YOUTUBE PLAYLIST

Sunday, July 31, 2022

ASANTE SANA DR KEDMOND MAPANA, KATIBU MTENDAJI MPYA WA BASATA


 HAKUNA RAHA KUBWA KAMA PALE UNAPOONA SERIKALI INAZUNGUMZA NDOTO ZA WASANII, SERIKALI INAPOZUNGUZA MIPANGO YA KUENDELEZA SANAA KWA MUDA MREFU NA KWA KUTENGENEZA MFUMO UTAKAOFAIDISHA WASANII NCHI NZIMA.  HAKIKA MWANGA UNAONEKANA WA KUONDOKANA NA ZILE SHUGHULI ZA KUTENGENEZA MATUKIO AMBAYO NI YA SIKU MOJA NA KWA WASANII WACHACHE MAARUFU.

No comments:

Post a Comment

SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.

  TANCUT ALMASI ORCHESTRA  wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma   Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...