Nadhani kuna haja ya kueleza muziki na wanamuziki wa Tanzania kiukweli, na si kwa ajili ya promosheni au kwa ajili ya kusifia au kuponda kama mpenzi au shabiki wa muziki bali kavu kavu.Tanzania nchi kubwa yenye watu zaidi ya milioni 35, ina makabila zaidi ya mia moja kumi na tano, ina muziki wa aina nyingi sana. Bahati mbaya kwa wanamuziki , muziki , Watanzania, na ulimwengu kwa ujumla, wale wachache ambao wanauwezo wa kuweka hadharani hazina hii kubwa ya muziki hawana habari wala shida ya asilimia zaidi ya tisini ya muziki wa Tanzania.
YOUTUBE PLAYLIST
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.
TANCUT ALMASI ORCHESTRA wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...
-
Utaratibu wa bendi hapa nchini ulifuata sana utaratibu wa bendi za nje kutokana na muziki wa bendi kuwa ni wa mapokeo. Hapa naongelea aina ...
-
Mara baada ya kutoa ule wimbo maarufu wa Kisambaa Shakaza, Eddy Sheggy mwenyewe na Wasambaa wengine wakaanza kuitwa Shakaza. Eddy Sheggy ali...
-
TANCUT ALMASI ORCHESTRA wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...
Asante kwa kutuelemisha! Blogu yako..... sina maneno.
ReplyDelete