YOUTUBE PLAYLIST

Saturday, July 3, 2010

The Djs

Hii picha ni kumbukumbu kubwa katika ulimwengu wa Disco Tanzania. Pichani ni kati ya the most bfamous Djs Tanzania wakati huo. Najua wadau mtawataja wote hapa, Meb, Masoud Masoud, John Peter, .................

5 comments:

  1. Anonymous03:19

    Nadhani wa pili kushoto, aliyevaa shati jeupe la mikono mifupi, ni marehemu Adam "Eddy Sally".

    ReplyDelete
  2. Anonymous03:22

    Secon left Addy Sally and fourth left in the background is Vuli???? Au....

    ReplyDelete
  3. Anonymous16:08

    hawa walikuwa Top-DJ`s wenye kipaji cha kuzaliwa,sijuwi ilikuwa wapi hapa walikusanyika kwa wakati mmoja,nawaona Eddy,Peters,Choggy Sly,najaribu kumpata Dimando kama na yeye alikuwepo,huu ulikuwa wakati wa starehe za Tanzania rainbow Disco Fever hautosahaulika daima

    Mickey Jones

    ReplyDelete
  4. Anonymous18:41

    Kalikali, John Pantalakis,Masoud Masoud, Mehboob Khan,Choggy Sly....

    Mdau
    BabaJunior

    ReplyDelete
  5. Anonymous15:33

    Husussan huyo alie vaa shati jeupe ni eddy sally wa one eyed show sie view alipokuwa akituburidisha. Nakumbuka hits za wakati ule I wanna do my thing ya air fiesta matata, I stand acused ya Isaac hayes etc. kumbe huyu ndugu alishatutoka! Inalillah wa ina ilayhi rajiuna

    ReplyDelete

SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.

  TANCUT ALMASI ORCHESTRA  wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma   Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...