nafasi
mbalimbali katika jamii, anaweza akawa mwanasiasa, mwalimu, mkulima au mtu
yeyote katika jamii, hapa kwetu sifa hii zaidi huhusiana na wasanii. Sifa ya
‘usupastaa’ imejitokeza zaidi baada ya tasnia ya filamu kukua, jambo ambalo
limeenda sambamba na kuongezeka kwa vyombo vya utangazaji.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Na kwa kweli katika zama hizi tunao watu
wengi ambao wanapewa sifa <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>ya ‘u
superstar’ katika jamii. Hakuna chuo maalumu cha kufundisha usupastaa kwani
umaarufu wa mtu huweza kutokana na sababu mbalimbali.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span><o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span face=""Verdana","sans-serif"" style="font-family: verdana; font-size: large; line-height: 115%;">Wasanii huingia katika sanaa kwa njia na sababu
mbalimbali, wengine huzaliwa na kipaji, wengine huingia katika fani hiyo kama
njia ya kutafuta maisha, wengine huingia kwa kuiga wenzao waliomo katika sanaa,
kuna hata waliolazimishwa na ndugu na jamaa kuingia katika fani ya sanaa, na
kadhalika. Kutokana na sababu hizi mbalimbali za kujiingiza kwenye sanaa,
waliomo humu nao wanakuwa na mategemeo mbalimbali yatakayopatikana katika fani
hiyo. Wengine nia yao ni kutengeneza sanaa nzuri, bila kujali sifa wala malipo,
wengine wanafanya sanaa ili wapate kipato kizuri na wengine wakitegemea sifa tu
kutokana na ubora wa kazi yao. Na wengine kutumia sanaa kama jukwaa la kufanyia
shughuli nyingine kabisa ambazo hazihusiani na sanaa. Wasanii waliomo katika
sanaa kutafuta kipato, hulazimika kutafuta mbinu mbalimbali ili sanaa yao
iuzike, na moja ya njia kubwa ya kuhakikisha sanaa inauzika ni kwa wao kuwa
maarufu. Watu wengi wanatabia ya kufuatilia maisha na kununua kazi za sanaa za
watu maarufu. Kutokana na sababu hii, msanii huanza mbinu mbalimbali za kupata
umaarufu. Msanii atajitokeza kwenye vyombo vya habari kutangaza kazi zake na
hata kuelezea maisha yake, picha zake nzuri kusambazwa,na hata kazi hizo
kusambazwa ili watu wengi wazifahamu. <o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span face=""Verdana","sans-serif"" style="font-family: verdana; font-size: large; line-height: 115%;">Katika nchi ambazo tasnia imejengeneka vizuri, kuna
makampuni maalumu ambayo hutumia mamilioni ya fedha kujenga sifa za msanii
husika na kazi zake, kwa kutegemea faida kubwa baadae. Msanii huingia katika
mikataba ya muda mrefu na kampuni huwekeza katika kujenga sifa ya msanii ili
kupata wateja wengi wa kazi za msanii huyo.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span face=""Verdana","sans-serif"" style="font-family: verdana; font-size: large; line-height: 115%;">Je unapataje ‘u super star’ hapa Tanzania? Kama ilivyo
duniani kote kuna wasanii ambao kazi zao zimepokelewa vizuri na jamii na
kuwafanya wasanii mbalimbali kuwa maarufu kwa urahisi sana. Lakini kuna mambo
mengi ambayo yanapita nyuma ya pazia katika kupata ‘u superstar’ hapa kwetu.
Rushwa ni moja ya jambo kubwa katika kujenga ‘ma superstar’ wa hapa kwetu. Na
hili halikuanza karibuni, kwa wanamuziki wa zamani wanaelewa hali ilivyokuwa
enzi kulipokuwa na redio moja tu, ilivyolazimika kutoa rushwa ili mashahiri ya
nyimbo walizotaka kurekodi yakubalike na nyimbo zirekodiwe, kisha kutoa rushwa
ili nyimbo zilizorekodiwa zipigwe kwenye vipindi mbalimbali huku sifa za
kujenga usupastar wa wasanii hao zikimiminika, hali hii haiko tofauti sana na
sasa japo kwa sasa kuna utititiri wa redio na luninga. Watangazaji wengi
wamefaidika na rushwa kutoka kwa wasanii waliokuwa na hamu ya ‘kutoka’. Kuna
wakati watangazi wa redio mbalimbali walitengeneza umoja, ambapo mwanamuziki
alikuwa akilipia ili kazi zake zirushwe hewani. Watangazaji wa vipindi vya
redio wengi waligeuka kuwa mameneja wa wasanii na hivyo kuhakikisha wanawatangaza
wasanii wao ili wawezekuwa ‘ma supersta’. Rushwa ya ngono sio siri katika
tasnia ya sanaa katika kutafuta ‘u superstar’ . Wasanii wa kike wengi wana
hadithi ya kupitia katika mtihani huu katika kutafuta ‘kutoka’. Kuna wakati
wasanii <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>wawili wakubwa wa kike, walitangaza
mpango wa kuanza kuwajenga wenzao ili wasipitie adha ya kudaiwa rushwa hii.
Jambo ambalo linaonyesha wazi kuwa rushwa hii bado iko hai.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span face=""Verdana","sans-serif"" style="font-family: verdana; font-size: large; line-height: 115%;">Katika kutafuta ‘U superstar’, kuna wasanii ambao
wamefanya mambo mengi ya ajabu ikiwemo kutunga visa ambavyo vingewaweka katika
vichwa vya habari. Habari za msanii kufumaniwa, kupigwa, kulewa, kulazwa
hospitali, kupendana, kuachana na kadhalika vimekuwa vikitungwa na wasanii
mbalimbali ili kujiweka katika nafasi ya kutengeneza hadithi kwenye vyombo vya
habari kujiongezea umaarufu. Ujio wa mitandao ya kijamii umekuwa tena nafasi
nzuri za kutengeneza ‘U superstar’ wasichana ambao wamekuwa wanatumia sanaa
kama daraja la kupata ‘U superstar’, wamekuwa wakitumia kurasa zao kwa
kutundika picha wakiwa nusu utupu ili mradi kutafuta kujulikana na kupata
wateja wa shughuli isiyohusiana na sanaa.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal"><span face=""Verdana","sans-serif"" style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Matokeo ya vurugu hizo zote ni kuwa msanii kuwa
‘superstar’ si lazima awe msanii bora. Wako wasanii wa aina hiyo wengi na ukiulizia
kazi zao za sanaa, hazionekani au hazijulikani. Na kwa kazi zao za kisanii
ambazo hutolewa hadharani, huishia kupotea baada ya muda mfupi, lakini sifa za
‘u supersta’ zinaendelea kujengwa kwa namna moja au nyingine. Jambo ambalo ni bahati
mbaya kwa tasnia nzima ya sanaa, nikuwa masupastaa hawa wajanja wajanja
huaminiwa sana hata na viongozi wa ngazi za juu nchini,<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>na hutumika kama vigezo vya kukua kwa tasnia.
Na mara nyingine huombwa hata kutoa ushauri wa namna ya kuboresha tasnia ya
sanaa. Mungu isaidie tasnia ya sanaa Tanzania.</span><o:p style="font-size: 20pt;"></o:p></span></p>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-55507265811541457872022-08-29T14:48:00.000+03:002022-08-29T14:48:08.197+03:00UZURI NA UBAYA WA TEKNOLOJIA ZA KISASA ZA KUREKODI MUZIKI<p> </p><p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="font-size: 20pt; margin-left: auto; margin-right: auto;"><tbody><tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEislAIf8dvIyfRRbOgxaCA64DmIrBA-kV-lKL8jJqxor5DyycSH3trY2FX1u4c4X1IxolTMYgHcju7lnYtlDNau6tHFsavxcrJSfj4KoyqKy1SHSGyGFN4pPqAlCtWxFkqGIHum_eK4i0CIK0dq_QOkMRdvtMiIm6rUvSB6lIYPFcMdhdmp5U6EtnGi7A/s602/main-qimg-68e1721d26eb5148e3c4bd39fe525486-pjlq.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="462" data-original-width="602" height="308" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEislAIf8dvIyfRRbOgxaCA64DmIrBA-kV-lKL8jJqxor5DyycSH3trY2FX1u4c4X1IxolTMYgHcju7lnYtlDNau6tHFsavxcrJSfj4KoyqKy1SHSGyGFN4pPqAlCtWxFkqGIHum_eK4i0CIK0dq_QOkMRdvtMiIm6rUvSB6lIYPFcMdhdmp5U6EtnGi7A/w400-h308/main-qimg-68e1721d26eb5148e3c4bd39fe525486-pjlq.jpg" width="400" /></a></td></tr><tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: helvetica; font-size: medium;">Tape recorder ya studio miaka ya 90 kurudi nyuma</span></b></i></td></tr></tbody></table></span></p><p class="MsoNormal" style="font-size: 20pt;"><span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><span style="mso-spacerun: yes;"><br /></span></span></p><span style="font-size: large;"><span style="font-family: arial;">Kwa manamuziki ambaye uliewahi kurekodi miaka ya 90 na kurudi nyuma, hakika studio za siku hizi ni tofauti sana. T</span><span style="font-family: arial;">eknolojia inayotumika kurekodi siku hizi inarahisisha sana kurekodi. Mwanamuziki mmoja mmoja anarekodi
kipande chake, akikosea kuna uwezekano wa kurudia peke yake na wala si kazi
ngumu. Waimbaji pia wanaimba mmoja mmoja na kuna uwezekanao hata muimbaji mmoja
akaimba mara nyingi kipande kimoja na hatimae ikasikika kama ni kwaya nzima
ilikuwa inaimba. Teknolojia inawezesha hata mtu asiyejua kuimba vizuri
akarekebishwa na kusikika akiimba kwa sauti tamu ya kuvutia, pia kwa utaratibu
huu wimbo mmoja unaweza hata ukachukua mwezi mzima kukamilisha kuurekodi. Kwa kweli kuna tofauti kubwa sana. <br />Teknolojia imebadili taratibu zote
za utengenezaji wa muziki.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Ngoja nirudi nyuma
miaka ya 80, nielezea taratibu za kurekodi nyimbo ambazo siku hizi zinaitwa
zilipendwa. Kurekodi haikuwa kazi rahisi, hakukuwa na kompyuta ya kutengeneza
mapigo na kutoa sauti mbalimbali za muziki na hata kuelekeza mwendo wa wimbo, ililazimika waweko watu halisi wapige
muziki na kurekodiwa kwenye kanda zilizoitwa tape. Mashine za kurekodia
zilizoitwa ‘tape recorders’ zilikuwa na uwezo wa kurekodi njia mbili<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>(two track), hebu linganisha hilo na zama hizi
ambazo<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>hata kompyuta ya kawaida ikiwa na
program sahihi inaweza kurekodi mamia ya ‘tracks’ bila tatizo lolote.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Hivyo basi teknolojia hii ya two track ililazimisha kundi linalotaka kurekodi liupige wimbo wao wote bila kukosea ‘live’ na akikosea mtu mmoja tu,
lazima kufuta wimbo wote na kuanza upya. Hii ilikuwa na maana kuwa kila kundi
lililotaka kwenda kurekodi, ilikuwa lazima kufanya mazoezi magumu ya muda mrefu
ili kila mwanamuziki awe anauhakika na vipande vyake atakavyovipiga.<o:p></o:p></span></span><p></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Studio kubwa
za kurekodi muziki zilikuwa mbili, studio ya Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD)
na studio za Tanzania Film Company (TFC). Zote zilikuwa na masharti yaliyofanya
kazi ya kurekodi kuwa ngumu zaidi. Studio ya RTD ilikuwa inaipa kila bendi siku
mbili za kurekodi. Siku ya kwanza kurekodi nyimbo mpya za bendi na siku ya pili
kurekodi kipindi cha Club Raha Leo. Kila bendi ilikuwa inahitajika kuja na
vyombo vyake. Mapema siku ya kwanza ya ratiba, bendi iliingiza vyombo studio na
kazi ya kuvifunga na kuvitayarisha kwa kurekodi ilichukua muda wote wa asubuhi ya siku ya
kwanza. Mchana baada ya kula ndipo wanamuziki walipoingia kurekodi nyimbo zao.
Kulikuwa na sheria kuwa watu wote ambao si wafanyakazi wa RTD walitakiwa kuwa
wameondoka eneo la RTD kabla ya kushushwa bendera saa 12 jioni. Hivyo basi bendi kama ilikuwa na
nyimbo 4 au 10 ililazimika kukamilisha kazi ya kuzirekodi zote hizo kati ya saa 8
mchana mpaka saa kumi na mbili jioni. Kama nilivyosema awali, nyimbo zilitakiwa kupigwa
na kuimbwa <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>bila kukosea, kwa kweli
kazi iliyokuwa ikifanywa na wanamuziki wa enzi ile ni ya kusifika. Ukisikiliza kwa makini kuna nyimbo nyingi maarufu zilizopendwa huwa zinakuwa na makosa madogo madogo, lakini mara nyingi ilikuwa ni kutokana na hali niliyoitaja hapo juu. Kuna wimbo mmoja wa African Fiesta ambao alikuwa anaimba Tabu Ley unaitwa Ndaya, wakati wa chorus unamsikia Tabu Ley akijichanganya maneno , lakini nadhani ilionekana upite, hii ilikuwa ikitokea pale wimbo umesharudiwa mara nyingi na wanamuziki wamekwisha choka. <br />Fundi mitambo alikuwa akitupigia wimbo tusikie baada ya kurekodi na alikuwa akiuliza' Vipi huu?' wenyewe tukiwa tumeridhika tulijibu 'Upite'.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: arial; font-size: large;">TFC hawakuwa
na masharti ya muda wa kuondoka studio, TFC ilikuwa shirika la umma
na hivyo<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>lilikuwa likiendeshwa
kibiashara na malipo ya studio yalikuwa kwa siku. Kwa kuwa bendi hazikuwa na
fedha, mara nyingi zililipa malipo ya kutumia studio siku mbili zikizidi sana tatu. Hapo
ilikuwa wanamuziki wenyewe wanakuwa makini ili kutumia vizuri muda wao, ili
usije ukaisha na fedha za kuongeza muda zisiweko. Nikiwa Vijana Jazz tulitumia
studio za TFC kurekodi album iliyokuwa na nyimbo maarufu kama Thereza, VIP na
Mfitini. Tulikesha siku mbili kukamilisha album ile.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Teknolojia
ya sasa inaruhusu mtu mmoja kama unauwezo wa kupiga vyombo mbalimbali na
kuimba,ukaweza hata kutengeneza nyimbo ambazo zitasikika kama vile ni bendi
nzima ilikuwa kazini. Kwa mfano kati ya album za kwanza za wanamuziki wa
Tanzania ambazo zilitoka kwa kutumia teknolojia hii ya sasa<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>ya ‘multi track’ ni album ya Dhiki ya Patrick
Balisidya. Katika album hii Patrick alipiga vyombo karibu vyote na pia kuimba
sauti zote, ukisikia nyimbo hizo utadhani zilipigwa na bendi nzima. <o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Pamoja na
ubora wote wa teknolojia hii, kurekodi kwa mtu mmoja mmoja kunaondoa sehemu
kubwa ya utamu katika nyimbo zilizorekodiwa. Hebu fikiria ngoma yoyote ya
kiasili, irekodiwe kwa mpigaji ngoma moja moja kuingia studio na kurekodi
mapigo yake, utamu ule wa wapigaji kupeana hamasa wakati wa kupiga wote utaondoka.
Pengine ndio sababu nyimbo za sasa zinarekodiwa na kusikika vizuri lakini zinakosa
uhai fulani wa wapigaji kupiga kwa pamoja, na kuhamasishana, kupata ile 'feeling ya live'. Nyimbo za bendi zamani zilikuwa kwanza tayari zimeshapigwa mara nyingi katika kumbi mbalimbali hivyo kuwa na aina ya uhai ambao huwezi kuupata katika wimbo ambao ni mpya kabisa. Utaratibu huu uliwezesha bendi kuboresha wimbo hatimae siku ya kurekodi wimbo unakuwa umeiva.</span><span style="font-size: 20pt;"><o:p></o:p></span></span></p>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-83614015301402564412022-08-24T16:49:00.002+03:002022-08-24T16:49:14.349+03:00NIMEPITWA NA WAKATI NGOJA NIKAPUMZIKE<p><span style="font-family: verdana; font-size: large;"> </span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjA3Toxkym8qIRcedA5B138SVsm8kAYQV8vZKVxfe4eYv-Bbe9KqjJLJ6bgMzqbW-ryMIMM0Stjez4Rvs07TUwTsrhhnhF92o-mdb6t-hTU5UbYi_A0tEd6bemJ3s3TyLHMyFrA-phhgUr6FaFOarYWofKeOTw49PlxwAzkw-5M-f1Ir_vo1nbm73pA5Q/s900/gallotone-champion.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="300" data-original-width="900" height="214" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjA3Toxkym8qIRcedA5B138SVsm8kAYQV8vZKVxfe4eYv-Bbe9KqjJLJ6bgMzqbW-ryMIMM0Stjez4Rvs07TUwTsrhhnhF92o-mdb6t-hTU5UbYi_A0tEd6bemJ3s3TyLHMyFrA-phhgUr6FaFOarYWofKeOTw49PlxwAzkw-5M-f1Ir_vo1nbm73pA5Q/w640-h214/gallotone-champion.jpg" width="640" /></a></span></div><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><br /></span><p></p><p class="MsoNormal"><span style="line-height: 107%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Nilipokuwa
mdogo nilikuwa naona vibabu vya mtaani kwetu viko vya aina mbili, aina ya
kwanza ilikuwa vibabu ambavyo vilikuwa havicheki kila saa vimenuna na kwa
ujumla, watoto wote tuliviogopa, na tulianza hata kutunga hadithi kuwa vitakuwa
vichawi, au vilipata matatizo makubwa wakati wa ujana na kadhalika. Kundi la
pili la vibabu ilikuwa vile vibabu ambavyo huvikuti vimenuna, ukiviamkia
vinakujibu kwa furaha na kuanza kuulizia wazazi wako, mambo yako ya shule na
kadhalika. Vibabu hivi hata kama una shida ilikuwa rahisi kukusikiliza na
kukupa ushauri hata msaada. Na pia kulikuwa na vibibi vya aina hiyohiyo pia,
tulikuwa na rafiki yetu bibi yake alikuwa anauza maji, kila baada ya siku
chache tulikuwa tukimtembelea bibi kwa kuwa lazima atatugawia senti<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>kumi kumi kutokana na biashara yake ndogo ya
maji, kwa hesabu za harakaharaka alikuwa akitugawia pato lake la siku nzima
bila hata kusita, na wala hatukuwa wajukuu zake wa moja kwa moja. Sasa
yamenikuta siku hizi mimi ndie sasa nimekuwa babu, na polepole naanza kupata
picha kwanini wale babu na bibi zangu walikuwa vile.<br />
Wahenga walikuwa na msemo, nyani mkongwe kakwepa mishale mingi, na ndio ilivyo
katika maisha, wakongwe wamekwepa mengi, wameona mengi, kwa asili ya mila na
tamaduni zetu, wazee walikuwa na nafasi muhimu katika kutoa ushauri wa mambo
kadhaa, lakini hili linapotea taratibu, na hasa ukichukua dhana ya siku hizi
isemayo ‘wazee wamepitwa na wakati’. <br />
Wasanii ni sehemu ya jamii, hivyo hata kwenye tasnia hii dhana ya ‘wazee
wamepitwa na wakati’ inatumika sana. <br />
Ukongwe katika fani unakupa elimu ya mambo mengi, mengine unafundishwa na
wakongwe uliowakuta, mengine unajifunza kazini, hatimae kichwa kinakuwa na
majibu ya mambo mengi ambayo kwa utamaduni wa zamani unatakiwa kuyarithisha kwa
wanaochipukia katika fani. Lakini hili linakuwa gumu pale inapokuja dhana kuwa
‘wazee wamepitwa na wakati’. Ukisha kutana na hali ya kuonekana umepitwa na
wakati kuna mambo mawili unaweza ukaamua, moja unaweza ukawa mtu wa kukasirika
kila wakati, kiasi cha kwamba mtaani ukaonekana ni babu moja mwenye hasira
zisizo na sababu, watoto wakaanza kuhadithiana kuwa utakuwa mchawi au ulipata
matatizo ya akili ulipokuwa kijana. Jambo la pili linaloweza kutokea ni kuamua
kuwa mchangamfu na kubaki unacheka na kila mtu, ili usisumbue kichwa chako, na
hatimae kuondoka duniani na elimu yako kwa furaha.<br />
Kwa kicheko na furaha sana nakumbuka enzi kabla hakujawa na Baraza la Sanaa la
Taifa. Enzi hizo <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>kulikuwa na taasisi
inaitwa Baraza la Muziki la Taifa (BAMUTA), chombo kilichoanzishwa mwaka 1974.
Kazi ya BAMUTA ilikuwa kuratibu shughuli za muziki na muziki wa aina zote.<b> </b>BAMUTA
iliuangalia muziki kwa mapana yake yote, elimu, vifaa, masoko, maadili, BAMUTA
pia ilikuwa na kazi ya kuandaa sera za Taifa za muziki. Katika kipindi cha
BAMUTA bendi zilisaidiwa vyombo vya muziki na serikali, BAMUTA ilitungwa vitabu
kadhaa vilivyohusu muziki, ukiwemo muziki wa asili. Mitaala ya muziki
ilitayarishwa na muziki ukawa somo mojawapo linalofundishika mashuleni, waalimu
wake walitayarishwa katika vyuo vya waalimu wa sanaa kama vile Chuo cha Butimba,
na wakaenezwa katika vyuo na mashule nchini kote, wengine wakawa maafisa
utamaduni na wengine kuwa katika ngazi mbalimbali za wizara ya Utamaduni na
sanaa. Kila mkoa ulikuwa na japo bendi moja iliyokuwa na umaarufu, kulikuwa na
kwaya nyingi, madisco mengi,<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>japo wakati
huo uwekezaji katika muziki haukuwa mkubwa kama ulivyo sasa. Mazingira
yakawekwa yaliyoruhusu wapenzi wa muziki waweze kusikiliza aina mbalimbali za
muziki hata muziki ule ambao si wa kibiashara lakini ni mzuri kwa ubora wake au
kwa ujumbe wake. Mazingira hayo yaliwapa wanamuziki maktaba pana ya kuweza
kutohoa aina mpya za muziki. Wajumbe wa BAMUTA walitoka kila kona ya nchi na
hivyo kuipa BAMUTA sura ya Kitaifa, angalia orodha ya wajumbe wa Baraza la
Muziki Tanzania; <o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><span style="line-height: 107%;"><span style="mso-list: Ignore;">1.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span style="line-height: 107%;">Boniface Musiba (Mwenyekiti wa
BAMUTA)<br />
2. D. R. Mbilinyi (Mwenyekiti Msaidizi wa BAMUTA)<br />
3. S. Chidumizi (Mjumbe wa BAMUTA-Dodoma)<br />
4. J.Y. Sapali (Mjumbe wa BAMUTA-lringa)<br />
5. Padre J.M. Buluma (Mjumbe wa BAMUTA-Mwanza)<br />
6. A. Kosana (Mjumbe wa BAMUTA-Shinyanga)<br />
7. R. Singano (Mjumbe wa BAMUTA-Tanga)<br />
8. Mbaraka Mwishehe (Mjumbe wa BAMUTA-Morogoro)<br />
9. Padre Kayatto (Mjumbe wa BAMUTA-Mbeya)<br />
10. Gwabukoba (Mjumbe wa BAMUTA-Kigoma)<br />
11. P. Balisidya (Mjumbe wa BAMUTA-Dar es Salaam)<br />
12. R. Mselewa (Katibu Mtendaji wa BAMUTA)<br />
13. E. Kavalambi (Mkufunzi wa Muziki-Marangu CE.T.)<br />
14. K. J. Nsibu (Aflsa Utamaduni-Korogwe)<br />
15. E. Lameck (Mwanakwaya-Mwatex)<br />
16. G. Kanyabwoya (Mwalimu-Kigoma)<br />
17. T. Busyanya (Mkufunzi wa Muziki-DSM CE.T.)<br />
18. G. Daudi (Afisa Sanaa za Maonyesho-Rukwa)<br />
19. John Mgandu (Mwalimu wa Muziki-Tabora Shule ya Seko-ndari ya Wavulana)<br />
20. E. G. Makala (Wizara ya Utamaduni)<br />
21. F.E. Nkwera (Mkufunzi wa Muziki-Songea CE.T.)<br />
22. T. Nkera (Mkufunzi wa Muziki-Ndwika CE.T.)<br />
Wakati ufanisi wa Baraza hili ukiendelea, akatokea mtu mmoja akaanzisha wazo la
kuwa na Baraza moja kwa ajili ya Sanaa zote, na ndipo likazaliwa Baraza la
Sanaa la Taifa. muziki ukashushwa na kuwa ni Idara tu katika katika Baraza hili,
tena hata hiyuo idara ilisha uwawa . <o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraphCxSpLast"><span style="line-height: 107%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Lakini nisijichoshe, ngoja nikacheze na watoto, si unajua wazee tumepitwa
na wakati.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 107%;"><o:p><span style="font-family: verdana; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>Unknownnoreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-29230065814331155342022-08-23T17:50:00.000+03:002022-08-23T17:50:12.690+03:00SEHEMU YA RIPOTI YA TAMASHA LA BENDI LA TANZANIA LIVE MUSIC FESTIVAL 2012<p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhmfVuYJIKZBtZDN9of8f8Dr4WmjYBpSqHj5IrHQao_ztpr2p_7hGvuEGu09fIA4-4wrOEF33zXOO8O9wMUPRmdkCXm21YvYv31iTQgoBrv9HGpszd9_kj84eFhl6PlNqa1FjWXcet_iUp-xaqRxszmV4HADEdYpTgingClOVVSW-CWvc5gEICDytWUuA/s640/IMG_0747.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="480" data-original-width="640" height="300" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhmfVuYJIKZBtZDN9of8f8Dr4WmjYBpSqHj5IrHQao_ztpr2p_7hGvuEGu09fIA4-4wrOEF33zXOO8O9wMUPRmdkCXm21YvYv31iTQgoBrv9HGpszd9_kj84eFhl6PlNqa1FjWXcet_iUp-xaqRxszmV4HADEdYpTgingClOVVSW-CWvc5gEICDytWUuA/w400-h300/IMG_0747.JPG" width="400" /></a></div><br /><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><br /></span><p></p><p><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Baada ya
matayarisho mbalimbali yaliyochukua miezi mitatu hatimae tarehe 28 September 2012,
bendi ziliweza kuanza kupanda jukwaani kufanya maonyesho katika viwanja vya Leaders Club. Bendi zilizopanda
jukwaani karibu zote zilikuwa na makubaliano ya kulipwa na zililipwa fedha ya
awali wiki 2 kabla ya onyesho na fedha iliyobaki ilikamilishwa siku ambapo
bendi zilipanda jukwaani. Hakuna bendi yoyote iliyokuwa ikiwadai watayarishaji.</span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-size: large;"><span style="font-family: verdana;">Watayarishaji
walijipanga kwa kuhakikisha kuna jukwaa la Kimataifa lililopambwa na taa za
rangi za kiwango cha juu, na vifaa vya muziki ambavyo vilihakikisha kila bendi
inapopiga muziki, muziki wake ulisikika kwa kiwango cha hali ya juu.
Hakukusikika mpaka leo malalamiko kuhusu upande huo wa matayarisho.<o:p></o:p></span></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><br /><table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><tbody><tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEit-r4b9-sXDwjol_y1HfZ5H6NaxDaUr7SCxDB2mQ-yMz18XLEV3hBtzDHCOIQGOH0P9nGB7Gdsfp5lPVpHw9yd4zozK8O3AE8p_z3nFJp1siyWM813N4-7d-htJlU_eu4nBLIxKzhi3_xLnE372vMnzfIEdX6QpC2rM6-DLQuYy5J8tSZSfpO7yJaa_w/s640/IMG_0713.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="640" data-original-width="480" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEit-r4b9-sXDwjol_y1HfZ5H6NaxDaUr7SCxDB2mQ-yMz18XLEV3hBtzDHCOIQGOH0P9nGB7Gdsfp5lPVpHw9yd4zozK8O3AE8p_z3nFJp1siyWM813N4-7d-htJlU_eu4nBLIxKzhi3_xLnE372vMnzfIEdX6QpC2rM6-DLQuYy5J8tSZSfpO7yJaa_w/s320/IMG_0713.JPG" width="240" /></a></td></tr><tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><i>MC BEN KINYAIA</i></td></tr></tbody></table><br /></span></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Tamasha lilianza tarehe 28 September 2012, saa kumi na mbili
jioni, kwa bendi kuanza kufanya
maonyesho, bendi ya kwanza kupanda jukwaani ilikuwa ni Msondo Ngoma Music Band
na kufuatiwa na bendi ya Fm Academia, na baadae bendi za Akudo Impact, Mashujaa
Band, kundi la Taarab la Mashauzi Classic na baadae vijana wa Orynx Band. Bendi
zote zilifanya vizuri sana, bendi zilipanda
kwa zamu kama ratiba ilivyokuwa imewaelekeza na mshereheshaji alikuwa ni Ben Kinyaiya alifanya kazi kwa
umakini wa hali ya juu .<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal"><o:p><span style="font-family: verdana; font-size: large;"> </span></o:p></p><p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">
</span></span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Tamasha liliendelea siku ya pili kama ratiba ilivyokuwa imepangwa kwa bendi za
Mlimani Park, Skylight band, B Band, Oryx Band, Bi. Khadija Kopa kupanda jukwaani, na kama ilivyokuwa jana
yake wakiongozwa na mshereheshaji Ben
Kinyaiya.</span><o:p></o:p></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"></span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="line-height: 115%;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhZ3RfRryfAxxY5zie7n5mYlAZ2Rh7jgsoKjWtzo_2ufXkDDQWZKAjDPdnpUExyWDjw76e3sU-vbk9bEv9olmczrt0o0JbmVQf06Ft54LKrlzw1fCHzFg6maV12tR3xqRGfpMmOtb_-KjAdWjfXOjDTFUQcJOjxvfGMH2fkAREmJ7irCv8H2sxbc1fTBA/s640/IMG_0717.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="480" data-original-width="640" height="300" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhZ3RfRryfAxxY5zie7n5mYlAZ2Rh7jgsoKjWtzo_2ufXkDDQWZKAjDPdnpUExyWDjw76e3sU-vbk9bEv9olmczrt0o0JbmVQf06Ft54LKrlzw1fCHzFg6maV12tR3xqRGfpMmOtb_-KjAdWjfXOjDTFUQcJOjxvfGMH2fkAREmJ7irCv8H2sxbc1fTBA/w400-h300/IMG_0717.JPG" width="400" /></a></span></div><span style="line-height: 115%;"><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgM3IH6BVb7joR9lZDnt-8oIp3zNu7nCr5oi7jEdCSeerJKg59Ew0bnrj8TnADttO-lTJgEG7CsAT3K-xH-Z0UI5nGGEF1Id0BaKXIAQhQroT55n-HFzdARhmUDEluL4IXJDuQL1ITko2lF7jyWYyNn1ynltW62-dl7L01mFxaq17UL9faW7Bq93-g5Fw/s640/IMG_0728.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="480" data-original-width="640" height="300" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgM3IH6BVb7joR9lZDnt-8oIp3zNu7nCr5oi7jEdCSeerJKg59Ew0bnrj8TnADttO-lTJgEG7CsAT3K-xH-Z0UI5nGGEF1Id0BaKXIAQhQroT55n-HFzdARhmUDEluL4IXJDuQL1ITko2lF7jyWYyNn1ynltW62-dl7L01mFxaq17UL9faW7Bq93-g5Fw/w400-h300/IMG_0728.JPG" width="400" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKK6Gadm_Pn-vv1PTXiVTXUTbJC1iad6q_0ikmCP-rOeCDRh69cjQI0R5b18Scvp4--KBveThXm5a5gn7lMvZltKjMJBfjiJZLHHomYwDdWkCYTzAfoUMn5mwITTgL0o3Gx1Ub3lZKtgR7gZDYJ_ZGmfzPAVfYhjqBEfpcYWZbIEaxBoSr7HBCg0JBKQ/s640/IMG_0729.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="480" data-original-width="640" height="300" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKK6Gadm_Pn-vv1PTXiVTXUTbJC1iad6q_0ikmCP-rOeCDRh69cjQI0R5b18Scvp4--KBveThXm5a5gn7lMvZltKjMJBfjiJZLHHomYwDdWkCYTzAfoUMn5mwITTgL0o3Gx1Ub3lZKtgR7gZDYJ_ZGmfzPAVfYhjqBEfpcYWZbIEaxBoSr7HBCg0JBKQ/w400-h300/IMG_0729.JPG" width="400" /></a></div><br /><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><br />
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><u>MAFANIKIO</u></b><o:p></o:p></span></span><p></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Mafanikio yaliyopatikana
ni uzoefu mkubwa wa namna ya kutayarisha tamasha la muziki wa bendi.
Mawasiliano yaliweza kufunguliwa kati ya watayarishaji na wanamuziki wa bendi
mbalimbali. Kumekuweko na mafanikio ya kujua namna ya kupata vyombo na mafundi
bora wa sauti, upambaji wa jukwaa na matayarisho yote ya awali ya kuwezesha
tamasha kufanyika. Kumepatikana uzoefu wa kuitisha press conference na kufanya
mikutano na wadau mbalimbali wa matamasha, serikalini, katika kampuni binafsi
na watu binafsi.<o:p></o:p></span></span></p><p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"></span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="line-height: 115%;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjxUsTpqsAe_ARRbpWV3LRBzHOhHsJC_h5llR-qIoIbW7RigYIs67-6nfbGXTSN7b0ZVr2dLbPyBB-SGpBWKJYUV-9NnoesrJnwRnLgAT1EBYtLT0HFzYW_hha8R1u7S7I6dwKQzeCT3ku5UwmEc1mUMvVpefNTVlu5J-t9aNeTrw4GR0HMYQEGt3xjbw/s640/IMG_0732.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="480" data-original-width="640" height="300" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjxUsTpqsAe_ARRbpWV3LRBzHOhHsJC_h5llR-qIoIbW7RigYIs67-6nfbGXTSN7b0ZVr2dLbPyBB-SGpBWKJYUV-9NnoesrJnwRnLgAT1EBYtLT0HFzYW_hha8R1u7S7I6dwKQzeCT3ku5UwmEc1mUMvVpefNTVlu5J-t9aNeTrw4GR0HMYQEGt3xjbw/w400-h300/IMG_0732.JPG" width="400" /></a></span></div><span style="line-height: 115%;"><br /><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><br /></span></span><p></p>
<p class="MsoNormal"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><u><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">WADAU TAMASHA.<o:p></o:p></span></span></u></b></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Tamasha hili
liliandaliwa kwa ushirikiano kati ya Edge Entertaiment na Chama Cha Muziki<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>wa Dansi Tanzania(CHAMUDATA) baada ya
makubaliano, ambayo yalifikiwa kukiweko na malengo ya kupata fedha kwa ajili ya
kusaidia miradi ya CHAMUDATA na kutoa mchango kwa BASATA. Kampuni ya Edge
Entertaiment iliingia<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>mkataba na Times
Fm Radio ambao uliwezesha<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Times Fm
kulitangaza Tamasha <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>pia kutoa gharama za
matumizi yote ya maandalizi ya tamasha<span style="mso-spacerun: yes;">
</span>kwa makubaliano ya fedha zitakazotumika kurudishwa kutokana na mapato ya
tamasha.<o:p></o:p></span></span></p><p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"></span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="line-height: 115%;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiTK3I6kKovJ2OP113LnXRcdXcNhRps8cQnd34jxhK3IwziLcA2yxh7pwiud-0o_3FFP7Ql_i_rf_7s-BXz_LERJM2xPcREOhLmafoOKLTY6QrNSdgBB04pCdk7mUkwA1u7gh7Vw9MmBW-qG_fNlVaiEA2k1CxRaLXxxm1133jjxnMqyk8fPSNHf_8ryg/s640/IMG_0739.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="480" data-original-width="640" height="300" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiTK3I6kKovJ2OP113LnXRcdXcNhRps8cQnd34jxhK3IwziLcA2yxh7pwiud-0o_3FFP7Ql_i_rf_7s-BXz_LERJM2xPcREOhLmafoOKLTY6QrNSdgBB04pCdk7mUkwA1u7gh7Vw9MmBW-qG_fNlVaiEA2k1CxRaLXxxm1133jjxnMqyk8fPSNHf_8ryg/w400-h300/IMG_0739.JPG" width="400" /></a></span></div><span style="line-height: 115%;"><br /><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><br /></span></span><p></p>
<p class="MsoNormal"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><u><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">KAMATI.<o:p></o:p></span></span></u></b></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Kamati ya
pamoja ya Edge Entertaiment<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>na Times Fm
Radio iliundwa na ikapewa majukumu ya kuhakikisha<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>tamasha linafanikiwa, kamati ilifanya kazi chini
ya uangalizi wa upande zote mbili zilizokubaliana na kamati<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>iliomba kampuni ya Edge Entertaiment iajiri
mtu wa PR atakayehakikisha mpangilio<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>mzuri
wa Tamasha na Edge Entertainment ilifanya hivyo. <o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"></span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="line-height: 115%;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh29MfEYF913zhJTvR-GVTsVDMAH7beOluRLe_on9SyMTSnegy0dM4lHgJDlexGcuFQ_SwtjxjMf7jgO5yRfw72kiIclHy16mhiSZs-oAiBFyKp7MKiGiV_A2Cqd0Qq5QD8Td48n6UJifbZJZ7mo0KBgjphQdPAdFO8SsLbJJU4qynaI4rKi0FCgXr3Wg/s640/IMG_0740.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="480" data-original-width="640" height="300" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh29MfEYF913zhJTvR-GVTsVDMAH7beOluRLe_on9SyMTSnegy0dM4lHgJDlexGcuFQ_SwtjxjMf7jgO5yRfw72kiIclHy16mhiSZs-oAiBFyKp7MKiGiV_A2Cqd0Qq5QD8Td48n6UJifbZJZ7mo0KBgjphQdPAdFO8SsLbJJU4qynaI4rKi0FCgXr3Wg/w400-h300/IMG_0740.JPG" width="400" /></a></span></div><span style="line-height: 115%;"><br /><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><br />
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><u>VYOMBO VYA HABARI.</u></b><o:p></o:p></span></span><p></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Katika
kuhakikisha tamasha linafanikiwa kamati ilitumia vyombo vya habari vifuatavyo
Magazeti, Tv, Blogs, Radio<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><u><span style="line-height: 115%;">Magazeti
yaliyotumika</span></u><span style="line-height: 115%;">;<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><span style="mso-spacerun: yes;"> </span>(a)Mwananchi<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><span style="mso-spacerun: yes;"> </span>(b)Jambo leo<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><span style="mso-spacerun: yes;"> </span>(c)Mtanzania<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><span style="mso-spacerun: yes;"> </span>(d) Magazeti ya Global Publishers<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><u><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Tv
zilizotumika;<o:p></o:p></span></span></u></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><span style="mso-spacerun: yes;"> </span>(a) TBC - Mahojiano<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><span style="mso-spacerun: yes;"> </span>(b) Chanel Ten- Mahojiano<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><u><span style="line-height: 115%;">Blogs
zilizotumika;</span></u><span style="line-height: 115%;"><o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">(a) Michuzi<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">(b) Full
shangwe<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">(c) Dar blog<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">(d)
www.musiciansintanzania.blogspot<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><u><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Radio;<o:p></o:p></span></span></u></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Radio
iliyotumika ni Times Fm Radio hii ilitokana na udhamini ambao redio hii ilikuwa
imetoa<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><o:p><span style="font-family: verdana; font-size: large;"> </span></o:p></span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjnvypErfodfAgvgyr-nOAAFS-9qUM88xBWi1i_xHp1oK77KrmXI8xI9akjP5ENAzeKWXm7brFtfNPP2QDbFSuhgAjHDhe_05QYszwP6jAKMZuAQhAXpEnRa4yjC3tR6FEBkUZ9421UPmAypk_d0ijWJa8Rq9-UWHpu6db9GTafzwV4sVatZJKiS0Ppzw/s640/IMG_0765.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="480" data-original-width="640" height="300" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjnvypErfodfAgvgyr-nOAAFS-9qUM88xBWi1i_xHp1oK77KrmXI8xI9akjP5ENAzeKWXm7brFtfNPP2QDbFSuhgAjHDhe_05QYszwP6jAKMZuAQhAXpEnRa4yjC3tR6FEBkUZ9421UPmAypk_d0ijWJa8Rq9-UWHpu6db9GTafzwV4sVatZJKiS0Ppzw/w400-h300/IMG_0765.JPG" width="400" /></a></span></span></div><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><br /></span></span><p></p>
<p class="MsoNormal"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><u><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">MATATIZO.<o:p></o:p></span></span></u></b></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Kulikuweko
na matatizo kadha wa kadha, mengine ni kutokana na maamuzi yaliyofanyika,
mengine ni kutokana na wadau mbalimbali wa Tamasha, na machache ambayo yalikuwa
njee ya uwezo wa<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Kamati ya tamasha<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">* Tamasha lilifanyika
siku ya Ijumaa na Jumamosi, huu ulikuwa uamuzi ambao ulionekana kuwa ni mzuri,
lakini kwa mawazo ya wadau waliohudhuria wengi waliona ingekuwa bora tamasha
lingeanza Jumamosi na hatimae kufikia kilele Jumapili kwa maonyesho ambayo
yangeanza Jumapili kuanzia saa nne asubuhi hadi kati ya saa4 na saa 6 usiku
siku hiyo<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">* Pamoja na
bendi kulipwa si chini ya shilingi laki saba kila bendi bendi ziliendelea
kupanga ratiba zao na hata kutangaza kuwa wako katika sehemu nyingine kwa siku
na wakati uleule ambapo bendi zilitegemewa kuwa jukwaani katika tamasha. Msondo
Ngoma walipiga wimbo mmoja tu kwa malipo ya shilingi milioni 1.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">* CHAMUDATA<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>kilikuwa mdau muhimu katika tamasha hili,
kwanza kwa kuwa sehemu ya mapato yalikuwa yaiingie katika mfuko wa chama hicho,
na pili hili lilikuwa tamasha la muziki wa bendi, hivyo kuwa linafanya kile
ambacho chama hiki kinasimamia, lakini hakukuweko hata afisa mmoja wa<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>CHAMUDATA katika kipindi chote cha tamasha,
ambapo ingetegemewa chama kiwe chombo kimojawapo cha kupigia debe mafanikio ya
tamasha hili.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">* Kulikuweko
na matatizo ya matangazo ambapo palikuweko na matukio ya kubandua mabango, na
wakati fulani kuchanganya taarifa katika matangazo ya magazeti.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">* Pamoja na
kuwa eneo la Leaders lilikuwa limelipiwa, bado uongozi wa bar ya Leaders
ulikaidi na kuendelea kukiuka masharti kwa kuendelea kufanya mauzo ya vinywaji
kinyume na utaratibu na makubaliano na wadhamini wakuu wa tamasha. Hili
limepelekea wadhamini kugoma kulipa baki ya ada ya udhamini ambayo ni shilingi 10,000,000.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">* Mgeni
rasmi aliwasili kwa muda aliopangiwa ambao ulikuwa ni saa moja, hili lilikuwa
kosa kwani muda huo ndio ratiba inaanza na si muda mzuri kwa mgeni rasmi kuwa
ndio anawasili, pia hakukuweko na protokali za kumpokea mgeni rasmi jambo
ambalo lilitia doa ujio wake. Na hivyo alishindwa hata kufanya shughuli ya
