YOUTUBE PLAYLIST

Wednesday, July 7, 2010

Sabasaba........

Hayawi hayawi leo yatakuwa , Wanamuziki na Djs wakongwe leo watakuwepo Karimjee Hall kwa masaa 6 mfululizo,Nimemuona DJ Cedou, DJ John Peter wakiwa na Lps na turntables tayari kuonyesha walichokuwa wakikifanya enzi zao. Maelezo zaidi baadae.

No comments:

Post a Comment

SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.

  TANCUT ALMASI ORCHESTRA  wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma   Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...