Wanamuziki Tanzania

WANAMUZIKI WA TANZANIA IS A TANZANIA MUSIC BLOG

Pages

▼

Tuesday, February 2, 2010

Anajulikana pia kama Zungu, ni mcheza show maarufu wa African Stars Band, huyu ni mtoto wa Salim Willis ambae alikuwa mojawapo ya wanamuziki wa Afro 70 Band. Willis kwa sasa anafanya shughuli nyingine japo bado anaweza kupiga gitaa vizuri kama ilivyoonekana kwenye album ya mwisho ya Marehemu Patrick Balisidya
jfk at February 02, 2010
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

Contributors

  • jfk
  • jfk
Powered by Blogger.