kufungua rasmi tamasha<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><o:p><span style="font-family: verdana; font-size: large;"> </span></o:p></span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjGrcGfOrcr9vgg8uQ7jJegVnsnNrQXwp9bgbsIc3gmYfnPam7Opxn8GltkAMmGl0ERSgPZGi28tBKP7_PLOWAyWnj_nKD7Pe1c1WwClB3Uqp3ziM235Dj2jflwFeXIgw4gvpdIFVQilIRu2qwtZ6NJCdWQOXFCK_m7hxivTskJLl6AWegVpHlJS8Mp4w/s640/IMG_0703.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="480" data-original-width="640" height="300" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjGrcGfOrcr9vgg8uQ7jJegVnsnNrQXwp9bgbsIc3gmYfnPam7Opxn8GltkAMmGl0ERSgPZGi28tBKP7_PLOWAyWnj_nKD7Pe1c1WwClB3Uqp3ziM235Dj2jflwFeXIgw4gvpdIFVQilIRu2qwtZ6NJCdWQOXFCK_m7hxivTskJLl6AWegVpHlJS8Mp4w/w400-h300/IMG_0703.JPG" width="400" /></a></span></span></div><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><br /></span></span><p></p>
<p class="MsoNormal"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><u><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">HITIMISHO.<o:p></o:p></span></span></u></b></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Kwa ujumla
Tamasha lilikuwa na mengi sana mazuri kiutendaji, vyombo vizuri na vya kisasa, stage
kubwa ya kisasa, na<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>liliweza kufanyika <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>kwa bendi zaidi ya kumi kushiriki. Ni wazi ni
muhimu utamaduni huu wa kuwa natamasha kila mwaka kuendelea japo matayarisho
yanatakiwa kuanza sasa.<br />
Wanamuziki wa mabendi walikatisha tamaa kwani wamekuwa wakilalamikia kukosekana
kwa Tamasha lao, <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>lakini ni wazi
walithamini zaidi kazi zao za kawaid kuliko Tamasha lililokuja kukidhi kiu yao.<br />
<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Kwa upande wa mapato hayakuwa mazuri waandaji<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>waliingia hasara<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>kubwa na <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>hivyo kushindwa kutimiza malengo yake likiwemo
la kukisaidia Chama cha Muziki wa Dansi Tanzania (CHAMUDATA). Waandaji
wataendelea na elimu na mafunzo mbalimbali kwa wanamuziki wa muziki wa dansi
wakishirikiana na BASATA na CHAMUDATA ili kuweza kuleta mafanikio katika muziki
wa dansi Tanzania.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Katibu<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><o:p><span style="font-family: verdana; font-size: large;"> </span></o:p></span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjMHrRjE_YfxK52d-pFW8gve9nCCdYJUdv2U_S_-LYtV6m6qzz3mgkEM_WDmA4zYBpPDk71jcKE14NwqwvJvWHwKYEgt4rYFmsXhknghPw80f9z3DTutusymWSd7O18Zmp87ZA8ZQBE6nxm7UJ-bcPB0WwJadCU4lePeniz8j40hcqTLlZ9PNb_awBx5w/s640/IMG_0793.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="480" data-original-width="640" height="300" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjMHrRjE_YfxK52d-pFW8gve9nCCdYJUdv2U_S_-LYtV6m6qzz3mgkEM_WDmA4zYBpPDk71jcKE14NwqwvJvWHwKYEgt4rYFmsXhknghPw80f9z3DTutusymWSd7O18Zmp87ZA8ZQBE6nxm7UJ-bcPB0WwJadCU4lePeniz8j40hcqTLlZ9PNb_awBx5w/w400-h300/IMG_0793.JPG" width="400" /></a></span></span></div><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><br /></span></span><p></p>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-4571142922915603592022-08-22T10:28:00.002+03:002022-08-22T10:28:12.371+03:00KUWA MWANAMUZIKI ZAMANI HAIKUWA LELEMAMA<p> <table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><tbody><tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjeBkQyRIHf2aPvbBybuRAxp_qaSn8X9ppHeMut-5tKUm-QnaBq6bPfd1xeHtJsQMHHwhV17omgw5uafsYF6Fz2ExUHrSZ6M6VGVTHTF37xIyucdxRdvQF5LZeqALFBqH3PeeEtBg63xiflSbpzq5mw3v2i6eitT712IVITQQ8AKrEA1nVMHpqd6BwFBw/s951/1933278_1818151812467_6265792_o.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="683" data-original-width="951" height="288" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjeBkQyRIHf2aPvbBybuRAxp_qaSn8X9ppHeMut-5tKUm-QnaBq6bPfd1xeHtJsQMHHwhV17omgw5uafsYF6Fz2ExUHrSZ6M6VGVTHTF37xIyucdxRdvQF5LZeqALFBqH3PeeEtBg63xiflSbpzq5mw3v2i6eitT712IVITQQ8AKrEA1nVMHpqd6BwFBw/w400-h288/1933278_1818151812467_6265792_o.jpg" width="400" /></a></td></tr><tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: arial;">Vijana Jazz Band tukielekea Ifakara</span></b></i></td></tr></tbody></table><br /></p><p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Kuwa
mwanamuziki katika miaka ya tisini na kurudi nyuma haikuwa lelemama, ilikuwa kazi ngumu,
iliyokuwa yakujitolea haswa. Kati mambo magumu miaka hiyo ilikuwa kusafiri
kwenda kufanya maonyesho. Katika zama hizi mwanamuziki anapata mualiko,
anatajiwa na fungu atakalolipwa, anachagua aina ya hoteli ya kulala na hata
usafiri kama ni wa ndege au gari la abiria
au hata gari binafsi, fursa hizo hazikuweko miaka hiyo. <br />
Kwanza kabisa kulikuwa na taratibu za kiserikali, ili bendi au kikundi cha
muziki kitoke katika mkoa ambako ni masikani taratibu zilikuwa ngumu. Kikundi
kilianza kwa kuandika barua kwa Afisa Utamaduni wa mkoa kuomba ruksa ya kutoka
nje ya mkoa. Afisa Utamaduni akisha kutoa kibali kile, muwakilishi wa bendi
hutangulia kwenda kuwakilisha kibali kwa Afisa Utamaduni wa mkoa ambao kundi
linaenda ili kupata kibali cha kufanya kazi katika mkoa husika, Afisa Utamaduni
Mkoa akisha toa kibali kuingia mkoa wake, ndipo nakala ya kibali hupelekwa kwa
Afisa Utamaduni wa Wilaya ili nae atoe kibali cha kuruhusu kundi kufanya
maonyesho katika wilaya yake. Kutokana na uchache wa magazeti, vikundi vingi
vilianza safari bila matangazo yoyote, kwani kuna wilaya nyingine, magazeti
hayakuwa yanafika kabisa au magazeti yalifika machache na hata hayo yaliweza
kuchelewa hata siku nne. Mwakilishi wa
kikundi akishafika kwenye mji ambao bendi au kundi lingefanya maonyesho,
alishirikiana na Afisa Utamaduni kupata kumbi na kufanya booking ya mahala pa
kulala. Matangazo ilikuwa ni karatasi za kuandika kwa mkono na kisha kubandika
katika kuta na nguzo mbalimbali. Baada ya hapo alitafutwa mwenyeji ambaye ni
mtangazaji naye alipita katika mitaa mbalimbali akitangaza kupitia kipaza sauti
cha mkononi. Nakumbuka mwaka mmoja mapema miaka ya 80, nikiwa na Orchestra
Mambo Bado, tulifika Mpanda na kuelekezwa kuwa mtu maalumu ambaye hutangaza mambo
yote pale, alikuwa bwana mmoja aliyepewa jina la utani la Mshindo Mkeyenge.
Huyu alikuwa akipita mitaa mbalimbali na ngoma yake na hiyo hugonga ili watu wamsikilize na ndipo hapo hutangaza
kuwa kuna dansi linakuja na litakuwa wapi na kiingilio chake. <o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Usafiri wa
bendi ulikuwa wa basi za abiria na mara nyingi malori ambamo wanamuziki
walijazana humo wakiwa na vyombo vyao. Kati ya safari za aina hii nilizowahi
kusafiri kwa roli ni toka Mbeya hadi Chunya na kurudi, kutoka Mtwara na
kuzunguka miji ya kusini mingi kama Masasi , Nachingwea, Lindi kutumia lori la
aina ya Isuzu Long base. Na nikiwa na bendi ya Tancut kwa ujumla usafiri wetu
ulikuwa ni loti aina ya ‘canter’, humo tulizunguka miji kuanzia Makambako,
Njombe, Songea, Mbeya, Tunduma na miji mingine mingi, tuliwahi pia kuzunguka
miji mingi kanda ya ziwa kutumia<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>lori
aina ya Leylan Albion. Huo ndio ulikuwa usafiri wa masupastaa wa mika hiyo.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Malazi kwa kawaida hayakuwa ya kifahari, kwa
kawaida vyumba vilivyokodishwa vilikuwa ni dabo ili kupunguza gharama, na gesti
zenyewe zilikuwa ni zile ambazo gharama zake zikuwa chini. Kulala njaa halikuwa
jambo la ajabu, hasa mkipiga dansi na kukosa wateja, hapo ndipo mnaweza
kujikuta mmelala ukumbini ili pesa itoshe gharama za kuwasafirisha kwenda mji
unaofuata. Miji mingi haikuwa na umeme hivyo bendi nyingine zilikuwa
zikizunguka na jenereta, au kukodi kwa ajili ya kila onyesho.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Kama ilivyo
katika biashara nyingine uongo nao ulikuwa mwingi sana, utasikia , ‘Bwana bendi
ikienda Nyarugusu kule fedha nje nje, wachimba migodi wana pesa sana lazima
mtarudi na pesa za kutosha kununua vyombo vipya’ . Hapo harakati za kwenda
Nyarugusu zitaanza. Miaka hiyo Nyarugusu ilikuwa mji mmoja maarufu kwa wachimba
dhahabu wadogowadogo, lakini sijawahi kuona bendi ikipata fedha za ajabu baada
ya kwenda Nyarugusu. Kuna wakati<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Bendi
tatu tulikutana Mwanza kila moja ikiwa ina mpango wa kwenda Nyarugusu. Vijana
Jazz Band,<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Maquis <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>na Ngorongoro Heroes wote tukawa Mwanza. Hali
ilikuwa mbaya sana kwa Maquis ambayo ilikuwa safarini huku <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>kwa zaidi ya miezi mitatu, ilifikia kiasi cha
wanamuziki kuanza kurudi Dar es Salam mmoja mmoja. <br />
Lakini ilikuwa ni baada ya safari hii walipojipanga upya na kurekodi vile vibao
vyao vikali, Makumbele, Tipwa tipwa na Ngalula na kurudisha heshima yao mjini. <o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Kifupi hayo
ndiyo yalikuwa maisha ya mwanamuziki wakati huo, ujana ulisababisha watu
wafurahie kuzunguka huko na huku nchi nzima, wakipata mikasa na kuitungia
nyimbo ambazo nyingine bado zinapendwa mpaka leo. Hakika sitaweza kukumbuka
sehemu zote ambazo binafsi nimewahi kupiga muziki, kwani pamoja na miji mikubwa
tulikuwa pia tunapiga katika vijiji ili mradi tupate pesa za kuendelea na
safari. Najaribu kupata picha vijana wa
zama hizi kukubali kusafiri kwa lori kwenye barabara zilizokuwa duni na za
vumbi. Nina uhakika madansi mengi yasingelia kwa supastaa kugom kupiga.</span><span style="font-size: 20pt;"><o:p></o:p></span></span></p>Unknownnoreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-36657911365101156272022-08-21T17:15:00.002+03:002022-08-21T17:15:39.207+03:00KUJIBRAND SIO DHANA MPYA<p><span style="font-family: verdana; font-size: large;"> </span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg5RQ8BvCKwogl4MJDU5Cr12sV-9mki9eo7AjM9JE6EQBX9RhQXGZFzCp47PqvS0s-qcTSd7IVzFp88Wrqp3_1-tQVkv40LFoI_ZKBRCB2qoFAWJJCo31Ehg_1A38sv6FDAtNROHSsWZkVSL2Bj7zMT7gDODR7h-kwB1qY8PlTLTKuVJbhvgNyUec3c-Q/s502/275116601_10227797445700505_1795189707731273941_n.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="502" data-original-width="502" height="400" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg5RQ8BvCKwogl4MJDU5Cr12sV-9mki9eo7AjM9JE6EQBX9RhQXGZFzCp47PqvS0s-qcTSd7IVzFp88Wrqp3_1-tQVkv40LFoI_ZKBRCB2qoFAWJJCo31Ehg_1A38sv6FDAtNROHSsWZkVSL2Bj7zMT7gDODR7h-kwB1qY8PlTLTKuVJbhvgNyUec3c-Q/w400-h400/275116601_10227797445700505_1795189707731273941_n.jpg" width="400" /></a></span></div><span style="font-family: verdana; font-size: large;"><br /></span><p></p><p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Katika zama
hizi ni kawaida kabisa kusikia wanamuziki wa kizazi kipya wakisema wanaji‘brand’.
Kujibrand ni kujitengeneza kwa aina fulani ili uwe tofauti na watu wengine na
huo kuwa utambulisho wako kibiashara. Katika mazungumzo ya wasanii wengi wa
kiazi kipya, huwa wanaamini wao ndio wamegundua dhana ya kujibrand, niliwahi
hata kumsikia msanii mmoja akisema tatizo la wana muziki wa dansi ni kuwa
hawajibrand, kuna ukweli kiasi katika sentensi hiyo lakini msanii huyu alisema
hivi kwa kudhani wasanii wa bendi hawajawahi kuelewa dhana ya kujibrand.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Kujibrand
kumekuwa sehemu ya muziki wa dansi kwa muda mwingi wa historia ya muziki huo.
Hebu turudi nyuma kuanzia miaka ya sitini. Bendi zilijitambulisha kwa majina
mbalimbali, jina ni kipengele kimoja cha kujibrand. Kulikuwa na majina
yaliyotokana na matukio mbalimbali ya kihistoria na bendi nyingine zilikuwa na
majina yaliyotokana na masikani ya bendi na mara nyingine jina ambalo lilikuwa
ni la ubunifu tu wasanii wahusika.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Baadhi ya
bendi ambazo zilikuwa na majina kutokana na masikani ya bendi hizo ni <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Morogoro Jazz, Tabora Jazz, Mbeya Jazz, Dodoma
Jazz, Dar es Salaam Jazz Band, Super Matimila Orchestra, Mara Jazz na
kadhalika. Butiama Jazz Band ilipata jina hilo kwa historia tofauti kidogo,
bendi hiyo haikuwa na maskani Butiama, lakini ilijipatia hilo jina kama heshima
kwa kijiji alikozaliwa Mwalimu<span style="mso-spacerun: yes;">
</span>Nyerere,<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>ambaye ndie
aliyewanunulia vyombo vyao vya muziki. Western Jazz Band ilijipa jina hilo
kutokana na waanzilishi kuwa wanatoka jimbo la Magharibi la Tanganyika. Wakati
wa ukoloni nchi iligawanywa katika majimbo yakiwemo Northern Province, southern
Highlands Province, Western Province, Lake Province na majimbo mengine. Kilwa
Jazz Band ilijibrand hivyo kutokana na muanzilishi wa bendi hiyo, Ahmed Kipande
kutokea Kilwa.<br />
<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Kulikuwa na bendi zenye majina ya
matukio kama Jamhuri Jazz, Ujamaa Jazz, Kilimo Jazz na kadhalika. Halafu
kulikuweko na majina ya ubunifu kama Highland Stars, Mitonga Jazz, Kochoko
Jazz, Makondeko Six, Cobash Brothers, jina lililotokana na muunganiko wa majina ya mwanamuziki waliokuwemo kwenye bendi hii, Orchestra Safari Sound, Kyauri Voice,
Orchestra Toma Toma jina lililotokana na mwenye bendi aliyeitwa Timmy Thomas, kulikuweko
na Super Rainbow, Rainbow Connection, Afro 70, Safari Trippers, Atomic Jazz
Band, Super Volcano Orchestra, Orchestra Zela Zela,<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Orchestra Super Veya, Zaire Success,
orchestra Ban Africa Kituli na kadhalika.<br />
Halafu kulikuweko na bendi ambazo zilijipa majina kutokana na kuwa chini ya
kampuni au jumuiya ya kijamii. Kulikuweko na Vijana Jazz iliyokuwa chini ya
Jumuiya ya Vijana wa CCM, Bima Lee iliyokuwa mali ya kampuni ya Taifa ya Bima,
Tancut Almasi Orchestra iliyokuwa mali ya wafanyakazi wa kiwanda cha kuchonga
almasi cha Iringa, Mwenge Jazz mali ya brigedi ya Mwenge na kadhalika. Kule
Kilombelo kulikuwa na Sukari Jazz Band, iliyokuwa ni mali ya kiwanda cha sukari
cha Kilombelo, UDA Jazz Band iliyokuwa mali ya kampuni ya mabasi ya usafiri Dar
es Salaam, kulikuweko na BAT Jazz iliyokuwa mali ya kiwanda cha sigara cha
BAT,<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>na kadhalika.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Majina haya hakika yalikuwa njia mojawapo ya
kujibrand. <br />
Bendi hizi zilianzisha mitindo yao ya kupiga na kucheza na kuipa majina kama
njia nyingine ya kujibrand. Katika kumbukumbu hizi lazima tuanze na ‘brand’
kongwe kuliko zote nayo ni mtindo wa<span style="mso-spacerun: yes;">
</span>Msondo uliyoanzishwa na NUTA Jazz Band kati ya mwaka 1964 na 1965 na
mpaka leo bado uko hai na una nguvu. Kumepita mitindo mingine kama Sikinde,
Ndekule, Bayankata, Kiweke, Sensera, Dondola, Afrosa, Koka Koka, Ambianse, Sululu,
Saboso, Paselepa, Segere Matata, Vangavanga, Sokomoko, Fimbo Lugoda, King’ita
Ngoma, Disco Agwaya, Super Mnayanyuo, Washawasha, <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Super Bomboka na mitindo mingine mingi sana,<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>itachukua kurasa kadhaa kuitaja yote.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span><span style="mso-spacerun: yes;"> </span><br />
Bendi pia zilikuwa na mavazi mbalimbali, mashati na suruali zishonwa kwa rangi
mbalimbali na mitindo ya kupendeza ilyofanya<span style="mso-spacerun: yes;">
</span>wanamuziki wapendeze wanapokuwa jukwaani, tena wakicheza kwa utaratibu
maalum wa mtindo wao. Kati ya mafundi maarufu na wabunifu wa nguo hizo walikuwa
ni mtuma salam maarufu Loboko Lobi Papaa na Mzee Kitenge ambaye kwa sasa yupo
soko la Machinga Ilala.<br />
<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Kulikuwa na kujibrand kwa mtu mmoja
mmoja ambapo wasanii walijipa majina mbali mbali ya kuvutia. Kulikuwa na majina
kama Sauti ya Zege, Stereo Voice, Electronic voice, Computer, Golden Fingers,
Dudumizi, King Michael na<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>King Kiki,
akina mama hawakuwa nyuma kulikuwa na Stone Lady, Super Mama na wengineo. Kuna
wanamuziki waliojikuta wanapata majina kutokana na nyimbo zao, Mzee Zacharia Daniel
alijulikana zaidi kama Zacharia Tendawema kutokana na wimbo aliouimba akiwa
Shinyanga Jazz Band ulioitwa Tenda Wema Uende zako, Mabrouk Khamis alijulikana
zaidi kwa jina la Babu Njenje kutokana na wimbo aliokuwa akiuimba ulioitwa
Njenje. Eddy Sheggy nae alianza kuitwa Chaurembo kutokana wimbo alioutunga
uliokuwa na jina hilo.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: verdana; font-size: large;">Kwa mifano
michache hii, kujibrand si dhana ngeni, bali kutokana na teknolojia imechukua
sura mpya na pana zaidi. Ikihusisha
kusambaza picha mnato na video kwenye mitandao, siku hizi hata kutumia mikasa
ya uongo kama vile kujitangaza kufa, au kujitangaza kukutwa na jambo la aibu
kama kufumaniwa kunatajwa kama kujibrand, hata kuimba nyimbo zisizo kubalika na
wengi ili tu zilete mtafaruku inachukuliwa kama njia ya kuji brand.</span><span style="font-size: 20pt;"><o:p></o:p></span></span></p>Unknownnoreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-79140825003956183252022-08-19T12:46:00.000+03:002022-08-19T12:46:20.551+03:00KIINGILIO KINYWAJI NINI HATIMA?<p><span style="font-family: verdana; font-size: medium;"> </span></p><p class="MsoNormal"><span style="line-height: 107%;"><span style="font-family: verdana; font-size: medium;"></span></span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: verdana; font-size: medium;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi1sM33vcevGvlCYmjKUK_OiqHo2y0jnCs3kM-irQs_-X2sQa00NxpQNj3zBb8EHJEqqxh0DLSD9vhp0h7Dh-dB-3A0_-gMienOlF9nHhCauFz5QB6xfAketaWvmhrnofMHIIpXQlV9F53BHxuTmQfRTssbhVKf4cplafyufeQEVdQJWQnTX_5ihdDDqQ/s417/192744_1930019089079_6062167_o.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="288" data-original-width="417" height="276" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi1sM33vcevGvlCYmjKUK_OiqHo2y0jnCs3kM-irQs_-X2sQa00NxpQNj3zBb8EHJEqqxh0DLSD9vhp0h7Dh-dB-3A0_-gMienOlF9nHhCauFz5QB6xfAketaWvmhrnofMHIIpXQlV9F53BHxuTmQfRTssbhVKf4cplafyufeQEVdQJWQnTX_5ihdDDqQ/w400-h276/192744_1930019089079_6062167_o.jpg" width="400" /></a></span></div><span style="font-family: verdana; font-size: medium;"><br />Ni kawaida
kabisa siku hizi kukuta bango likitangaza onyesho la kundi la muziki, na chini
kukawa na maneno, kiingilio kinywaji au hata mara nyingine kiingilio bure.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Ni wazi wanamuziki magwiji marehemu kama
wangeweza kurudi wangeshangaa na kuuliza hii inawezekana vipi?<o:p></o:p></span><p></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 107%;"><span style="font-family: verdana; font-size: medium;">Binafsi
nimekulia katika utamaduni wa maonyesho kuwa na viingilio, tofauti ilikuwa ni
kiwango cha viingilio, makundi maarufu yalikuwa na viingilio vikubwa na makundi
machanga yalikuwa na viingilio vidogo. Wenye kumbi walikuwa wakizifuata bendi
kubembeleza ziwe zinapiga katika kumbi zao na bendi zikawa na nguvu ya kutoa
masharti, kwa mfano mwenye ukumbi angeambiwa atalipwa gharama ya umeme tu,
fedha zote za kiingilio ni za bendi, au pengine kukubaliana kuwa baa itapata
gawio la asilimia kumi ya mapato ya kiingilio baada ya kuondoa gharama, na
makubaliano mengine ya namna hiyo. Hivyo bendi ziliuza muziki mlangoni na
mwenye baa akawa anauza vinywaji na chakula chake. Kulikuwa hakuna muingiliano
kiasi cha kwamba ilikuwa kawaida saa sita kasoro dakika chache usiku, kulikuwa
kunatolewa tangazo kuwa, ‘Ikifika saa sita kaunta inafungwa’,<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Hii ilitokana na sheria iliyohusu mauzo ya
pombe, watu walinunua vinywaji vya ziada na saa sita biashara ya pombe
ilifungwa biashara ya muziki iliendelea mpaka saa nane au tisa usiku. <br />
Lakini kwa zama hizi ni jambo ambalo la kawaida kukuta kiongozi wa bendi anazunguka
kutafuta ukumbi kwa kazi za ‘kiingilio bure’. Bendi inaahidiwa kiasi malipo,
ambayo mara nyingi ni madogo sana, na kuanza kupiga muziki ili watu wapate
burudani wakati wakinywa.<br />
Utamaduni huu umeanza lini? Turudi nyuma miaka ya tisini mwishoni mwishoni.
