YOUTUBE PLAYLIST

Monday, April 19, 2010

Afro70 1974

Afro 70 wakiwa Namanga baada ya kutoka Nairobi kupata vyombo vipya. Walilazimika kupiga Namanga ili wapite na vyombo bila bughudha. Unawakumbuka majina?

6 comments:

  1. Patrick Tsere16:10

    Majina? Yes some of them. Patrick Balisidya, Steven Balisidya,na Patrick Dick Unga (huyu alikuwa mbele yangu darasa moja Azania Secondary School sijui siku hizi yuko wapi.

    ReplyDelete
  2. Anonymous23:04

    Big up Afrosa...nauliza, ivi Rosa alienda shule baada ya ule ujumbe?

    ReplyDelete
  3. Roza nenda shule ulikuwa wimbo wa Safari Trippers

    ReplyDelete
  4. Anonymous20:35

    Ninatizama dirishani oh, naona mvua yanyesha oh....

    na hapa nafanya hivyo hivyo, nina appointment na demu wangu siku ya leo, ila mvua inanitatiza tu. Ah Afrosa, sikia moto wa mwaka 73 huo!

    ReplyDelete
  5. Anonymous13:53

    John,

    Hapa namtambua Patrick, Steven na Salim, tafadhali naomba unifadhili orodha kamili ya hiki kikosi cha shemeji zako.

    ReplyDelete
  6. Anonymous20:49

    Balozi, huyu mdau wa April 21, 2010 10:35 AM....kweli ananiacha hoi kwa hayo maneno yake hapo juu.

    ReplyDelete

SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.

  TANCUT ALMASI ORCHESTRA  wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma   Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...