YOUTUBE PLAYLIST

Monday, February 1, 2010

Tulikuweko tupo tutakuweko


Miaka hiyooo staili hii iliitwa bumping. ilianza hasa baada ya wimbo ulioitwa Kung Fu fighting. Hapa ni Marehemu Mbaraka Mwinyshehe akiwa Songea wakati huo na Morogoro Jazz Band

2 comments:

  1. Ama kweli tunatoka mbali!

    ReplyDelete
  2. Si mcezo, na ni muhimu kujua tonatoka wapi ili kuelewa tunakwenda wapi

    ReplyDelete

SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.

  TANCUT ALMASI ORCHESTRA  wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma   Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...