Kulikuwa na kampuni mbili kubwa za bia zilizokuwa na ushindani mkubwa. Kampuni
moja ikabuni kitu kilichokuja kufahamika kama ‘promosheni’. Kampuni hii ikaanza
kukusanya wasanii wa Sanaa za maigizo na kuwazungusha kwenye kumbi mbalimbali
kunapouzwa pombe, huko wasanii walifanya maonyesho na kisha kulipwa na kampuni.
Haukupita muda mrefu bendi ndogondogo zikaanza kugombea kujiunga katika katika
biashara hiyo, na kwa kweli kulikuwa na bendi ambazo zingetangaza kuwa
zinafanya maonyesho hakika hazingepata kiwango ambacho kilikuwa kikitolewa na
kampuni ile ya bia, hivyo ilikuwa ni jambo la faida kwa bendi hizi. Pia wakati
huohuo kukaanzisha kitu kilichopewa jina la bonanza, hasa ziku za mwisho wa
wiki, huko nako bendi na wasanii wa Sanaa za maonyesho hasa wasanii wachekeshaji
wakapata kazi na kulipwa<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>wakati wapenzi
wa Sanaa wakifaidi bila kulipa. Miaka ikaenda bendi<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>za kupiga kwa kiingilio taratibu zikaanza
kupungua. Wakati utaratibu huu unakolea, kukatokea tatizo moja kubwa, moja ya
hizo kampuni za mbili za bia, ikapotea kwenye soko. Ushindani wa makampuni
ukawa haupo, kwa hiyo umuhimu wa ‘promosheni’ ukapungua, kazi zikafifia,
wasanii wengi wakapotea moja kwa moja, ikiwemo bendi kadhaa ambazo zilijua ingekuwa
vigumu kuanza kutangaza kuwa sasa zimeanza kupiga kwa kiingilio, baya zaidi
kukawa kumetengenezwa jamii ambayo imelelewa kutokulipia maonyesho ya Sanaa.
Wasanii walikuwa wameshiriki wenyewe<span style="mso-spacerun: yes;">
</span>kutengeneza wateja wa ‘maonyesho ya bure’.<br />
Lakini pia kukawa kumezaliwa utamaduni wa wanywaji kuzoea kinywaji na maonyesho
ya Sanaa, hili likwafanya wenye kumbi kulazimika kuanza kubeba jukumu la kutafuta
wasanii wa kufanya maonyesho kwenye kumbi zao. Lakini uwezo wa wenye kumbi kulipia
‘promosheni’ ukawa mdogo, hivyo basi bendi zimekuwa zikipiga kwa ujira mdogo
sana. <br />
Malipo madogo yanafanya ishindikane kuendesha bendi kwa misingi inayotakiwa. Bendi
zinashindwa kununua vyombo vizuri, zinashindwa kufanya mazoezi, au hata
kurekodi nyimbo mpya. Na baya zaidi mtizamo wa wanamuziki katika utunzi unakuwa
mfinyu sana, tungo zinalenga kufurahisha wanywaji tu, hivyo kiwango cha utunzi
nacho kinashuka sana. Na si ajabu ukisikia siku hizi kuwa kiwango cha muziki wa
bendi kimeshuka, mfumo wa muziki unafanya aina ya utunzi ufanye bendi zionekane
zimeshuka kiwango.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 107%;"><span style="font-family: verdana; font-size: medium;">Kuna haja ya
wanamuziki hasa wa dansi kukaa na kutafakari namna ya kuondoka kwenye hili
shimo ambalo ni baya sana. Bendi ikiwa inaamka na kulala kwa kujipanga kwenda
kupigia wanywaji tuu, haitakuwa na mawazo ya kushindana katika ulimwengu wa
muziki, ni wazi mtu mwenye safari ya kutoka mtaa mmoja hadi mwingine kamwe
hawezi kuhangaika kutafuta passport kwani haimuhusu.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Bendi nyingi sasa hazina hata tungo zake
binafsi, bendi zinategemea kurudia tungo za wanamuziki wengine. Karibuni tumeanza
kusikia viongozi wa vikundi wakilalamika kuwa kuna vikundi vipya vinaundwa
vikitegemea nyimbo za kuiga tu kwenye maonyesho yao, hiyo ni changamoto kubwa
kwenye muziki wa ‘live’. Pia muda umefika kwa wenye kumbi kuelewa kuwa kama
watahitaji muziki bora utakaoleta wateja wengi kwenye kumbi zao ni vizuri
wachangie katika swala la kulipa vizuri zaidi.<span style="mso-spacerun: yes;">
</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoNormal"><span style="line-height: 107%;"><span style="font-family: verdana; font-size: medium;">Japo swali
la wahenga litakuja. Nini kilianza kuku au yai? Malipo mazuri au muziki mzuri?</span><span style="font-size: 20pt;"><o:p></o:p></span></span></p>Unknownnoreply@blogger.com3tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-65441658988922748732022-08-18T16:42:00.000+03:002022-08-18T16:42:20.868+03:00USIKU WA RHUMBA MOROGORO 27 AUGUST UNAKOSAJE????<p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhORADsBzl-dLNJZtX8twZfps59ab559bbovk6JaOI--lVMNVziU5fvQTATOZkdW1XS4I0exM6x19PTR9OC6x7znMFgPAJh4QjhMib9sCU2tMLhtuQ0cJVjExbdkvom5cCvzW13B9s_7JiIJlMgcMZslRKeA0mS8QSjnKW7OUTLih4SZqZZ_R-S8mg2dQ/s1080/IMG-20220805-WA0055.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="1080" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhORADsBzl-dLNJZtX8twZfps59ab559bbovk6JaOI--lVMNVziU5fvQTATOZkdW1XS4I0exM6x19PTR9OC6x7znMFgPAJh4QjhMib9sCU2tMLhtuQ0cJVjExbdkvom5cCvzW13B9s_7JiIJlMgcMZslRKeA0mS8QSjnKW7OUTLih4SZqZZ_R-S8mg2dQ/w640-h640/IMG-20220805-WA0055.jpg" width="640" /></a></div><br /> <p></p>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-47467080801736914392022-08-13T11:04:00.000+03:002022-08-13T11:04:12.284+03:00NGOMA AFRICA BAND KUTIKISA KWENYE TAMASHA LA KIMATAIFA LA AFRIKA EXPO, TUBINGEN,GERMANY 2022<p><span style="font-family: arial; font-size: large;"></span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: arial; font-size: large;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgClQ_MQz41ta-gt0qwJhwdZ4YNYVz3kZFgUJDewOOuwcQrRog6UvDpNF9pUYCJNnyjTfYf3myq7lSI9whcFbVrzxNC4aFhv3Awh0Yoy4D-tn7_ROd_SPolJ0OPXFT6AvtnHiV-NAe2oZalZtmxL-9no17lczaDrrMpinYDERcbbvftmCm8RMaI0kO3GQ/s800/Ngoma%20Africa%20Band%20On%20Action%20in%20Germany.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="533" data-original-width="800" height="266" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgClQ_MQz41ta-gt0qwJhwdZ4YNYVz3kZFgUJDewOOuwcQrRog6UvDpNF9pUYCJNnyjTfYf3myq7lSI9whcFbVrzxNC4aFhv3Awh0Yoy4D-tn7_ROd_SPolJ0OPXFT6AvtnHiV-NAe2oZalZtmxL-9no17lczaDrrMpinYDERcbbvftmCm8RMaI0kO3GQ/w400-h266/Ngoma%20Africa%20Band%20On%20Action%20in%20Germany.jpg" width="400" /></a></span></div><span style="font-family: arial; font-size: large;"><br /></span><p class="MsoNormal"><span style="font-family: arial; font-size: large;">BENDI<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>maarufu ya<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Ngoma Africa band itashiriki katika burudani
za kukata na shoka zitakazotumbuiza wahudhuriaji wa tamasha<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>la<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>15
la International African EXPO<span style="mso-spacerun: yes;">
</span>Festival<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>litakalofanyikaTübingen,
Ujerumani. Tamasha litakuwa kati ya tarehe 01September - 04th September
2022<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Fest Platz,<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Tübingen, Ujerumani. <br /><b><i>Ngoma africa band
watakuwa jukwaani Jumamosi 03 September 2022</i></b><br />Ngoma Africa, ni bendi yenye makao yake Ujerumani na
ilianzishwa mwaka 1993 na kiongozi wa
bendi hiyo Ebrahim Makunja anaejulikana pia kama Kamanda Ras Makunja. Bendi hii
ina wanamuziki wakali kama soloist Christian Bakotessa aka Chris-B, wengine ni
Jo Souza, Matondo Benda, Aj Nbongo, Flora William, Jessicha Ouyah, Vially
Nbongo, na wengio. Bendi hii ina mamilioni ya wapenzi na inajulikana kwa
kupagawisha kwa midundo yake yenye uasili wa Afrika ya Mashariki.</span></p><p class="MsoNormal"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Ngoma Africa imeshaachia CD kadhaa ikiwemo CD yake mpya
inayoitwa “BONGO TAMBARARE” , nyimbo mbili hizi
"Mapenzi ya Pesa" na "Supu Ya Mawe" unaweza
kuzisikiliza ukiingia hapa <a href="http://www.reverbnation.com/ngomaafricaband">www.reverbnation.com/ngomaafricaband</a></span></p><p class="MsoNormal"><o:p></o:p></p><span style="font-family: arial; font-size: large;"></span><p></p>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-6354896369510920462022-08-13T09:20:00.001+03:002022-08-13T09:20:59.181+03:00RIPOTI YA KAMATI TEULE YA KURATIBU MJADALA WA NAMNA BORA YA KUSIMAMIA HAKIMILIKI NCHINI TANZANIA AGOSTI, 2022<p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: arial; font-size: large;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhV2EtjC0X0kfZ5Iui88kTpD35qsz3TmrxzO-4N74jrqXj8WHZwMTy0OgBfv1jZ-h5yVgAOlFZj5YsYBdbRaryjJHkzNyTpnB5QKD7IZYXhSsX3ssjFtuzejV2rxWB9uhjTfqULy7gofUvNUeoAEZpdJBwg8p7O19VPmWbEqaloGwvLjqaAVLD9-2LXSA/s900/vfvf.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="660" data-original-width="900" height="235" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhV2EtjC0X0kfZ5Iui88kTpD35qsz3TmrxzO-4N74jrqXj8WHZwMTy0OgBfv1jZ-h5yVgAOlFZj5YsYBdbRaryjJHkzNyTpnB5QKD7IZYXhSsX3ssjFtuzejV2rxWB9uhjTfqULy7gofUvNUeoAEZpdJBwg8p7O19VPmWbEqaloGwvLjqaAVLD9-2LXSA/s320/vfvf.jpg" width="320" /></a></span></div><span style="font-family: arial; font-size: large;"><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /></div><br /></span><p></p><div class="WordSection1">
<p align="center" class="MsoNormal" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 23.35pt; margin-right: 16.4pt; margin-top: 3.65pt; text-align: center;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><span style="font-family: arial; font-size: large;">RIPOTI<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>YA<span style="letter-spacing: -.35pt;"> </span>KAMATI<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>TEULE<span style="letter-spacing: -.05pt;">
</span>YA<span style="letter-spacing: -.35pt;"> </span>KURATIBU MJADALA<span style="letter-spacing: -.35pt;"> </span>WA<span style="letter-spacing: -.35pt;"> </span>NAMNA<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>BORA<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>YA
KUSIMAMIA HAKIMILIKI NCHINI TANZANIA<o:p></o:p></span></span></b></p>
<p align="center" class="MsoNormal" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 23.35pt; margin-right: 16.25pt; margin-top: 0in; text-align: center;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">AGOSTI,<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.2pt;">2022</span><o:p></o:p></span></span></b></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></b></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></b></p>
<p class="MsoNormal" style="margin-left: 13.0pt; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">1.0 <span style="letter-spacing: -.1pt;">Utangulizi</span><o:p></o:p></span></span></b></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.75pt; margin-top: 6.95pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Hakimiliki
na Hakishiriki ni maeneo muhimu zaidi popote ubunifu unapotajwa. Hakimiliki na
Hakishiriki ni muhimu kwa kuwa ni msingi wa kuhakikisha kwamba wabunifu (wa
kazi sanaa na maandishi) wananufaika na matumizi ya kazi zao.<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>Sheria imeweka wazi kwamba ni wabunifu
pekee ndio wenye uwezo wa kuruhusu matumizi ya kazi zao katika maeneo
mbalimbali.<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>Hata hivyo, kwa kuwa kuna
baadhi ya haki ambazo wabunifu hawawezi kuzisimamia wenyewe, serikali nyingi
duniani zimekuwa zikianzisha taasisi mbalimbali kusimamia haki hizo. Kwa upande
wa Tanzania, kwa muda mrefu wajibu huu umekuwa ukifanywa na Chama cha<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>Hakimiliki Tanzania (COSOTA). Mnamo mwezi
Julai, 2022 Serikali ilifanya marekebisho kwenye Sheria ya Hakimiliki na
Hakishiriki ambapo mbali na mambo mengine imeifanya COSOTA kuwa Ofisi ya
Hakimiliki Tanzania na kuruhusu uanzishwaji wa makampuni au taasisi binafsi
(CMOs) zitakazokusanya na kugawa mirabaha kwa niaba ya wabunifu. Kwa mujibu wa
Sheria ya Hakimiliki na Hakishiriki, CMOs zinatakiwa kuwa taasisi
zilizoidhinishwa kisheria chini ya Ofisi ya Hakimiliki Tanzania, kufanya
shughuli za usimamizi wa Hakimiliki bila kuwa katika misingi ya kutengeneza
faida. Usimamizi wa taasisi hizi unatazamiwa kuwanufaisha moja kwa moja na kwa
njia rahisi waandishi, wabunifu na wamiliki wengine halali wa kazi za <span style="letter-spacing: -.1pt;">Sanaa.</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .05pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 6.05pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Kwa kuzingatia usuli huo na kwa kuzingatia umuhimu wa usimamizi bora wa
Hakimiliki na Hakishiriki nchini Tanzania, mnamo tarehe 01.07.2022 Waziri wa
Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa aliteua kamati<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>maalumu ya wajumbe 11 kwa lengo la
kuratibu namna bora ya usimamizi wa hakimiliki nchini Tanzania. Wajumbe hao ni
hawa wafuatao:<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="margin-top: .05pt; mso-list: l8 level1 lfo2; tab-stops: 49.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">1.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Bw.<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Victor<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Michael<span style="letter-spacing: -.25pt;">
</span>Tesha<span style="letter-spacing: .1pt;"> </span>–<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Mwenyekiti</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="margin-top: 6.85pt; mso-list: l8 level1 lfo2; tab-stops: 49.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">2.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Dkt.<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Saudin<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Mwakaje –<span style="letter-spacing: -.15pt;">
</span>Makamu<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Mwenyekiti</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="margin-top: 7.0pt; mso-list: l8 level1 lfo2; tab-stops: 49.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">3.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Bw.<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>Dimesh<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>S Mawj<span style="letter-spacing: -.05pt;">
</span>–<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Katibu</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="margin-top: 6.85pt; mso-list: l8 level1 lfo2; tab-stops: 49.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">4.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Mhe.<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Hamis<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>Mwinjuma<span style="letter-spacing: -.15pt;">
</span>–<span style="letter-spacing: -.1pt;"> Mjumbe</span><o:p></o:p></span></span></p>
</div>
<span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu"><br clear="all" style="mso-break-type: section-break; page-break-before: always;" />
</span>
</span><div class="WordSection2">
<p align="left" class="MsoListParagraph" style="margin-top: 4.0pt; mso-list: l8 level1 lfo2; tab-stops: 49.05pt; text-align: left;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">5.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Dkt.<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Omary<span style="letter-spacing: -.15pt;">
</span>Mohamed –<span style="letter-spacing: .05pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Mjumbe</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoListParagraph" style="margin-top: 6.85pt; mso-list: l8 level1 lfo2; tab-stops: 49.05pt; text-align: left;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">6.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Bw.<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Paul<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Mattysse<span style="letter-spacing: .05pt;"> </span>– <span style="letter-spacing: -.1pt;">Mjumbe</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoListParagraph" style="margin-top: 6.95pt; mso-list: l8 level1 lfo2; tab-stops: 49.05pt; text-align: left;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">7.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Bi.<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>Safina<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Kimbokota<span style="letter-spacing: .05pt;"> </span>–<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Mjumbe</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoListParagraph" style="margin-top: 6.85pt; mso-list: l8 level1 lfo2; tab-stops: 49.05pt; text-align: left;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">8.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Bw.<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Torriano<span style="letter-spacing: -.2pt;">
</span>Salamba<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>–<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Mjumbe</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoListParagraph" style="margin-top: 6.95pt; mso-list: l8 level1 lfo2; tab-stops: 49.05pt; text-align: left;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">9.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Bw.<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Gabriel<span style="letter-spacing: -.1pt;">
</span>Kitua<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>– <span style="letter-spacing: -.1pt;">Mjumbe</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoListParagraph" style="margin-top: 6.85pt; mso-list: l8 level1 lfo2; tab-stops: 49.05pt; text-align: left;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">10.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Bw.<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>Twiza<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Mbarouk
–<span style="letter-spacing: -.1pt;"> Mjumbe</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoListParagraph" style="margin-top: 6.95pt; mso-list: l8 level1 lfo2; tab-stops: 49.05pt; text-align: left;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">11.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Dkt.<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>Asha<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>S
Mshana<span style="letter-spacing: .05pt;"> </span>–<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Mjumbe</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.7pt; margin-top: .05pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Wajumbe
wa kamati hii wana taaluma na uzoefu katika maeneo mbalimbali ikiwamo wataalamu
wa masuala ya fedha, wanasheria na wabunifu wa kada ya Sanaa na <span style="letter-spacing: -.1pt;">Maandishi.</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 align="left" style="margin-left: 13.0pt; text-align: left; text-indent: 0in;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">2.0<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>Hadidu<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>za<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.2pt;">rejea</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-top: 6.85pt; text-align: left;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Kamati<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>ilipewa<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>hadidu<span style="letter-spacing: -.05pt;">
</span>za<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>rejea<span style="letter-spacing: -.1pt;"> zifuatazo:</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 49.0pt; margin-right: 6.2pt; margin-top: 6.95pt; mso-list: l4 level1 lfo1; tab-stops: 49.05pt; text-align: left; text-indent: -.25in;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">1.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Kupendekeza<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>mifumo<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>bora<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>zaidi<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>ya<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>kukusanya<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>na<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>kugawa<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>mirabaha
inayoshabihiana na mifumo mingine duniani.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-right: 5.75pt; mso-list: l4 level1 lfo1; tab-stops: 49.05pt; text-align: left; text-indent: -.25in;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">2.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Kupendekeza njia bora zaidi ya
kupambana<span style="letter-spacing: 1.6pt;"> </span>na uharamia wa kazi<span style="letter-spacing: 1.45pt;"> </span>za sanaa<span style="letter-spacing: 2.0pt;">
</span><span style="letter-spacing: -.1pt;">nchini.</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-right: 5.95pt; mso-list: l4 level1 lfo1; tab-stops: 49.05pt; text-align: left; text-indent: -.25in;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">3.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Kupendekeza<span style="letter-spacing: 3.85pt;"> </span>mfumo<span style="letter-spacing: 3.75pt;"> </span>bora<span style="letter-spacing: 3.75pt;"> </span>zaidi<span style="letter-spacing: 4.0pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: 3.85pt;"> </span>uendeshaji<span style="letter-spacing: 3.8pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: 3.75pt;"> </span>Taasisi<span style="letter-spacing: 3.8pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: 3.75pt;"> </span>Hakimiliki
<span style="letter-spacing: -.1pt;">Tanzania.</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-right: 5.85pt; mso-list: l4 level1 lfo1; tab-stops: 49.05pt; text-align: left; text-indent: -.25in;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">4.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Kuratibu kikao cha wadau wa
Hakimiliki cha kujadili mapendekezo ya kamati <span style="letter-spacing: -.3pt;">na</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-right: 6.2pt; mso-list: l4 level1 lfo1; tab-stops: 49.05pt; text-align: left; text-indent: -.25in;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">5.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Kuwasilisha<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>taarifa<span style="letter-spacing: 2.0pt;">
