Wanamuziki Tanzania
WANAMUZIKI WA TANZANIA IS A TANZANIA MUSIC BLOG
Pages
(Move to ...)
Home
▼
Tuesday, February 2, 2010
Anajulikana pia kama Zungu, ni mcheza show maarufu wa African Stars Band, huyu ni mtoto wa Salim Willis ambae alikuwa mojawapo ya wanamuziki wa Afro 70 Band. Willis kwa sasa anafanya shughuli nyingine japo bado anaweza kupiga gitaa vizuri kama ilivyoonekana kwenye album ya mwisho ya Marehemu Patrick Balisidya
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment