YOUTUBE PLAYLIST

Sunday, May 9, 2010

Mkongwe mwingine


Wengi tutakuwa tunamfahamu sana marehemu Ndala kasheba alieko kulia, je unamfahamu huyo anaesalimiana nae. Subiri usikie mchango wake katika muziki wa Tanzania

5 comments:

  1. Anonymous22:14

    Balozi,
    Huyo kushoto ktk picha ni Mh.Balozi Maharage.

    Mdau
    BabaJunior

    ReplyDelete
  2. Anonymous23:46

    Huyu ni Mh. Balozi M. Maharage Juma (ex-collegemate wangu mlimani). Katika burdani - enzi hizooo - alikuwa ni mwimbaji wa "soul music", hasa wa nyimbo za James Brown (early 70's). Inkishafi.

    ReplyDelete
  3. Perez09:52

    Eee Bwana Kitime Huyo Kasheba ananikumbusha jinsi walivyokuwa wanajibishana kwa kutumia ma Solo gitaa yao yeye na Nguza katika wimbo wa MAMA MARIA.
    Masolo gitaa yanaongea yenyewe kwa yenyewe Mwanangu! Daa!

    "...mama mariaa twakutakia kila la heri mamaa..."

    ReplyDelete
  4. Anonymous14:51

    Huyo ni balozi mhs Mohamed Maharage
    alitikisa saana miaka ya 70`s aliitwa "James Brown" wa Tanzania akiwa na mkongwe Ndala Kasheba.

    Mickey Jones
    Denmark

    ReplyDelete
  5. Anonymous10:28

    Mkuu,

    Muheshimiwa Balozi ana mdogo wake mwishoni mwa miaka ya 70 alikuwa ni booongeeee la disco dancer! Alishinda mashindano kadhaa ya dansi jijini Dar es Salaam. Yeye na partner wake walikuwa ni kivutio kikubwa sana cha uchezaji disco. Ninaweza kusema mdogo wa Muheshimiwa Balozi alikuwa ni outstanding choreographer and dancer.

    Huyo mdogo wake Muheshimiwa Balozi alikuwa pia mlimbwende na mchekeshaji mzuri sana mwenye ufasaha wa hali juu wa lugha ya Kiswahili. Kwa jina la utani tulikuwa tukimuita Kamanyola au Nyolakama

    ReplyDelete

SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.

  TANCUT ALMASI ORCHESTRA  wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma   Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...