</span>ya<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>kamati<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>kwa<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>Mhe.<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>Waziri<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>Utamaduni,<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>Sanaa<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>na <span style="letter-spacing: -.1pt;">Michezo.</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="margin-left: 33.15pt; mso-list: l1 level1 lfo10; tab-stops: 33.2pt; text-indent: -20.2pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">3.0<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="letter-spacing: -.1pt;">Methodolojia</span><span lang="zu"><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.65pt; margin-top: 6.95pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Ili
kufanya kazi kwa mujibu wa hadidu rejea, methodolojia iliyotumika katika kupata
taarifa ni upitiaji wa nyaraka mbalimbali zinazohusu hakimiliki, mahojiano,
hojaji na mikutano ya ana kwa ana ambayo ilishirikisha wadau mbalimbali muhimu
katika kupata taarifa kwa lengo la kukamilisha jukumu la Kamati. Mikutano hii
ilifanyika katika kanda sita kama ifuatavyo:<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 115%; margin-right: 5.75pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Mosi, kanda ya Kaskazini- Mkutano ulifanyika Mkoani Arusha katika
Hoteli ya<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>Golden Rose, na kuhudhuriwa
na wabunifu pamoja na wadau 216.<o:p></o:p></span></span></p>
</div>
<span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 115%;"><br clear="all" style="mso-break-type: section-break; page-break-before: always;" />
</span>
</span><div class="WordSection3">
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 115%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.75pt; margin-top: 4.0pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Mkutano
huu pia ulihudhuriwa na Mhe. Pauline Gekul Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na
Michezo.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .35pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 115%; margin-right: 6.1pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Pili,<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>kanda<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>ya
Kati – Mkutano ulifanyika katika ukumbi<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>wa
Dear<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Mama,<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>mjini<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>Dodoma na
kuhudhuriwa na wabunifu pamoja na wadau 126.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 115%; margin-right: 5.9pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Tatu,
kanda ya Ziwa – Mkutano ulifanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya jijini
Mwanza na kuhudhuriwa na wabunifu 87.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .35pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 115%; margin-right: 5.9pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Nne,<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>kanda<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Nyanda<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>za<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Juu<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Kusini-<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Mkutano<span style="letter-spacing: -.1pt;">
</span>uliafanyika<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>katika<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>ukumbi<span style="letter-spacing: -.15pt;">
</span>wa<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>BEACO jijini Mbeya na
kuhudhuriwa na wabunifu 138<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .4pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 115%; margin-right: 6.2pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Tano,
Kanda ya kusini- mkutano huu ulifanyika mkoa wa Mtwara katika ukumbi wa
Halmashauri na ulihudhuriwa na wadau 181.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .25pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 115%; margin-right: 5.7pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Sita,
kanda ya Mashariki, ambapo mkutano wa wabunifu na wadau wa sekta ya ubunifu<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>171 ulifanyika<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam na
kuhudhuriwa na wajumbe wote wa kamati wakiongozwa na Mwenyekiti. Ripoti za
mikutano ya ukusanyaji maoni zimeambatishwa kama viambatisho Na. 4.2.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .05pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.85pt; margin-top: .05pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Wadau
wa jinsi zote, wakiwamo wenye mahitaji maalumu walishiriki. Kwa wastani 22% ya
wasanii na wadau waliohudhuria walikuwa wa jinsi ya kike na 78% walikuwa wa
jinsi ya kiume. Tasnia ya Sanaa ya Maonesho na Sanaa ya Ufundi zilikuwa na
uwiano mzuri zaidi wa uwakilishi kati ya jinsi ya kike na ile ya kiume. Katika
watoa maoni, uwiano wa wasanii wa kike ulikuwa mdogo zaidi kwa wasanii wa
muziki.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 6.15pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Aidha, kamati hii iliangalia uzoefu wa nchi nyingine kwenye usimamizi
wa Hakimiliki na kuchambua takwimu za wabunifu na wadau. Nchi zilizoangaliwa
kwa ajili ya uzoefu ni pamoja na Nigeria, Algeria, Afrika Kusini na Kenya.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .05pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="margin-left: 33.15pt; mso-list: l1 level1 lfo10; tab-stops: 33.2pt; text-indent: -20.2pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">4.0<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Mapitio<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>Mabadiliko<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Mfumo<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>wa <span style="letter-spacing: -.1pt;">Sheria</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.8pt; margin-top: 6.85pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Katika
kujenga usuli mzuri wa mapendekezo ya Kamati kwa mujibu wa hadidu za rejea
katika ripoti hii, na kwa lengo la kujenga welewa wa pamoja, kumetolewa usuli
wa mabadiliko ya mfumo wa sheria wa hakimiliki nchini Tanzania. Mabadiliko
yaliyojadiliwa katika ripoti hii ni:<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .05pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 6.1pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Mosi,
mabadiliko ya Sheria ya Hakimiliki na Hakishiriki Namba 7 ya mwaka 1999 ambayo
yalifanywa kwa lengo la kuziba baadhi ya mianya ya kiusimamizi iliyoonekana
kuwapo kwa wakati huo. Sheria hii ilibadilisha maeneo manne ambayo<o:p></o:p></span></span></p>
</div>
<span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><br clear="all" style="mso-break-type: section-break; page-break-before: always;" />
</span>
</span><div class="WordSection4">
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 6.15pt; margin-top: 4.0pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">ni
kifungu cha 4, Kifungu cha 9, kifungu cha 15 na kifungu cha 42. Vifungu hivi
vilifanyiwa uboreshaji ili kuendana na hali ya sasa kuhusiana na masuala ya
Hakimiliki na Hakishiriki.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 6.2pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Pili
ni mabadiliko ya sheria ya Machi, 2022 kufuatia mabadiliko ya sheria<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>Na.1 ya mwaka<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>2022,<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>ambapo<span style="letter-spacing: -.3pt;"> </span>kifungu<span style="letter-spacing: -.05pt;">
</span>cha<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>3<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>kilibadilishwa<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>kuongezewa<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>tafsiri<span style="letter-spacing: -.1pt;">
</span>na<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>kifungu<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>cha 12 kilibadilishwa na kuongezewa
vifungu vya 12A na 12B ili kuwezesha utekelezaji wa mkataba huo. Baadhi ya
marekebisho hayo ni:<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 34.35pt; margin-right: 5.7pt; margin-top: .05pt; mso-list: l1 level2 lfo10; tab-stops: 34.4pt; text-indent: -.25in;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">a)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Kuweka utaratibu unaoruhusu
kunakili machapisho na kuyageuza katika<span style="letter-spacing: 4.0pt;"> </span>muundo
(format) ya maandishi kwa ajili ya watu wasiiona au wenye matatizo ya kusoma
maandishi ya kawaida bila kupata idhini ya mwenye chapisho.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 34.35pt; margin-right: 6.05pt; margin-top: 0in; mso-list: l1 level2 lfo10; tab-stops: 34.4pt; text-indent: -.25in;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">b)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Kuweka utaratibu wa kuruhusu
taasisi husika kuweza kurudufu machapisho na kuwayaweka katika mfumo wa kuweza
kusomwa na watu wenye matatizo ya kuona na taasisi hizo kuruhusiwa kusambaza
kwa wahusika kwa kutoza gharama za uchapishaji na si kwa ajili ya kupata faida.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 5.9pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Tatu,
ni<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>mabadiliko yaliyofanywa na Sheria
ya Fedha ya Mwezi Julai,<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>2022<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>ambayo mbali na mambo mengine yamelenga
katika kuanzisha mfumo mpya wa usimamizi wa hakimiliki hapa Tanzania kwa
kuruhusu uanzishwaji wa makampuni binafsi ya ukusanyaji na ugawaji wa mirabaha
nchini Tanzania. Pia mabadiliko haya yameanzisha tozo mpya kwa vibebeo vya kazi
za ubunifu vinavyotumika katika kudurufu, kusambaza, kuhifadhia na kuzalisha
kazi hizo. Aidha, mabadiliko yamefanyika katika kifungu cha 4 kwa kuongeza
tafsiri pamoja na kufuta neno<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>chama
na kuweka neno ofisi. Pia vifungu vya 46, 47 na 48 vimerekebishwa ambapo baadhi
ya majukumu yaliyokuwa yakifanywa na COSOTA yameondolewa ili kuruhusu
uanzishwaji wa kampuni hizo na uazishwaji wa Ofisi ya Hakimiliki <span style="letter-spacing: -.1pt;">Tanzania.</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .05pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 align="left" style="margin-left: 26.45pt; mso-list: l0 level1 lfo9; tab-stops: 26.5pt; text-align: left; text-indent: -13.5pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">5.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Matokeo<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Utafiti</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 6.35pt; margin-top: 6.85pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Baada
ya majadiliano na wadau na kwa kuzingatia hojaji zilizotolewa mapendekezo
yafuatayo yalizingatiwa:<o:p></o:p></span></span></p>
</div>
<span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><br clear="all" style="mso-break-type: section-break; page-break-before: always;" />
</span>
</span><div class="WordSection5">
<h1 style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 70.35pt; margin-right: 0in; margin-top: 4.0pt; mso-list: l0 level2 lfo9; tab-stops: 70.4pt; text-indent: -21.4pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">5.1<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Elimu<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>kwa <span style="letter-spacing: -.2pt;">umma</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.65pt; margin-top: 6.85pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Wadau
wote waliohudhuria katika mikutano ya kukusanya maoni walijibu maswali kuhusu<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>elimu<span style="letter-spacing: -.15pt;">
</span>ya<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>hakimiliki,<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>usimamizi<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>maslahi<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>ya wasanii<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>na<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>uharamia wa<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>kazi<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>za
sanaa. Wadau wengi walionesha uhitaji wa elimu zaidi kwa umma kuhusu hakimiliki
na masuala kadhaa yanayoambatana na hakimiliki. Aidha, washiriki wengi
walionesha kuelewa zaidi kuhusu Taasisi ya Hakimiliki nchini kuliko mambo
muhimu kama umiliki wa hakimiliki za sanaa; anayestahili malipo kutokana na
kazi za sanaa na kuhusu uharamia wa kazi za sanaa.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 6.25pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Vilevile, ufahamu wa washiriki kuhusu uharamia wa kazi za wasanii
ulikuwa mdogo zaidi ukifuatiwa na uelewa kuhusu umiliki wa hakimiliki na
stahiki za mapato yatokanayo na hakimiliki<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 align="left" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 27.15pt; margin-right: 6.1pt; margin-top: .05pt; mso-list: l0 level2 lfo9; tab-stops: 27.2pt; text-align: left; text-indent: -21.25pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">5.2<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Umuhimu<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>wa<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>kuwa<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>na<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>Chombo<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>kimpya<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>cha<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>kusimamia<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>masuala<span style="letter-spacing: 4.0pt; mso-font-width: 150%;"> </span>ya hakimiliki nchini<o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 6.3pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Maeneo
mengine yaliyotolewa maoni ni iwapo kuna mahitaji ya chombo kipya cha kusimamia
mashauri ya hakimiliki nchini.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .35pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 5.95pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Matokeo ya utafiti yanaonesha kwamba tasnia ya Sanaa ya Ufundi
ikifuatiwa na tasnia<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Muziki<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>na<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Filamu<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>zilipendekeza<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>kwa<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>asilimia<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>zaidi<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>50%<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>kuwe<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>na<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>chombo
kipya wakati tasnia hizo za Sanaa uelewa wao kuhusu hakimiliki ya kazi za sanaa
zao ulikuwa chini ya asilimia 50%. Wakati huohuo tasnia hizo tatu uelewa wao
kuhusu Ofisi ya Hakimiliki ulikuwa 63%, 77% na 72% kwa Sanaa ya Ufundi, Sanaa
ya Muziki na Sanaa ya filamu katika mpangilio huo.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 6.25pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Matokeo ya Utafiti huu yanaonesha umuhimu wa Kamati kuzingatia mambo
mawili: Mosi,<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>kupendekeza<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>mkakati<span style="letter-spacing: -.2pt;">
</span>na<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>mfumo<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>utakaowezesha<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>uwekezaji<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>na<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>jitihada<span style="letter-spacing: -.2pt;">
</span>za<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>dhati kuhusu elimu kwa
wasanii wa tasnia zote na umma kuhusu mambo ya hakimiliki na uharamia wa kazi
za sanaa.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .05pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 6.2pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Pili,<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>kupendekeza kanuni<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>na taratibu ambazo<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>zimeakisi<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>kanuni<span style="letter-spacing: -.05pt;">
</span>bora<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>zaidi<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>kutoka nchi zenye mazingira sawa na
Tanzania.<o:p></o:p></span></span></p>
</div>
<span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><br clear="all" style="mso-break-type: section-break; page-break-before: always;" />
</span>
</span><div class="WordSection6">
<h1 style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 33.15pt; margin-right: 0in; margin-top: 4.0pt; mso-list: l3 level2 lfo8; tab-stops: 33.2pt; text-indent: -20.2pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">6.0<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Mapendekezo<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Kamati</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.7pt; margin-top: 6.85pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Kutokana
na mabadilko ya Sheria ya mwezi Julai 2022 ambayo yameanzisha utaratbu mpya wa
usimamizi wa hakimiliki ambapo kazi za usimamizi wa hakimiliki na ukusanyaji wa
mirabaha zitafanywa na CMOs, na pia kwa kuzingatia maoni na mapendekezo
mbalimbali yaliyotolewa na wadau, Kamati inapendekeza masuala ya kisera na
kisheria katika maeneo<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>manne: (1)
mfumo bora wa kukusanya na kugawa mirabaha, (2) njia bora ya kupambana na
uharamia, (3) mfumo bora wa uendeshaji wa taasisi ya hakimiliki, na (4)
mapendekezo mengine ya jumla.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="margin-left: 33.15pt; mso-list: l3 level2 lfo8; tab-stops: 33.2pt; text-indent: -20.2pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">6.1<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Mfumo<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Bora<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>Kukusanya<span style="letter-spacing: -.1pt;">
</span>na<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>Kugawa<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Mirabaha</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: .15in; margin-top: 7.0pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Katika<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>sehemu<span style="letter-spacing: -.25pt;">
</span>hii<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>kuna<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>mambo<span style="letter-spacing: -.25pt;">
</span>mawili<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>msingi<span style="letter-spacing: -.2pt;">
</span>ambayo<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>ni<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>kanuni<span style="letter-spacing: -.3pt;"> </span>za<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>usimamizi<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>wa ukusanyaji wa mirabaha na ushirikiano na Taasisi mbalimbali
za serikali<o:p></o:p></span></span></p>
<h1 style="margin-left: 70.35pt; mso-list: l3 level3 lfo8; tab-stops: 70.4pt; text-indent: -36.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -.1pt; mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">6.1.1<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Kanuni<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>za<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>Usimamizi<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: -.3pt;"> </span>Ukusanyaji<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Mirabaha</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 6.3pt; margin-top: 6.85pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Ili
kutekeleza mfumo mpya wa usimamizi wa hakimiliki hapa Tanzania, Kamati
inapendelkeza kanuni zitungwe kwa kuzingatia mambo yafuatayo:<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-right: 5.8pt; mso-list: l6 level1 lfo7; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -24.0pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">i.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Kabla ya kufanyiwa usajili au
kupewa leseni ya kukusanya mirahaba, CMOs zifanyiwe tathmini ya uwezo wao wa
kiutawala, wawasilishe mpango wa biashara wakibainisha mbinu watakazotumia
kutambua wasanii wa eneo hilo na namna ukusanyaji wa mirabaha utakavyofanyika,
ziwe na mfumo unaokubalika wa kihasibu, waajiri watalaamu wenye sifa, katika
bodi ya wakurugenzi kuwa na wawakilishi wa tasnia husika ya sanaa (wamiliki).<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-right: 5.85pt; mso-list: l6 level1 lfo7; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -26.65pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">ii.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Kwa kuanzia, makampuni yatakayopewa
dhamana ya kukusanya mirabaha yapewe aina moja ya sanaa kwa kazi zote.
