YOUTUBE PLAYLIST

Monday, February 1, 2010


Matangazo ya Bendi zamani yalikuwa yakipambwa na vituko mbalimbali. Wakati huo matangazo yalikuwa yakitoka katika magazeti tu. Na magazeti yalikuwa hayana teknolojia ya kutoa picha za rangi. Hili ni tangazo la bendi ya Maquis ambayo kwa wakati huo ilikuwa na wanamuziki karibu hamsini

SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.

  TANCUT ALMASI ORCHESTRA  wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma   Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...