YOUTUBE PLAYLIST

Thursday, July 15, 2010

Uliwafahamu Hot 5 wa Magomeni Kota?

Kuna swali nimeulizwa sina jibu,na kila ninae muuliza hana kumbukumbu nalo. Nimeulizwa kama nilikuwa nalifahamu kundi lililoitwa Hot 5 ambalo masikani yake yalikuwa Magomeni Kota, kundi hili lilikuwepo kabla ya Flaming Stars kuhamia Mombasa.....kuna mwenye taarifa?

2 comments:

  1. Sammy Mnkande04:41

    The only ones from Magomeni Quarters ninaowakumbuka walikuwa ni The Tonics

    ReplyDelete
  2. Anonymous14:43

    Hata mimi ninaowakumbuka walikuwa ni Tonics, ukiondoa wanamuziki waliokuwa wakiishi Magomeni waliokuwa Sparks na Comets (?). And that was in the late 1960's wakati nasoma. Tonics walihamia Arusha ambapo ndipo walifanya maskani yao kwa miaka kadha. Labda ukiwauliza kina Mhuto na Sabuni wanaweza kuwa na kumbukumbu nzuri zaidi.

    ReplyDelete

SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.

  TANCUT ALMASI ORCHESTRA  wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma   Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...