Utaratibu huu utazifanya kampuni hizi zitakazopewa leseni ya kukusanya mirabaha
kufanya kazi kwa ufanisi<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>kwa kulenga
aina moja tu ya kazi.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 49.0pt; margin-right: 6.2pt; margin-top: .05pt; mso-list: l6 level1 lfo7; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -29.3pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">iii.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Kila mwaka utendaji wa kampuni hizi
ufanyiwe tathmini ili kujua kama zina ufanisi au la. Vigezo viwekwe
vitakavyoongoza Ofisi ya Hakimiliki kuamua kuhuisha au kutohuisha leseni ya
kampuni. Kiwekwe kiwango cha alama za chini cha utendaji katika ukusanyaji
mapato.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-right: 5.7pt; mso-list: l6 level1 lfo7; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -30.0pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">iv.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Kila mwaka wa fedha unapoanza,
kampuni hizi ziwasilishe makadirio ya makusanyo kwa mwaka ambayo yatafanyiwa
tathimini na kuidhinishwa na Ofisi ya Hakimiliki. Endapo kampuni itakusanya
chini ya asilimia 50 ya makadirio<span style="letter-spacing: 1.6pt;"> </span>bila<span style="letter-spacing: 1.6pt;"> </span>kutoa<span style="letter-spacing: 1.6pt;"> </span>sababu<span style="letter-spacing: 1.6pt;"> </span>za<span style="letter-spacing: 1.6pt;"> </span>msingi,<span style="letter-spacing: 1.6pt;"> </span>Kanuni<span style="letter-spacing: 1.6pt;"> </span>zitoe<span style="letter-spacing: 1.6pt;"> </span>mamlaka<span style="letter-spacing: 1.65pt;">
</span>kwa<span style="letter-spacing: 1.6pt;"> </span>Ofisi<span style="letter-spacing: 1.55pt;"> </span>ya<o:p></o:p></span></span></p>
</div>
<span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><br clear="all" style="mso-break-type: section-break; page-break-before: always;" />
</span>
</span><div class="WordSection7">
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 49.0pt; margin-right: 6.3pt; margin-top: 4.0pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Hakimili
kukataa maombi ya kuhuisha leseni ya kukusanya mirabaha kwa kampuni husika.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-right: 5.8pt; mso-list: l6 level1 lfo7; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -27.4pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">v.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">CMOs iweke mfumo wa kielektroniki
ambao utaruhusu taarifa za muda mfupi za<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>makusanyo<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>mirahaba<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>kuonwa<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>na<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Ofisi<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Hakimiliki<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>na<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>wamiliki<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>haki.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-right: 6.05pt; mso-list: l6 level1 lfo7; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -30.0pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">vi.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Kwa kuwa kampuni za ukusanyaji
zitakuwa zikikusanya na kubaki na fedha<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>za
wamiliki, ni vyema kanuni zikaweka ukomo wa matumizi ya uendeshaji ili kulinda
maslahi ya wamiliki.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-right: 5.8pt; mso-list: l6 level1 lfo7; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -32.65pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">vii.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Katika maombi ya leseni (mpya au
kuhuisha), kanuni ziweke sharti kwa kampuni za ukusanyaji wa mirabaha
kuwasilisha dhamana ya fedha kutoka benki kwa kiwango kisichopungua asilimia 50
ya matarajio ya makusanyo katika mwaka unaofuata.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-right: 6.15pt; mso-list: l6 level1 lfo7; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -35.3pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">viii.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Katika kipindi cha mpito kabla ya
Kanuni za utekelezaji wa mabadiliko ya Sheria kutungwa, Ofisi ya Hakilimili
Tanzania iendekee kutambulika kama ina majukumu<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>kukusanya<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>mirabaha<span style="letter-spacing: -.1pt;">
</span>na<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>kuendelea<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>kukusanya<span style="letter-spacing: -.1pt;">
</span>mirabaha<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>mpaka hapo makampuni
yatakayopewa leseni ya kukusanya yatakapoanza kazi kikamili na kujisajili
katika mashirika ya kimataifa ya ukusanyaji wa mirabaha.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="margin-left: 70.35pt; mso-list: l3 level3 lfo8; tab-stops: 70.4pt; text-indent: -36.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -.1pt; mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">6.1.2<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Ushirikiano<span style="letter-spacing: -.4pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Taasisi<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Mbalimbali<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>za<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Serikali</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.75pt; margin-top: 6.95pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Masuala
yanayohusu usimamizi wa hakimiliki ni mtambuka na yanahusisha taasisi nyingi za
serikali na nyakati fulani zenye maslahi pingani. Hivyo Kamati inapendekeza
yafuatayo:<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-right: 5.85pt; mso-list: l2 level1 lfo6; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -24.0pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">i.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Kuundwa kisheria kwa Kamati ya
Kiuratibu ya Wizarani kwa ajili ya usimamizi wa masuala ya hakimiliki
ikihusisha Ofisi ya Hakimiliki Tanzania, BASATA, Bodi ya Filamu, TRA,TCRA,
BRELA,TCU, na TAMISEMI. Taasisi hizi zinasimamia wazalishaji na watumiaji wa
kazi za sanaa. Ni vyema kukawa na wajibu wa kisheria kwa taasisi<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>hizi kushirikiana ili kuwa na mkakati<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>wa pamoja katika kushughulikia uharamia
wa kazi za wasanii na ukusanywaji wa <span style="letter-spacing: -.1pt;">mirabaha.</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 49.0pt; margin-right: 6.15pt; margin-top: .05pt; mso-list: l2 level1 lfo6; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -26.65pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">ii.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Katika utoaji wa leseni za biashara
kwa taasisi zinazotumia kazi za sanaa, kwa mfano redio, televisheni,<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>baa<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>na
shule kuwepo na<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>matakwa ya mwombaji
kuwasilisha cheti cha utambuzi kutoka Ofisi ya Hakimiliki ya Tanzania. Hii
itasaidia kuwabana wahusika kama hawatoi ushirikiano katika kuwasilisha malipo
ya mirabaha kutokana na matumizi ya kazi za sanaa.<o:p></o:p></span></span></p>
</div>
<span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><br clear="all" style="mso-break-type: section-break; page-break-before: always;" />
</span>
</span><div class="WordSection8">
<h1 style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 43.05pt; margin-right: 0in; margin-top: 3.65pt; mso-list: l3 level3 lfo8; tab-stops: 43.1pt; text-indent: -30.1pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -.1pt; mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">6.1.3<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Njia<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>Bora<span style="letter-spacing: .05pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Kupambana<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>na<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>Uharamia<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>kazi<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>za<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">sanaa</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.85pt; margin-top: 6.95pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Katika
sehemu hii, Kamati inapendekeza mambo mawili ya msingi ambapo kila moja
limefafanuliwa katika vipengele vidogovidogo kadhaa: Mambo hayo ni kuongeza
adhabu kwa makosa ya uharamia wa kazi za hakimiliki pamoja na kusajili mikataba
ya wasanii. Ufafanuzi wa mapendekezo haya ni kama unavyoonekana hapa chini:<o:p></o:p></span></span></p>
<h1 style="margin-left: 34.35pt; mso-list: l7 level1 lfo5; tab-stops: 34.4pt; text-indent: -21.4pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">a)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Kuongeza Adhabu<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>kwa<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>Makosa<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Uharamia<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>kazi<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>za<span style="letter-spacing: .05pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">sanaa</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 6.2pt; margin-top: 6.85pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Mojawapo
ya njia ya kuboresha usimamizi wa hakimiliki ni kufanyia marekebisho<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>kwa adhabu zinazotolewa. Kwa mfumo wa sasa
wa adhabu, ambao unatoa adhabu ya faini au kifungo cha jela bila kuzingatia
uzito wa kosa. Hapa Kamati inatoa mapendekezo yafuatayo:<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="margin-top: .05pt; mso-list: l7 level2 lfo5; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -24.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt;"><span style="mso-list: Ignore;">i.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Adhabu<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>zitolewe<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>kwa<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>kuzingatia<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>uzito<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: -.2pt;"> kosa,</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 49.0pt; margin-right: 6.05pt; margin-top: 6.95pt; mso-list: l7 level2 lfo5; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -26.65pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">ii.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Mahakama au Ofisi ya Hakimiliki
iwekewe kiwango cha chini cha faini au kifungo, lakini iachiwe uhuru wa kuamua
kiwango cha juu cha adhabu kwa kuzingatia muktadha na uzito wa kosa
lililofanyika;<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-right: 6.25pt; mso-list: l7 level2 lfo5; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -29.3pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">iii.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Adhabu ihusishe kufutiwa leseni ya
biashara endapo itathibitika kuwa mkosaji alifanya kosa hilo kwa kukusudia;<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-right: 5.7pt; mso-list: l7 level2 lfo5; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -30.0pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">iv.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Adhabu ihusishe kutaifishwa na
kuharibiwa kwa vifaa vinavyotumika katika kufanya uharamia<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-right: 5.9pt; mso-list: l7 level2 lfo5; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -27.4pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">v.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Adhabu ziwaguse waliofanya makosa
na waliowasaidia kutekeleza uharamia. Kutanua wigo wa wahusika kutasaidia
katika kuimarisha usimamizi na kuongeza uwajibikaji katika usimamizi wa
hakimiliki nchini.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .25pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="margin-left: 34.35pt; mso-list: l7 level1 lfo5; tab-stops: 34.4pt; text-indent: -21.4pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">b)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Kusajili<span style="letter-spacing: -.3pt;"> </span>Mikataba<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.3pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Wasanii</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.95pt; margin-top: 7.0pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Mojawapo
ya malalamiko makubwa na yanayojirudia ni kuwa wasanii wengi<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>wanahisi wanaonewa kimaslahi katika kazi
wanazofanya chini wa mwavuli wa makampuni au wasanii wakubwa. Ili kushughulikia
suala hilo, tunapendekeza:<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-right: 5.8pt; mso-list: l7 level2 lfo5; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -24.0pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">i.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Katika kanuni zitakazotungwa,
kiongezwe kipengele ambacho kitatoa motisha kwa makampuni na wasanii wakubwa
kusajili mikataba yao katika Ofisi ya Hakimiliki. Vivutio hivi vinaweza
kujumuisha kuruhusu nafuu za kikodi kwa makampuni yatakayosajili mikataba ya
wasanii. Kanuni ziweke wajibu kuwa mikataba ya wasanii wanaochipukia isajiliwe
katika Ofisi ya Hakimiliki.<o:p></o:p></span></span></p>
</div>
<span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><br clear="all" style="mso-break-type: section-break; page-break-before: always;" />
</span>
</span><div class="WordSection9">
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 49.0pt; margin-right: 6.3pt; margin-top: 4.0pt; mso-list: l7 level2 lfo5; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -26.65pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">ii.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Pia, sheria itoe mamlaka kwa Ofisi
ya Hakimiliki kupitia vifungu vya mikataba inayosajiliwa na endapo
itajiridhisha kuwa kuna vifungu kandamizi Ofisi iwe<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>na mamlaka ya kushauri mamlaka husika kufanya marekebisho.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 align="left" style="margin-left: 43.05pt; mso-list: l3 level3 lfo8; tab-stops: 43.1pt; text-align: left; text-indent: -30.1pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -.1pt; mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">6.1.4<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Mapendekezo Kuhusu<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>Mfumo<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: -.1pt;">
Kisheria</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="margin-top: 6.85pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Katika<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>sehemu<span style="letter-spacing: -.2pt;">
</span>hii<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Kamati<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>inatoa<span style="letter-spacing: -.05pt;">
</span>mapendekezo<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>katika<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>maeneo<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>saba
kama<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">ifuatavyo:</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="mso-list: l5 level1 lfo4; tab-stops: 49.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">a)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Marekebisho<span style="letter-spacing: -.35pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.45pt;"> </span>Sheria<span style="letter-spacing: -.25pt;">
</span>ya<span style="letter-spacing: -.45pt;"> </span>Hakimiliki<span style="letter-spacing: -.4pt;"> </span>na<span style="letter-spacing: -.5pt;"> </span>Hakishiriki<span style="letter-spacing: -.4pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.45pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.2pt;">1999</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 8.45pt; margin-right: 6.25pt; margin-top: 7.0pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Kwa
kuzingatia maendeleo ya kiteknolojia ambayo yamebadili mfumo mzima wa jinsi
kazi za sanaa zinarudufiwa na maharamia, tunapendekeza:<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 44.55pt; margin-right: 6.1pt; margin-top: 0in; mso-list: l3 level4 lfo8; tab-stops: 44.6pt; text-indent: -24.0pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">i.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Orodha ya vifaa vitakavyotozwa kodi
(blanket levy) katika mabadiliko ya sheria ya hakimiliki ya mwezi Julai 2022
iboreshwe kwa kuongezea vifaa ambavyo kwa teknolojia ya sasa vinatumika katika
kuridifu na kuhifadhi kazi za sanaa. Vifaa vilivyo katika orodha ya sasa ni vya
zamani na havitumiki sana.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 44.55pt; margin-right: 6.05pt; margin-top: 0in; mso-list: l3 level4 lfo8; tab-stops: 44.6pt; text-indent: -26.8pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">ii.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Wigo wa mfumo au njia za utambuzi
wa matukio ya uharamia na ulinzi wa kazi za sanaa uboreshwe kwa kuzingatia na
kutumia mifumo ya kiteknolojia iliyopo sasa. Hii itaendana na hatua ambazo
mashirika ya kimataifa kama vile WIPO yamechukua kwa kupitisha na kutumia
Mkataba maalumu wa kimataifa wa hakimiliki<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>ambao<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>umejikita<span style="letter-spacing: -.2pt;">
</span>zaidi<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>katika<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>masuala<span style="letter-spacing: -.2pt;">
</span>ya<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>kiteknolojia<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>(WIPO<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>Copyight
Treaty of 1996)<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .55pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="mso-list: l5 level1 lfo4; tab-stops: 49.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">b)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Kuanzisha<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Mfumo<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Mahakama<span style="letter-spacing: -.1pt;"> Tembezi</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.7pt; margin-top: 6.95pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Ili
kushughulikia tatizo linaloongezeka la uharamia wa kazi za wasanii, ni vyema
mfumo wa utoaji haki uboreshwe ili uweze kushughulikia makosa yanayojitokeza
kulingana na uhalisia na mazingira ya utendaji wa makosa ya kiuharamia. Katika
mazingira ya Tanzania ambapo makosa ya kiuharamia hufanyika kwa kiwango kikubwa
na kidogo ikihusisha sehemu ambazo ni rahisi kuharibu ushahidi endapo ukamataji
utachelewa, inapendekezwa kuanzishwa kwa mahakama zinazotembea ambazo zitakuwa
na mamlaka ya kutoa maamuzi papohapo endapo ushahidi utakuwa umejitosheleza.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 align="left" style="mso-list: l5 level1 lfo4; tab-stops: 49.05pt; text-align: left;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">c)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Kuongeza<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Mamlaka ya<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Kiusimamizi<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>kwa<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Ofisi ya<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>Hakimiliki<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Tanzania</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.8pt; margin-top: 6.95pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Ili
kuboresha usimamizi wa masuala ya hakimiliki hapa Tanzania, inashauriwa kuwa
Ofisi<span style="letter-spacing: .85pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: .95pt;"> </span>Hakimiliki<span style="letter-spacing: .85pt;"> </span>ipewe<span style="letter-spacing: .95pt;"> </span>mamlaka<span style="letter-spacing: .95pt;">
</span>ya<span style="letter-spacing: 1.15pt;"> </span>kisheria<span style="letter-spacing: .95pt;"> </span>ili<span style="letter-spacing: 1.0pt;"> </span>kushughulikia<span style="letter-spacing: .9pt;"> </span>utatuzi<span style="letter-spacing: 1.0pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: .95pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">migogoro</span><o:p></o:p></span></span></p>
</div>
<span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><br clear="all" style="mso-break-type: section-break; page-break-before: always;" />
</span>
</span><div class="WordSection10">
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.8pt; margin-top: 4.0pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">na
makosa ya uharamia na kutoa adhabu kwa wahusika watakopatikana na hatia.
Mamlaka hiyo inapaswa kutumia nguvu ya kisheria kuagiza vifaa vinanvotumika
kufanya kazi za uharamia kukamatwa mara tu vinapogundulika mahali vilipo,
watuhumiwa wa uharamia kukamatwa, kutoa amri ya kuviharibu vifaa
vitakavyothibitika ni zao la uharamia au vinatumika kufanya uharamia. Kwa<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>kuchukua hatua hii, itawezesha Ofisi ya
Usimamizi wa Hakimiliki kuwa na nguvu ya kisheria ya kutoa maamuzi ya haraka na
yenye nguvu za kisheria. Pia, hatua hii itapunguza kwa kiwango kikubwa
ucheleweshaji wa kesi za uharamia wa kazi za sanaa na kupunguza gharama za
kuendesha kesi kwa walalamikaji.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .05pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="mso-list: l5 level1 lfo4; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -36.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">d)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Ofisi<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>Hakimiliki<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Iongeze<span style="letter-spacing: -.1pt;">
</span>Wigo<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>kazi<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Inazosimamia</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.7pt; margin-top: 6.85pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Kwa
ujumla, katika utendaji wake, COSOTA imekuwa ikijikita zaidi katika kazi za
Sanaa ya muziki. Wakati umefika sasa wa Ofisi ya Hakimiliki Tanzania<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>kujipambanua na kuweka mkakati wa kutumia
rasilimali na nguvu ileile katika kusimamia kazi zote za sanaa. Inapendekezwaza
kuwa Ofisi ya Hakimiliki kuzigawa aina<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>mbalimbali<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>za<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>sanaa<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>na<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>kuanzisha<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>vitengo<span style="letter-spacing: -.15pt;">
</span>vya<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>ndani<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>vitakavyosimamia maeneo hayo ya sanaa.
Maeneo haya yanaweza kujumuisha tasnia nne za<span style="letter-spacing: -.05pt;">
</span>sanaa ambazo ni<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 5.7pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">(1)
Sanaa za ufundi<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>(2) Sanaa za maonesho
(3) sanaa za muziki na (4) Sanaa za filamu.<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>Ili
kutilia mkazo, tunapendekeza maeneo hayo yabainishwe na kutengewa rasilimali
kwa ajili ya utekelezaji katika mpango mkakati wa Ofisi ya Hakimiliki Tanzania.
Hatua hii itaongeza tija katika tansinia ya sanaa na kuongeza wigo wa mapato
kwa serikali na wasanii.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="line-height: 150%; margin-right: 5.75pt; mso-list: l5 level1 lfo4; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -.5in;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">e)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Kutungwa Sera ya Taifa ya Miliki<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>Dhihini (National Intellectual Property <span style="letter-spacing: -.1pt;">Policy)</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 5.85pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Ili kuyashughulikia masuala ya hakimiliki kwa upana wake, maeneo
mengine ya<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>miliki ya ubunifu na
taasisi nyingine zinazoshughulikia miliki ya ubunifu kama vile BRELA, FCC,
BASATA, COSTECH zinahusika. Hivyo, tunapendekeza kuwa mchakato unaondelea wa
kutunga na kupitisha sera ya kitaifa ya miliki ya ubunifu uharakishwe ili
Tanzania iwe na sera inayotoa dira ya jumla ya jinsi masuala haya yanavyopaswa
kushughulikiwa.<o:p></o:p></span></span></p>
</div>
<span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><br clear="all" style="mso-break-type: section-break; page-break-before: always;" />
</span>
</span><div class="WordSection11">
<h1 style="margin-top: 4.0pt; mso-list: l5 level1 lfo4; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -36.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">f)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Elimu<span style="letter-spacing: -.4pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.45pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Hakimiliki</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.7pt; margin-top: 6.85pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Kutokana
na umuhimu wa tasnia yab sanaa na masuala yote ya ubunifu katika<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>ukuaji wa uchumi na maendeleo ya
kiutamaduni na sayansi hapa Tanzania, tunapendekeza mitaaala ya elimu<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>kuanzia ngazi<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>ya elimu ya msingi<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>ijumuishe<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>moduli zinazofundisha masuala ya miliki
za ubunifu<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>na umuhimu wa kuheshimu
na kuzilinda haki za wabunifu kupitia sheria zilizopo. Mbali<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>na mitaala ya shuleni,<span style="letter-spacing: -.35pt;"> </span>Wizara ianzishe mpango kabambe wa kuandaa
vipindi vya kuelimisha jamii kupitia television, radio, mitandao ya kijamii na
njia nyinginezo zitakazosaidia kufikisha elimu kwa walengwa na wadau
mbalimbali.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .1pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="mso-list: l5 level1 lfo4; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -36.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">g)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Kuridhia<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>Mikataba<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>Kimataifa<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>Inayohusu<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Hakimiliki</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.9pt; margin-top: 6.85pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Ili
kuboresha usimamizi wa hakimiliki ni muhimu kwa Tanzania kuanzisha mchakato wa
kuridhia mikataba ya kimataifa inayohusu hakimiliki na kuimarisha zaidi
ushirikiano na mashirika ya kimataifa na kikanda. Miongoni mwa mashirika hayo
ni:<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 49.0pt; margin-right: 5.55pt; margin-top: .05pt; mso-list: l5 level2 lfo4; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -24.0pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">i.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Shirika la Kimataifa la Miliki ya
Ubunifu (World Intellectual Property Organization<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>(WIPO))<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="mso-list: l5 level2 lfo4; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -26.7pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt;"><span style="mso-list: Ignore;">ii.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Shirika<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>la<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>Biashara<span style="letter-spacing: -.15pt;">
</span>la<span style="letter-spacing: -.3pt;"> </span>Kimataifa<span style="letter-spacing: .05pt;"> </span>(World<span style="letter-spacing: -.25pt;">
</span>Trade<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>Organization<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">(WTO)</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 49.0pt; margin-right: 6.2pt; margin-top: 6.85pt; mso-list: l5 level2 lfo4; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -29.3pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt; line-height: 150%;"><span style="mso-list: Ignore;">iii.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="line-height: 150%;">Shirika la Umoja wa Mataifa la<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>Sayansi na Utamaduni (United Nation
Educational Scientific and Cultural Organization (UNESCO)<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="mso-list: l5 level2 lfo4; tab-stops: 49.05pt; text-indent: -30.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.05pt;"><span style="mso-list: Ignore;">iv.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Shirika<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>la<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Kikanda<span style="letter-spacing: -.3pt;">
</span>la<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Miliki<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>Ubunifu<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>Africa<span style="letter-spacing: -.2pt;">
</span><span style="letter-spacing: -.1pt;">(ARIPO)</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 84.4pt; margin-right: 45.2pt; margin-top: 9.7pt; mso-list: l3 level3 lfo8; tab-stops: 84.45pt; text-indent: -.5in;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -.1pt; mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">6.1.5<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Muundo<span style="letter-spacing: -.4pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: -.35pt;"> </span>kiuongozi<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>unaopendekezwa<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>kwa<span style="letter-spacing: -.35pt;"> </span>ajili<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>Ofisi<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>ya Hakimiliki Tanzania<o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.7pt; margin-top: .05pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Kwa
kuwa ofisi hii imepunguziwa kazi ya kuandikisha wanachama, kukusanya na kugawa
mirahaba, idadi wa wafanyakazi inapaswa kuanza<span style="letter-spacing: 2.0pt;">
</span>kwa kiwango kinacholingana na uhalisia wa shughuli lengwa na pia ili
kuwezesha wafanyakazi watakaokuwapo a) kuwa na kazi ya kutosha na b) kulipwa
stahiki zao ipasavyo na kuwezesha mchango wa rasilimali fedha kwa CMOs mpya.
