YOUTUBE PLAYLIST
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.
TANCUT ALMASI ORCHESTRA wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...
-
Hawa ndio The Jets (1972), ambao baadae walikuja kuwa STC Jazz, ambayo ndio chanzo cha Biashara Jazz. Waliopo hapa wa kwanza Belino, Raphael...
-
Mara baada ya kutoa ule wimbo maarufu wa Kisambaa Shakaza, Eddy Sheggy mwenyewe na Wasambaa wengine wakaanza kuitwa Shakaza. Eddy Sheggy ali...
-
Suleiman Mbwembwe, aliyekuwa anajulikana pia kwa jina la Electronic Voice, alikuwa mwimbaji na mtunzi aliyeng'ara katika enzi zake. Aki...
WE WAJAMENI KWELI TUMETOKA MBALI SANA, DUH MZEE MZIMA VERE YANKIII
ReplyDeleteha ha haaaaaa raha sana kumwona Dr.Ramadhani Mtoro Ongala akiwa kijana enzi hizooooo.Ahsante Kitime.
ReplyDeleteUncle hapa ungetujuvya style hii ya kuvaa ilikuwaje ama iliitwaje?
ReplyDeleteMaana ni kama enzi za kubeba "zege" wenyewe wakiita Nondo na mapokopoko mengine mikononi. Alikuwa "amechafuka" kwa madini vidoleni.
Hahahahaaaaaaaaaaaaa
One of the greatest shot of "DR" Remmy
Thanx again Uncle
nazani hata kiswahili kilikuwa bado taabu kwa remmy ongala. kweli ya kale dhahabu.
ReplyDelete