YOUTUBE PLAYLIST

Saturday, May 22, 2010

Dr Nico Kasanda

1 comment:

  1. Anonymous14:37

    Wakuu,

    Docteur Nico & African Fiesta walikong'ota kibao kimoja kilikuwa kinaitwa Exhibition Dechaud, aarrghhh yale maguitar katika nyimbo ile balaa tupu. Nikiisikiliza Exhibition Dechaud huwa inanikumbusha zile series za Nuta Jazz Band za Msondo Namba 1, Msondo Namba 2, na Msondo Namba 3.

    Asante kwa majamboz unayotuletea yanatupa raha kwa kumbukumbu na karaha kwa kuondokewa.

    ReplyDelete

SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.

  TANCUT ALMASI ORCHESTRA  wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma   Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...