Inapendekezwa kuhakikisha wanaajiriwa wafanyakazi wenye weledi, mahiri na
wanaostahili.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .5pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 align="left" style="margin-left: 84.4pt; mso-list: l3 level3 lfo8; tab-stops: 84.45pt; text-align: left; text-indent: -36.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="letter-spacing: -.1pt; mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">6.1.6<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Mchanganuo<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>kina<span style="letter-spacing: -.25pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>idadi<span style="letter-spacing: .1pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>wafanyakazi
kwa<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>kila<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">idara</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.95pt; margin-top: 6.95pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Bodi
ya Wakurugenzi inapaswa kuandaa mpango mkakati, kwa kuanzia wa miaka mitatu<span style="letter-spacing: 1.8pt;"> </span>kisha<span style="letter-spacing: 1.75pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: 1.8pt;"> </span>miaka<span style="letter-spacing: 1.8pt;"> </span>mitano<span style="letter-spacing: 1.7pt;"> </span>mitano<span style="letter-spacing: 1.8pt;"> </span>ili<span style="letter-spacing: 1.75pt;"> </span>kuongoza<span style="letter-spacing: 1.8pt;">
</span>shughuli<span style="letter-spacing: 1.75pt;"> </span>za<span style="letter-spacing: 1.8pt;"> </span>Ofisi<span style="letter-spacing: 1.75pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: 1.8pt;"> </span>Hakimiliki.<o:p></o:p></span></span></p>
</div>
<span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><br clear="all" style="mso-break-type: section-break; page-break-before: always;" />
</span>
</span><div class="WordSection12">
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.75pt; margin-top: 4.0pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Mpango<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>mkakati<span style="letter-spacing: -.1pt;">
</span>unaweza<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>kuzingatia<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>mapendekezo<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>idadi<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>wafanyakazi<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>kuanzia ngazi ya maofisa kwenda juu kama
ifuatavyo:<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .5pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="margin-left: 34.35pt; mso-list: l5 level3 lfo4; tab-stops: 34.4pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">a)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Idara<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Usimamizi<span style="letter-spacing: -.15pt;">
</span>wa<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Sheria<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>na<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>Kuzuia<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Uharamia<span style="letter-spacing: -.2pt;">
</span>(watu<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>5<span style="letter-spacing: .2pt;"> </span>-<span style="letter-spacing: -.3pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.25pt;">8)</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.75pt; margin-top: 6.95pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Idara
hii ni moja ya idara muhimili kwa kuwa inahusu majukumu ya kisheria ya Ofisi ya
Hakimiliki Tanzania. Meneja ataripoti kwa Msajili wa Hakimiliki na atawajibika
pia kuwasilisha katika bodi<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>ripoti
za hali ya utekelezwaji wa sheria za hakimiliki nchini na mapambano dhidi ya
uharamia. Idara hii pamoja na idara ya Utafiti, Elimu na TEHAMA vitachukua
sehemu kubwa ya bajeti<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>ya matumizi<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>ya uendeshaji<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>wa Ofisi<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>ya Hakimiliki
Tanzania.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 5.7pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Meneja
atasaidiwa na maofisa wawili wanasheria na maofisa wawili watakaochukuliwa
kutoka Jeshi la Polisi. Maofisa waliotoka jeshi la polisi kama itawezekana nao
wawe wanasheria ingawa si lazima. Maoni yametolewa kuhusu umuhimu wa kuwa na
wafanyakazi watakaoazimwa kutoka Jeshi la Polisi ili kuongeza ushirikiano na
uharaka wa uchukuaji hatua za kuzuia uharamia na kuhakikisha sheria inafanya
kazi nchini kote. Ili kutenda kwa ufanisi, idara hii itahitaji magari mawili ya
kuzunguka nchi nzima.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .05pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="margin-left: 34.35pt; mso-list: l5 level3 lfo4; tab-stops: 34.4pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">b)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Idara<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Utafiti<span style="letter-spacing: -.1pt;">
</span>Elimu<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>na TEHAMA<span style="letter-spacing: -.35pt;"> </span>(watu<span style="letter-spacing: -.15pt;">
</span><span style="letter-spacing: -.35pt;">5)</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.7pt; margin-top: 6.95pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Hii
ni moja ya idara mhimili za Ofisi ya Hakimiliki Tanzania. Idara hii itajikita
katika elimu kwa wasanii, wadau na umma kwa ujumla kuhusu hakimiliki, kazi za
usanii/ ubunifu na haki<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>za wabunifu.
Ili<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>kupangilia elimu stahiki<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>na kwa maeneo stahiki, idara hii pia
inapaswa kutekeleza jukumu la utafiti. Kwa kuwa njia za kuwafikia wadau kwa
njia ya kielektroniki zinazidi kukua, pia idara hii itakuwa ndiyo ina ofisa
TEHAMA wa Ofisi ya Hakimiliki Tanzania. Vigezo vya ajira katika Ofisi ya
Hakimiliki Tanzania yapaswa kuzingatia uelewa wa msingi wa TEHAMA unazingatiwa
kwa kila<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>mwajiriwa, katika kila
idara.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .55pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="margin-left: 34.35pt; mso-list: l5 level3 lfo4; tab-stops: 34.4pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">c)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Idara<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Usimamizi<span style="letter-spacing: -.2pt;">
</span>wa<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>CMOs<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>(watu<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>4
-<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.25pt;">5)</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.8pt; margin-top: 6.95pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Hii
nayo ni idara mhimili. Idara hii ndiyo itatoa leseni kwa CMOs, kupokea ripoti
za robo,<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>nusu<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>mwaka<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>na<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>za mwaka za CMOs<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>na kukagua<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>CMOs.
CMOs zitakaguliwa ili kuhakikisha kwamba zinaendesha shughuli zake kwa
kuzingatia kanuni zilizoidhinishwa na Ofisi ya Hakimiliki Tanzania. Ukaguzi pia
utafanywa kuhakikisha<o:p></o:p></span></span></p>
</div>
<span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><br clear="all" style="mso-break-type: section-break; page-break-before: always;" />
</span>
</span><div class="WordSection13">
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.85pt; margin-top: 4.0pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">kwamba
juhudi stahiki za kukubaliana na taasisi zinazolipa mirabaha zinafanywa<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>kwa kampuni zote, makusanyo na leseni kwa
watumiaji wa kazi za wasanii<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>yanafuata
taratibu, haki na sheria na, gharama za uendeshaji CMOs haziathiri maslahi ya
wanachama wake (wamiliki wa hakimiliki). Idara hii itahakikisha kwamba mgawanyo
wa mirabaha ni wa haki kwa wasanii wote stahiki.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 5.85pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Idara<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>itakuwa na<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>afisa<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>mmoja<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>mwanasheria<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>na<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>maafisa wawili hadi<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>watatu wa<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>fani ya uhasibu. Maafisa wa kihasibu wanaweza kuongezwa kutoka
wawili hadi watatu na zaidi baada ya kuwepo kwa<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>angalau CMOs mbili.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .05pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="margin-left: 34.35pt; mso-list: l5 level3 lfo4; tab-stops: 34.4pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">d)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Idara<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Fedha<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>na<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Utawala<span style="letter-spacing: -.15pt;">
</span>(watu<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.25pt;">6)</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.8pt; margin-top: 6.85pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Idara
hii itaongozwa na meneja mmoja. Chini ya meneja kutakuwa na wahasibu wasiozidi
wawili, mtaalamu wa rasilimali watu mmoja na watunza kumbukumbu za kazi za
hakimiliki wawili. Imependekezwa watunza kumbukumbu wa hakimiliki wawe chini ya
idara hii kwa kuwa ndiyo itakayopokea fedha na hivyo itawajibika kupokea kazi
za wabunifu na kuzitunza pia.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 5.7pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Meneja
ataripoti kwa Msajili wa Hakimiliki. Atatoa taarifa katika kila kikao cha Bodi,
pamoja na mambo ya fedha na rasilimali watu, kuhusu takwimu sahihi na
kumbukumbu zilizohuishwa za hakimiliki katika daftari la kuorodhesha kazi
zilizosajiliwa. Inapendekezwa kuanza na nafasi mbili ili mtu mmoja akiwa na
udhuru mwingine aendelee kutoa huduma.<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>Watunza
kumbukumbu za hakimiliki wanapaswa kuwa wanasheria. Hawa ni watu ambao<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>wanapaswa pia kuelewa<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>kazi ngeni –<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>mfano hata za kutoka nje ya nchi au zilizolengwa kutumika
kupitia mifumo mipya.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .05pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="margin-left: 34.35pt; mso-list: l5 level3 lfo4; tab-stops: 34.4pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">e)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Miiko<span style="letter-spacing: -.35pt;"> </span>na<span style="letter-spacing: -.35pt;"> </span>Maadili<span style="letter-spacing: -.3pt;">
</span>ya<span style="letter-spacing: -.35pt;"> </span>Utendaji<span style="letter-spacing: -.3pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.2pt;">Kazi</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.9pt; margin-top: 6.95pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Wafanyakazi
wote wa Ofisi ya Hakimiliki Tanzania watatakiwa kuzingatia weledi wa hali ya
juu. Hata hivyo, wafanyakazi wa idara ya usimamizi wa CMOs, wafanyakazi wa
idara ya Usimamizi wa Sheria na Kuzuia Uharamia, Msajili wa Hakimiliki na
Wakurugenzi wa Bodi wanapaswa kulinda haki katika maamuzi yote watakayofanya
kuhusiana na hakimiliki. Ofisi ya Hakimiliki Tanzania iweke kanuni za maadili
kulingana na ngazi ya maafisa husika katika maeneo tajwa katika aya hii.<o:p></o:p></span></span></p>
</div>
<span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><br clear="all" style="mso-break-type: section-break; page-break-before: always;" />
</span>
</span><div class="WordSection14">
<h1 style="margin-top: 4.0pt; mso-list: l5 level3 lfo4; tab-stops: 49.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="mso-font-width: 99%;"><span style="mso-list: Ignore;">f)<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu" style="letter-spacing: -.1pt;">Miundombinu</span><span lang="zu"><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.6pt; margin-top: 6.85pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Ofisi
ya Hakimiliki Tanzania haina jengo la ofisi za kudumu. Imepewa ofisi katika
majengo ya Ofisi za Utumishi zilizopo Kivukoni, Dar es Salaam na Chumba kimoja
kilichopo Dodoma kwenye ofisi za Wizara zilizopo jengo la PSSSF lakini bado
ofisi hizo ni finyu haswa kwa majukumu mapya yaliyopendekezwa hapo juu<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>yatakapoanza kutekelezwa.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="margin-left: 67.1pt; mso-list: l9 level2 lfo3; tab-stops: 67.15pt; text-indent: -33.15pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">7.0<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;"> </span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">MAKADIRIO<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>YA<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>MAKUSANYO YA<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">SERIKALI</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 6.05pt; margin-top: 7.3pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Makadirio ya makusanyo ya serikali yanatarajiwa
kufanywa kwa kuhusisha vyanzo vitatu ambavyo ni Mamlaka ya Mapato Tanzania,
COSOTA, Mfuko wa Utamaduni na Malipo ya Mrabaha kama inavyofafanuliwa hapa
chini:<o:p></o:p></span></span></p>
<h1 style="line-height: 14.45pt; margin-left: 85.0pt; mso-line-height-rule: exactly; mso-list: l9 level3 lfo3; tab-stops: 85.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">a.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span><!--[endif]--><span lang="zu">Mamlaka<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>mapato<span style="letter-spacing: -.1pt;"> Tanzania</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .15pt; text-align: left;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></b></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 5.75pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Endapo serikali ikikubali kupokea mapendekezo ya
kamati hii ya kurekebisha vifaa vitakavyotozwa tozo ya Kifaa kitupu,
inakadiriwa kuwa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania itakusanya Tsh. 681,837,257,900
kutoka kwenye tozo hii mpya kwa<span style="letter-spacing: 4.0pt;"> </span>mwaka<span style="letter-spacing: 1.0pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: 1.1pt;"> </span>kwanza<span style="letter-spacing: 1.1pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: 1.2pt;"> </span>fedha<span style="letter-spacing: 1.1pt;"> </span>huku<span style="letter-spacing: 1.1pt;"> </span>mwaka<span style="letter-spacing: 1.1pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: 1.05pt;"> </span>pili<span style="letter-spacing: 1.15pt;"> </span>wakiweza<span style="letter-spacing: 1.05pt;">
</span>kukusanya<span style="letter-spacing: 1.15pt;"> </span>Tsh.<span style="letter-spacing: 1.5pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">bilioni</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 6.1pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">712.5. Makadirio ya miaka kumi (10) ijayo ni
Mamlaka ya mapato Tanzania itaweza kukusanya mapato kiasi cha trilioni Tsh.
9.838.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoListParagraph" style="margin-left: 85.0pt; mso-list: l9 level3 lfo3; tab-stops: 85.05pt;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><b><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">b.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span></b><!--[endif]--><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><u><span lang="zu" style="letter-spacing: -0.1pt;">COSOTA</span></u></b><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span lang="zu"><o:p></o:p></span></b></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></b></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.75pt; margin-top: 5.0pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Kutokana na makadirio haya ya marekebisho ya tozo
hii, COSOTA itaweza kupata Tsh bilioni 2.05 kwa mwaka wa kwanza wa fedha wa
makusanyo haya, mwaka wa pili<span style="letter-spacing: .45pt;"> </span>wataweza<span style="letter-spacing: .35pt;"> </span>kupata<span style="letter-spacing: .55pt;"> </span>bilioni<span style="letter-spacing: .45pt;"> </span>Tsh.<span style="letter-spacing: .45pt;"> </span>2.14,<span style="letter-spacing: .4pt;"> </span>mwaka<span style="letter-spacing: .4pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: .45pt;"> </span>tatu<span style="letter-spacing: .45pt;"> </span>wataweza<span style="letter-spacing: .6pt;"> </span>kupata<span style="letter-spacing: .55pt;"> </span>Tsh.<span style="letter-spacing: .65pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">bilioni</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 5.7pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">2.24 huku katika kipindi cha miaka kumi (10) ijayo,
jumla ya Tsh. bilioni 29.5 zitatolewa kwa COSOTA kwa matumizi yake ya ndani.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p align="left" class="MsoListParagraph" style="margin-left: 85.0pt; mso-list: l9 level3 lfo3; tab-stops: 85.05pt; text-align: left;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><b><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">c.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span></b><!--[endif]--><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><u><span lang="zu">Mfuko<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: -.1pt;">
utamaduni</span></span></u></b><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span lang="zu"><o:p></o:p></span></b></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></b></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.9pt; margin-top: 5.0pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Mfuko wa Utamaduni unatarajiwa kupata Tsh. bilioni
1.02 kwa mwaka wa kwanza<span style="letter-spacing: 2.0pt;"> </span>wa
makusanyo, Tsh. bilioni 1.07 kwa mwaka wa pili. Makadirio ya miaka kumi (10)
ijayo ni Tsh. bilioni 15.616 zitatolewa kwa mfuko huu kama gawio kutoka kwenye
tozo ya vifaa vitupu.<o:p></o:p></span></span></p>
</div>
<span style="font-family: arial; font-size: large;"><span lang="zu" style="line-height: 150%;"><br clear="all" style="mso-break-type: section-break; page-break-before: always;" />
</span>
</span><p align="left" class="MsoListParagraph" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 85.0pt; margin-right: 0in; margin-top: 3.8pt; mso-list: l9 level3 lfo3; tab-stops: 85.05pt; text-align: left;"><!--[if !supportLists]--><span style="font-family: arial; font-size: large;"><b><span lang="zu"><span style="mso-list: Ignore;">d.<span style="font-stretch: normal; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; line-height: normal;">
</span></span></span></b><!--[endif]--><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><u><span lang="zu">Malipo<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>ya<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Mrabaha</span></span></u></b><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span lang="zu"><o:p></o:p></span></b></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></b></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.7pt; margin-top: 5.0pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Kwa kuzingatia vyanzo viwili vya mirabaha
vilivyolengwa ambavyo ni mrabaha wa utendaji kazi (Performance royalties) na
mrabaha utokanao na kutoza ushuru wa vifaa vitupu, inaonekana kuwa serikali
itaweza kukusanya jumla ya Tsh. bilioni 15.59 kwa<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>mwaka<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>wa kwanza,<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Tsh. bilioni<span style="letter-spacing: -.05pt;"> </span>19.14 kwa<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>mwaka<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>wa<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>pili,<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>Tsh. bilioni 23.59 kwa mwaka wa tatu na
jumla ya bilioni Tsh.419.67 kwa kipindi cha miaka kumi (10)<span style="letter-spacing: 4.0pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">ijayo.</span><o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-left: 0in; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-right: 5.75pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Aidha,
kwa kuzingatia mapendekezo ya sasa ya utengano kati ya CMO’s yaani Muundo
Jumuishi wa Usimamizi Menejimenti na taasisi ya kusimamia Hakimiliki,
inatazamiwa kuwa vyama hivi vya usimamizi na ukusanyaji wa mirabaha, vitaweza
kukusanya takribani Tsh. Trilioni 3.76 kwa miaka 10 ijayo huku ulinganishi wa
takwimu za kihistoria za miaka 17 iliyopita (2004 mpaka 2021), inaonesha COSOTA
imeweza kufanya makusanyo ya Tsh. 3,114,778,220.<o:p></o:p></span></span></p>
<p align="left" class="MsoBodyText" style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 0in; margin-right: 0in; margin-top: .1pt; text-align: left;"><span lang="zu"><o:p><span style="font-family: arial; font-size: large;"> </span></o:p></span></p>
<h1 style="margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 0in; margin-top: .05pt; text-indent: 0in;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">8.0<span style="letter-spacing: 3.25pt;"> </span><span style="letter-spacing: -.1pt;">Shukrani</span><o:p></o:p></span></span></h1>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.7pt; margin-top: 6.8pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Awali<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>ya yote tunamshukuru<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>Mwenyezi<span style="letter-spacing: -.2pt;">
</span>Mungu<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>kwa<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>kutuwezesha<span style="letter-spacing: -.15pt;"> </span>kukamilisha<span style="letter-spacing: -.1pt;"> </span>kazi<span style="letter-spacing: -.2pt;"> </span>hii muhimu kwa maslahi mapana ya taifa na
watu wake. Aidha, kwa namna ya kipekee tunakushukuru Mheshimiwa Waziri kwa
imani uliyoionesha kwetu na kututetua kufanya kazi hii muhimu. Umeonesha imani
kubwa kwetu nasi tumejitahidi kufanya kazi kwa kuzingatia hadidu za rejea
tulizopewa.<o:p></o:p></span></span></p>
<p class="MsoBodyText" style="line-height: 150%; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 13.0pt; margin-right: 5.65pt; margin-top: .1pt;"><span lang="zu"><span style="font-family: arial; font-size: large;">Kukamilika
kwa kazi hii kumetokana na ushirikiano wa dhati uliooneshwa kutoka katika
makundi mbalimbali. Tunawashukuru wadau wote walioshirikiana nasi katika hatua
mbalimbali za ukusanyaji wa taarifa zilizofanikisha kuandikwa kwa ripoti hii.
Tunatambua kuna wadau waliojaza hojaji, waliosaidia kupatikana kwa nyaraka
mbalimbali na wale walioshiriki katika mikutano iliyohusisha kanda sita kama
zilivyotajwa hapo juu. Kipekee kabisa tunatoa shukrani za dhati kwa Mhe.
