YOUTUBE PLAYLIST

Thursday, February 4, 2010


Hapa kuna wakubwa wawili katika ulimwengu wa soka, Sylersaid Mziray, kocha anaeheshimika sana, na Mzee Hassan Dalali mwenyekiti wa Simba Sports Club enzi hizo akiwa Kiongozi na mpigaji solo wa bendi ya Vijana Jazz.Mziray alikuwa katembelea Kilimanjaro Band wananjenje.

No comments:

Post a Comment

SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.

  TANCUT ALMASI ORCHESTRA  wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma   Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...