YOUTUBE PLAYLIST

Tuesday, February 2, 2010

Hao si wengine bali ni wanamuziki wa The Revolutions, ambayo sasa inajulikana kama The Kilimanjaro Band aka Wananjenje. Pichani kutoka kushoto, Juma Omary(Drums/uimbaji),Mohammed Mrisho (Gitaa/uimbaji), Mabrouk Omary( Mwimbaji), Waziri Ally (Keyboards/ uimbaji), Marehemu Chuky,Keppy Kiombile(Bass /Uimbaji).Tangazo mojawapo la Kilimanjaro Band katika moja ya safari za Oman

3 comments:

  1. Anonymous13:09

    Hi JFK!
    Hii picha kiboko. namuona Keppy enzi hizo alikuwa na msitu wa nywele kichwani. Tuletee na zako pia enzi za Iringa. Otherwise, good job and good start. keep it up.
    Richard Mloka

    ReplyDelete
  2. Anonymous08:12

    This is something special I will spend sometime here bravo

    ReplyDelete
  3. Anonymous14:19

    Mkuu,

    Naomba utuletee picha ya Revolutions enzi za kina Mabruki, Mohamed, Chuki, Joe, Ibrahim, Teddy, Sue, Dullah, Vuli na wengineo.

    ReplyDelete

SAFARI ZANGU NA BENDI sehemu ya kwanza.

  TANCUT ALMASI ORCHESTRA  wakiwa Jamhuri Stadium Dodoma   Sikumbuki ni safari ngapi za kimuziki nilizowahi kuzifanya hapa nchini katika m...