Pauline Gekul (Mb.) Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye licha ya
majukumu mengi ya kitaifa aliyonayo, aliweza kutenga muda wake na kushiriki
nasi katika mkutano wa wadau wa kanda ya Kaskazini. Mkutano huu ulifanyika
Mkoani Arusha katika Hoteli ya Golden Rose, na kuhudhuriwa na takriban
washiriki 216.</span><o:p></o:p></span></p>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-66816825931452324132022-08-12T21:09:00.001+03:002022-08-12T21:09:29.894+03:00USIKU WA MAVOKALI KILA IJUMAA NA TWANGA PEPETA<p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><iframe allowfullscreen='allowfullscreen' webkitallowfullscreen='webkitallowfullscreen' mozallowfullscreen='mozallowfullscreen' width='320' height='266' src='https://www.blogger.com/video.g?token=AD6v5dzQNV2P58AFiAu_cbyH_S9Bnx0YxqfUP0EsAU_xknXJXKk0JUvuVE1mS6bKHVpj7E54el6RJhvUlWr_8bB9HA' class='b-hbp-video b-uploaded' frameborder='0'></iframe></div><p></p><p><br /></p><p><span style="font-size: x-large;"><span style="color: #fcff01; font-family: verdana;"><i><b style="background-color: black;">Siku maalumu ya Mavokali ni leo Ijumaa pale Mawasiliano Park Ubungo, jirani kabisa na jengo yalipo Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania yaani TCRA.<br /></b></i></span><i style="color: #fcff01; font-family: verdana;"><b style="background-color: black;">Kuanzia saa mbili kamili usiku na Twanga Pepeta Kisima cha Burudani.</b></i></span></p><p><br /></p>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-10220241120793542872022-08-09T17:00:00.000+03:002022-08-09T17:00:07.812+03:00MWANAMUZIKI SHAABAN KIBENGO KABUMBI -CADET BONGOMAN HATUNAE TENA<p><br /></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /></div><br /><table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><tbody><tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEibkgrZK_Bpo-TWnpyxEB-NyrfB2c7wDyuEKRjis_439AIpiCLZwtuUSfqyCgZT8nGBZr1Zh9vl4KVgtqpisvUAmOZYNclhNRdQaEie0EDiFpWzN09xcOq8eSQ-yag9DTgSAGASQniyrpkM5HnSmOZs5ZlJVJFnFt3hs0w3wgTZdKtSZyoqnC2Gf3xYiw/s2048/469131_107781042694797_290320065_o.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><i><b><img border="0" data-original-height="1505" data-original-width="2048" height="294" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEibkgrZK_Bpo-TWnpyxEB-NyrfB2c7wDyuEKRjis_439AIpiCLZwtuUSfqyCgZT8nGBZr1Zh9vl4KVgtqpisvUAmOZYNclhNRdQaEie0EDiFpWzN09xcOq8eSQ-yag9DTgSAGASQniyrpkM5HnSmOZs5ZlJVJFnFt3hs0w3wgTZdKtSZyoqnC2Gf3xYiw/w400-h294/469131_107781042694797_290320065_o.jpg" width="400" /></b></i></a></td></tr><tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><i><span style="font-family: arial; font-size: medium;"><b>Marehemu SHAABAN KIBENGO- CADET BONGOMAN</b></span></i></td></tr></tbody></table><br /><br /><span style="font-family: arial; font-size: large;">Mwanamuziki Shaaban Kibengo Kabumbi, aliyewahi kuwa muimbaji wa bendi kadhaa nchini kama Akudo Sound, Bicco Stars, na African Revolutions. Amefariki dunia alfajiri ya leo. Shaaban alikuwa maarufu kwa jina la Cadet Bongoman, jina alilolipata enzi alipokuwa dansa miaka ya 90 kutokana na umahiri wake wa kumuiga vizuri Kanda Bongoman. <br />Katika miaka ya karibuni alikuwa akipiga muziki na kundi la <i>Mambosasa Mini Band</i> katika hoteli mbalimbali na kwa muda mrefu katika hoteli ya Concord Kariakoo. </span><p></p><p><span style="font-family: arial; font-size: large;">Mazishi ya Shaaban yalitegemewa kufanyika Kimara Mwisho leo 9 Agosti 2022</span></p><p><br /> <table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><tbody><tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhOfI2miWjok07mDUw8jcYsyDYZiX7Rtf_w4Y5GjjZsQfVolNG6L1AL_uEizD-XP7dZiyS8lqHiBpPWNyAD21i2jYc2c_RbKwoWb8Gfi5EGqHwtVs8OdxbfTtAmeFunCACVoYWlpoZBOaXBzGPIEXokgrauxeYUk3MYznBoiTtJ-8PYGVXKyQA3k-HkvQ/s637/296101_274253959380837_1453264528_n.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><span style="font-family: arial; font-size: medium;"><i><b><img border="0" data-original-height="480" data-original-width="637" height="301" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhOfI2miWjok07mDUw8jcYsyDYZiX7Rtf_w4Y5GjjZsQfVolNG6L1AL_uEizD-XP7dZiyS8lqHiBpPWNyAD21i2jYc2c_RbKwoWb8Gfi5EGqHwtVs8OdxbfTtAmeFunCACVoYWlpoZBOaXBzGPIEXokgrauxeYUk3MYznBoiTtJ-8PYGVXKyQA3k-HkvQ/w400-h301/296101_274253959380837_1453264528_n.jpg" width="400" /></b></i></span></a></td></tr><tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-family: arial; font-size: medium;"><i><b>Shaaban kulia akiwa na marehemu Papa Wemba katika moja ya maonyesho</b></i></span></td></tr></tbody></table></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="text-align: left;"><span style="color: #800180; font-family: courier; font-size: x-large;"><b>MUNGU AMLAZE PEMA SHAABAN KIBENGO </b></span></span></div><p></p>Unknownnoreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-89940366002030038882022-07-31T17:03:00.000+03:002022-07-31T17:03:14.544+03:00ASANTE SANA DR KEDMOND MAPANA, KATIBU MTENDAJI MPYA WA BASATA<p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><iframe allowfullscreen='allowfullscreen' webkitallowfullscreen='webkitallowfullscreen' mozallowfullscreen='mozallowfullscreen' width='320' height='266' src='https://www.blogger.com/video.g?token=AD6v5dxpE9bFhvpFIIEkaY5H73gasQqX-05sHT93TmTk3CyXyYaAAhupc445XxsT_pU3PnjAapTncO31Cj9OndTLdQ' class='b-hbp-video b-uploaded' frameborder='0'></iframe></div><br /> HAKUNA RAHA KUBWA KAMA PALE UNAPOONA SERIKALI INAZUNGUMZA NDOTO ZA WASANII, SERIKALI INAPOZUNGUZA MIPANGO YA KUENDELEZA SANAA KWA MUDA MREFU NA KWA KUTENGENEZA MFUMO UTAKAOFAIDISHA WASANII NCHI NZIMA. HAKIKA MWANGA UNAONEKANA WA KUONDOKANA NA ZILE SHUGHULI ZA KUTENGENEZA MATUKIO AMBAYO NI YA SIKU MOJA NA KWA WASANII WACHACHE MAARUFU.<p></p>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-31397168832379886792022-07-29T16:43:00.003+03:002022-07-29T16:43:58.327+03:00BASATA INAPOKEA KAZI ZA KUHAMASISHA SENSA<p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjpiY_cO3yKYhhd17BBrgisBaEoxn_VUXFKWAEy9hMy8uAl87c1DuE0vURNRk69JNd3YAn1LvapS4g7zEXk75ZyuOxr4sYkT0sdMI8HPzdfvAwAEMDRJOaJbZniagE5GRy5HoVtw1SmCVKqbCrx1jmkZkAi1TjKs2yfx1TNjumJ9INIWfN8rPfnaqxIWg/s899/IMG-20220729-WA0021.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="899" data-original-width="623" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjpiY_cO3yKYhhd17BBrgisBaEoxn_VUXFKWAEy9hMy8uAl87c1DuE0vURNRk69JNd3YAn1LvapS4g7zEXk75ZyuOxr4sYkT0sdMI8HPzdfvAwAEMDRJOaJbZniagE5GRy5HoVtw1SmCVKqbCrx1jmkZkAi1TjKs2yfx1TNjumJ9INIWfN8rPfnaqxIWg/s16000/IMG-20220729-WA0021.jpg" /></a></div><br /> <p></p>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-80853486865892495002022-07-29T10:22:00.002+03:002022-07-29T10:22:49.668+03:00TWANGA PEPETA KISIMA CHA BURUDANI KILA IJUMAA MAWASILIANO PARK<p> </p><p class="MsoNormal"><span style="font-family: arial; font-size: x-large;">Vokali kali toka kwa Charles Baba Kingunge, akiwa na wakali
wenzake wa <b><span style="color: #ff00fe;">Twanga Pepeta Sugu Kisima cha Burudani</span></b>, kila Ijumaa huwa zinasikika
<b><i><span style="color: red;">Mawasiliano Park Ubungo</span></i></b> jirani kabisa na jengo yalipo Makao Makuu ya Mamlaka ya
Mawasiliano Tanzania yaani TCRA kuanzia saa mbili kamili usiku. Unakosaje?</span></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: arial; font-size: x-large;"><iframe allowfullscreen='allowfullscreen' webkitallowfullscreen='webkitallowfullscreen' mozallowfullscreen='mozallowfullscreen' width='320' height='266' src='https://www.blogger.com/video.g?token=AD6v5dxmBnXZRIUw5gzKLQM6-eYSAZOJHMvLqEVp6CDXmsWVgdRJ2sg6Yqxnzwu5Y4hkIbAOGV_QNn4cEN42KWw-Pg' class='b-hbp-video b-uploaded' frameborder='0'></iframe></span></div><span style="font-family: arial; font-size: x-large;"><br /></span><o:p></o:p><p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"> </div><br /><p class="MsoNormal"><br /></p>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-87396104579504785292022-07-28T17:14:00.000+03:002022-07-28T17:14:22.507+03:00DEBORAH NA MAMBO LIVE BAND WAPO JIRANI NA DAR FREE MARKET<p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijnmgP3yMsdr8tdPvkvbndOwjjq5khYRKgtCNwJvIOQcRSmH5jsHjhi-zM1p-5O1A5kJjF0ecuKRjq8-3ie-w7EPZsSZyqupJ3kT-uSi6hwXs-Sv9Vjz50DG0At6wk6avCarjJFtOEI5gFkhnADtbubBxtmSiOLpgDgHQa6q6psAFyns6GIfMfl3GUtg/s1080/IMG-20220728-WA0040.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="1080" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijnmgP3yMsdr8tdPvkvbndOwjjq5khYRKgtCNwJvIOQcRSmH5jsHjhi-zM1p-5O1A5kJjF0ecuKRjq8-3ie-w7EPZsSZyqupJ3kT-uSi6hwXs-Sv9Vjz50DG0At6wk6avCarjJFtOEI5gFkhnADtbubBxtmSiOLpgDgHQa6q6psAFyns6GIfMfl3GUtg/s320/IMG-20220728-WA0040.jpg" width="320" /></a></div><br /><h1 style="text-align: left;"> <span style="font-family: verdana; font-size: x-large;">WATAKUWA <span style="color: red;">'THE CROWN PUB'</span> MKABALA NA <span style="color: #2b00fe;">DAR FREE MARKET</span></span></h1><p></p>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-82368816979197496302022-07-28T14:48:00.003+03:002022-07-28T14:53:51.108+03:00BORABORA BAND WAPO BUNJU 31 JULY UNAKOSAJE<p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgnUPaYFEuBnvXwkdJgFXMTbfc4Y6aXdGva-5mf3_iph8AC0HbJe6MEOq65FYPDyzhlOIDUv_zEVvMc4qeluz8gWGLwWYcoRMvlJktsOSYv8rf_46asVojJEJ6pHUjoXDL-WEEpKlp6HeVMBCBvSSJRoRSh22o6Z9sbAajuyzv_uAgd0ren41O_a4lFqw/s1080/IMG-20220728-WA0036.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="1080" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgnUPaYFEuBnvXwkdJgFXMTbfc4Y6aXdGva-5mf3_iph8AC0HbJe6MEOq65FYPDyzhlOIDUv_zEVvMc4qeluz8gWGLwWYcoRMvlJktsOSYv8rf_46asVojJEJ6pHUjoXDL-WEEpKlp6HeVMBCBvSSJRoRSh22o6Z9sbAajuyzv_uAgd0ren41O_a4lFqw/w320-h320/IMG-20220728-WA0036.jpg" width="320" /></a></div><br /> <div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><iframe allowfullscreen='allowfullscreen' webkitallowfullscreen='webkitallowfullscreen' mozallowfullscreen='mozallowfullscreen' width='354' height='236' src='https://www.blogger.com/video.g?token=AD6v5dyz_3gMTLZB2x_IBXFnH-yo9utZbdUMRAnkjjB9h16oytGKYI30venoqxvs4L1W_D48NLzgCB4mlgI35JZOgw' class='b-hbp-video b-uploaded' frameborder='0'></iframe></div><br /><p></p>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-90975402480616053852022-07-27T18:13:00.000+03:002022-07-27T18:13:24.429+03:00RATIBA YA BONGO BEATS BAND<p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjSlVhC74-B5Bwgmd22fgKOTNTX9poW57tNXfPJaETkkKY_pJoeYGHdd45vdyncFKoQcDUJlf5-SNjYd5TCnKRPnj4vsYKAksHdJ_baXerRG37xHIWfwmRv13LWtcuy6ia7QuDuRC15_zIXvlMy-H_qfIf0J-_6Ucesw4-PMGrUuimKDk0n2VN9iIkS0g/s1080/FB_IMG_1658933258060.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="714" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjSlVhC74-B5Bwgmd22fgKOTNTX9poW57tNXfPJaETkkKY_pJoeYGHdd45vdyncFKoQcDUJlf5-SNjYd5TCnKRPnj4vsYKAksHdJ_baXerRG37xHIWfwmRv13LWtcuy6ia7QuDuRC15_zIXvlMy-H_qfIf0J-_6Ucesw4-PMGrUuimKDk0n2VN9iIkS0g/w424-h640/FB_IMG_1658933258060.jpg" width="424" /></a></div><br /><span style="font-family: arial; font-size: large;"><b> ALHAMISI </b>--- KIBOZONE MARAMBA MAWILI MBEZI</span><p></p><p><span style="font-family: arial; font-size: large;"><b>IJUMAA</b>--- KALAMBEZI BAR UBUNGO TANESCO </span></p><p><span style="font-family: arial; font-size: large;"><b>JUMAMOSI ---</b> MAGIC LOUNGE KWA LIPELANYA MBEZI MSAKUZI </span></p><p><span style="font-family: arial; font-size: large;"><b>JUMAPILI</b> ---DAGAA DAGAA UBUNGO KIBO </span></p><blockquote style="border: none; margin: 0 0 0 40px; padding: 0px;"><blockquote style="border: none; margin: 0 0 0 40px; padding: 0px;"><blockquote style="border: none; margin: 0 0 0 40px; padding: 0px;"><blockquote style="border: none; margin: 0 0 0 40px; padding: 0px;"><blockquote style="border: none; margin: 0 0 0 40px; padding: 0px;"><p style="text-align: left;"><span style="font-family: arial; font-size: large;">KARIBUNI WAPENZI WETU,</span></p></blockquote></blockquote></blockquote></blockquote></blockquote><blockquote style="border: none; margin: 0 0 0 40px; padding: 0px;"><blockquote style="border: none; margin: 0 0 0 40px; padding: 0px;"><blockquote style="border: none; margin: 0 0 0 40px; padding: 0px;"><p style="text-align: left;"><span style="font-family: arial; font-size: large;"> BABA AMEONDOKA MTOTO AMEBAKI, KAMA ZAMANI.</span></p></blockquote></blockquote></blockquote>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1546762066371688241.post-31885790936158379772022-07-27T08:57:00.004+03:002022-07-27T09:12:04.576+03:00UTAENDA KUSTAREHE WAPI<p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEipdtxRrNVYI3mrHTjxVmkGhLKz61Z4iAFAPdzajWpKBPqR5nLwhgrVi7M_LCuptqbt28pagQC8f2_obmc-7bFGGQ7fYxtoxSvOPjL5yHbQRm0I00srX-6MyQ-DRjYBElcs9_PLLBkTBh9c0DUAhgyjqi2tdITGWRPM6NQTdHxrbkOY8rTMaXDrH_zobw/s1080/IMG-20220727-WA0031.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="1080" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEipdtxRrNVYI3mrHTjxVmkGhLKz61Z4iAFAPdzajWpKBPqR5nLwhgrVi7M_LCuptqbt28pagQC8f2_obmc-7bFGGQ7fYxtoxSvOPjL5yHbQRm0I00srX-6MyQ-DRjYBElcs9_PLLBkTBh9c0DUAhgyjqi2tdITGWRPM6NQTdHxrbkOY8rTMaXDrH_zobw/s320/IMG-20220727-WA0031.jpg" width="320" /></a></div><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhMy_aWu2Yl9WDqDI-jMuYR3qRtNWBROOh8YCC1KUOV3WQILsXLtkayB5Hg8O5kGXvu2ciblj1xIRWcJQx7CinQbN752Hu1Z1IUTRXtSHNdEmwXvLa6AOJO6zFlpfVBHx8xd8TyhI19CWOCJPPsjYAB7BhSLhkioXkH-mH2mfqp7dJEmCQUtUZz90GbZg/s1034/IMG-20220727-WA0029.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1034" data-original-width="886" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhMy_aWu2Yl9WDqDI-jMuYR3qRtNWBROOh8YCC1KUOV3WQILsXLtkayB5Hg8O5kGXvu2ciblj1xIRWcJQx7CinQbN752Hu1Z1IUTRXtSHNdEmwXvLa6AOJO6zFlpfVBHx8xd8TyhI19CWOCJPPsjYAB7BhSLhkioXkH-mH2mfqp7dJEmCQUtUZz90GbZg/s320/IMG-20220727-WA0029.jpg" width="274" /></a></div><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiT4HwUiG-XC244YpojS37UHOy8suif-cedX-7JWGw2ghNeDw0kJnjMtYOOpDrQogxy5ghKIYEKdC9nGsIr5XyqbibcfdS_b1PF9FWNMK6ogb0DkK4Vqm3FsM4ZBTQsW6gicB-AyMDyYZyrk6u3mME2DRrv_Uq3VlDtL8zLun7wWNLExFNHyKS2BFm1vQ/s760/FB_IMG_1658853436751.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="760" data-original-width="608" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiT4HwUiG-XC244YpojS37UHOy8suif-cedX-7JWGw2ghNeDw0kJnjMtYOOpDrQogxy5ghKIYEKdC9nGsIr5XyqbibcfdS_b1PF9FWNMK6ogb0DkK4Vqm3FsM4ZBTQsW6gicB-AyMDyYZyrk6u3mME2DRrv_Uq3VlDtL8zLun7wWNLExFNHyKS2BFm1vQ/s320/FB_IMG_1658853436751.jpg" width="256" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgPtfgW3JYYl6zbaXXX7WX3d5-ea33JK6YdqBNBiUaaz354nLg9xcbqtLEYDnBVepSXO0_oYREAIyJjdDVoajqwbafWdxukpGG578seVWqsTRR2nmvNVnvqUpwLuXq43EVREsByD-os_D7PDJJOsw0eYxlLmg2UVhqpgMsd00fWkQpxyMPInrZxHBL7gg/s1080/IMG-20220726-WA0062.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="1080" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgPtfgW3JYYl6zbaXXX7WX3d5-ea33JK6YdqBNBiUaaz354nLg9xcbqtLEYDnBVepSXO0_oYREAIyJjdDVoajqwbafWdxukpGG578seVWqsTRR2nmvNVnvqUpwLuXq43EVREsByD-os_D7PDJJOsw0eYxlLmg2UVhqpgMsd00fWkQpxyMPInrZxHBL7gg/s320/IMG-20220726-WA0062.jpg" width="320" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjdpbliWCKsxSZNDLnRf3qXJnKyteIk_1Jx6dME1iqDBtF7rbQyXB3jH64-wT7NsR0YJTxmFny4m3N4B8O56trchyTFrsC1PYIRvJy8gXfVKdqSYCf57Z-TbYSQLeISP5PuPFcGl_CNhc-39Gygsk_IpvXWAmx9jX___54ydZ2XMBR1ooQ1C7XluAZjsw/s1280/IMG-20220727-WA0022.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1280" data-original-width="905" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjdpbliWCKsxSZNDLnRf3qXJnKyteIk_1Jx6dME1iqDBtF7rbQyXB3jH64-wT7NsR0YJTxmFny4m3N4B8O56trchyTFrsC1PYIRvJy8gXfVKdqSYCf57Z-TbYSQLeISP5PuPFcGl_CNhc-39Gygsk_IpvXWAmx9jX___54ydZ2XMBR1ooQ1C7XluAZjsw/s320/IMG-20220727-WA0022.jpg" width="226" /></a></div><br /> <p></p>Unknownnoreply@blogger.com0