YOUTUBE PLAYLIST

Friday, August 12, 2022

USIKU WA MAVOKALI KILA IJUMAA NA TWANGA PEPETA


Siku maalumu ya Mavokali ni leo Ijumaa pale  Mawasiliano Park Ubungo, jirani kabisa na jengo yalipo Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania yaani TCRA.
Kuanzia saa mbili kamili usiku na Twanga Pepeta Kisima cha Burudani.


No comments:

Post a Comment

SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.

  TANCUT ALMASI ORCHESTRA  wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma   Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...