Tuesday, October 12, 2010
Sunday, October 10, 2010
WANAMUZIKI WA TANZANIA
Hii ndio address mpya ya Blog yako ya Wanamuziki wa Tanzania http://wanamuzikiwatanzania.blogspot.com/
Friday, October 8, 2010
Tunahama
Ili kuboresha mazingira ya kijiwe, tunahamia blog ya Wanamuziki wa Tanzania. Pamoja na mambo mengine pia kuna sehemu ya kusikiliza zilipendwa na kadri ya uwezo ukumbi utaboreshwa zaidi karibuni
Thursday, October 7, 2010
The Upanga Story - The Strokers

The Strokers, hili lilikuwa kundi jingine la wanamuziki wa Upanga. The Strokers lilikuwa na awamu mbili, ya kwanza ilikuwa na wanamuziki akina Donald Max, David Max, Harry Chopeta, Vincet Chopeta, Pino Makame na Ochiwa na Freddy Lukindo. Awamu ya pili ya kundi hili ilikuwa na Sajula Lukindo,Onesmo Kibira,Innocent Galinoma,Ben Galinoma, Denis Pad,Francis Kasambala,Vicent na Harry Chopeta, Ally Mwarabu, Sabri Mmanga na wengineo. Pichani ni awamu ya kwanza ya Strokers. Waliosimama, Pino Makame, Freddie Lukindo, David Max. Waliokaa (?),Harry Chopeta, Vincet Chotepa.
Upanga Story extra
Picha hii ina maana nyingi kwa wapenzi wa Groove Makers. Hapa ni wakali wawili wa GrooveMakers wakiwa katika mazoezi ya Karate. Hakuna zawadi kwa kuwataja japo itakuwa vizuri kupata taarifa ya kipindi hiki
Subscribe to:
Posts (Atom)