YOUTUBE PLAYLIST
Sunday, July 31, 2022
ASANTE SANA DR KEDMOND MAPANA, KATIBU MTENDAJI MPYA WA BASATA
HAKUNA RAHA KUBWA KAMA PALE UNAPOONA SERIKALI INAZUNGUMZA NDOTO ZA WASANII, SERIKALI INAPOZUNGUZA MIPANGO YA KUENDELEZA SANAA KWA MUDA MREFU NA KWA KUTENGENEZA MFUMO UTAKAOFAIDISHA WASANII NCHI NZIMA. HAKIKA MWANGA UNAONEKANA WA KUONDOKANA NA ZILE SHUGHULI ZA KUTENGENEZA MATUKIO AMBAYO NI YA SIKU MOJA NA KWA WASANII WACHACHE MAARUFU.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.
TANCUT ALMASI ORCHESTRA wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...
-
Mara baada ya kutoa ule wimbo maarufu wa Kisambaa Shakaza, Eddy Sheggy mwenyewe na Wasambaa wengine wakaanza kuitwa Shakaza. Eddy Sheggy ali...
-
TANCUT ALMASI ORCHESTRA wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...
-
Hemed Maneti mwanamuziki muimbaji aliyetokea Cuban Marimba na kutua Vijana Jazz mpaka kifo chake. Wimbo wa mwisho aliyorekodi uliitwa Nelson...
No comments:
Post a Comment