YOUTUBE PLAYLIST

Tuesday, July 26, 2022

DEKULA BAND YASHIRIKI FEST AFRIKA FESTIVAL YA FINLAND

Dekula Kahanga Vumbi na Menard Mponda mara baada ya onyesho la nguvu la Dekula Band

 Bendi kongwe yenye maskani yake katika jiji la Stockholm kule Sweden, siku ya tarehe 18 Juni 2022 ilitumbuiza katika tamasha la Kimataifa la Fest Afrika Festival, lililofanyika Tampere Finland.
Tamasha hili linalo endeshwa na Mtanzania anaeishi Finland, Bwana Menard  Mponda, ni tamasha la miaka mingi, ambalo limewahi kualika hata bendi kadhaa kutoka Tanzania zikiwemo Yamoto Band na Extra Bongo Band.


Dekula Band jukwaani.

Kwa habari zaidi za tamasha la Fest Afrika Festival ingia
FESTAFRIKA

No comments:

Post a Comment

SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.

  TANCUT ALMASI ORCHESTRA  wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma   Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...