WANAMUZIKI WA TANZANIA IS A TANZANIA MUSIC BLOG
nadhani ni Hassan Dalali.
Hapana huyu alikuwa akipiga second solo katika Bendi moja maarufu, ana mwanae ni mcheza show wa Twanga Pepeta
John, Je nickname yake ilikuwa ni Mick Jagger from Changombe??? Tegua kitendawili: Nakupa mji...Iringa au DAR (chagua mwenyewe...huyu jamaa looks familiar lakini I just can't put a name or place to his face).
Nachagua Iringa. Mick Jagger wa Chang'ombe alikuwa mpiga bezi wa Rifters. Huyu anaitwa Salim Willis, alikuwa mwanamuziki mpiga gitaa Afro 70
Thanks. Nimekwishamkumbuka. Miaka 35-38 ni muda mrefu (na ukichukulia kuwa "uzee" hausaidii kumbukumbu).
nadhani ni Hassan Dalali.
ReplyDeleteHapana huyu alikuwa akipiga second solo katika Bendi moja maarufu, ana mwanae ni mcheza show wa Twanga Pepeta
ReplyDeleteJohn, Je nickname yake ilikuwa ni Mick Jagger from Changombe??? Tegua kitendawili: Nakupa mji...Iringa au DAR (chagua mwenyewe...huyu jamaa looks familiar lakini I just can't put a name or place to his face).
ReplyDeleteNachagua Iringa. Mick Jagger wa Chang'ombe alikuwa mpiga bezi wa Rifters. Huyu anaitwa Salim Willis, alikuwa mwanamuziki mpiga gitaa Afro 70
ReplyDeleteThanks. Nimekwishamkumbuka. Miaka 35-38 ni muda mrefu (na ukichukulia kuwa "uzee" hausaidii kumbukumbu).
ReplyDelete